Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Kwani sisi watu 5000 tukichanga bukubuku si tunapata mil 5? Kwa nini akubali pesa za wauaji?Gari yake ilifanyaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani sisi watu 5000 tukichanga bukubuku si tunapata mil 5? Kwa nini akubali pesa za wauaji?Gari yake ilifanyaje?
Wanajipendekeza tu.Acha kujichoresha
Hizi ni dalili muhimu sana toka CCM kuonyesha hofu yao kwa Tundu Lissu. Fikra zao zote wamezielekeza kwenye njia za kumbana Tundu Lissu sasa hivi;kwa sababu ni tishio kubwa kwao...subiri Lissu aanze kumbonda Mama Abduli utasikia wanavyomlaumu.
wasiishie tu kumchangia, tunataka kumjua aliye mpiga risasi kijana wa watu na kumpa kilema cha maisha ni nani? uchunguzi umeishia wapi?Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel Nchimbi amewaongoza wajumbe wa NEC alioongoza nao ziarani mkoani Mwanza na wanachama wa chama hicho mkoani...
Wapi?Kajinyonge.
Hizi ni dalili muhimu sana toka CCM kuonyesha hofu yao kwa Tundu Lissu. Fikra zao zote wamezielekeza kwenye njia za kumbana Tundu Lissu sasa hivi;kwa sababu ni tishio kubwa kwao.
Wauaji ni kina nani??Kwani sisi watu 5000 tukichanga bukubuku si tunapata mil 5? Kwa nini akubali pesa za wauaji?
CCM wenzakoWauaji ni kina nani??
Huyo Msigwa ni mtu 'desperate' sana wakati huu; hawezi kuwa na kikomo cha "kusikitisha"...lakini Mch.Msigwa kushiriki mizaha kama hii dhidi ya Lissu ni jambo ambalo linasikitisha sana. Hata kama ameamua kujitoa ufahamu sio kwa kiwango hiki anachofanya kumdhihaki Lissu.
Kwa hiyo mtu ana shida, na pesa imekuja mkononi hasipokee?Upumbavu mkubwa sana
Wamejipendekeza hajawaomba subiri mrejeshoKwa nini ukubali pesa ya laana?
View attachment 3071048
Bado sana. Sioni "jiwe" la kumrushia Lissu hapa.Msigwa alikuwa anahangaika na Mbowe kila siku kwasababu hakuwa na jiwe la kumpigia Lissu, sasa naona ameshalipata hilo jiwe.
Tusubiri.