Manunuzi yapo ya siri na ya wazi
Hili la Lissu ni manunuzi ya wazi!
Hicho chama cha CCM mbona hakikuitisha harambee ya wazi kuchangia matibabu yake?
Lissu anadai bungeni mahela kibao stahiki za matibabu yake kama mbunge mbona CCM haiiagizi serikali yake kumlipa stahiki zake?
Wakati serikali ya CCM imewashushia viongozi wenzio mkong'oto na vijana kibao wa chama bado wako ndani hazijapita hata siku tatu CCM kupitia uombezi wa msaliti wa chama wanakupa hela ukanunue gari na unazipokea hizo hiyo kama siyo kukosa umakini wa kisiasa ni kitu gani?
..zoezi zima limefanyika kama KEJELI kwa Tundu Lissu.
..Lissu apokee tu huo mchango kwasababu hawezi kuzuia wana-Ccm waliokosa hoja kumkejeli.