Uchaguzi 2020 CHADEMA, kazeni buti zenu, you are almost there. Adui yuko hoi, ushindi uko wazi mno!

2015 tuliambiwa mfumo mzima upo upande wa EL
 
Meko anatukana tu wale wenye tume yao maana wamepigwa chenga ya mwili na walimuhakikishia mwamba atanasa kwenye mtego. Sa sijui itakuwaje! Patamu hapo!
Kwa hiyo sasa hivi wenye tume wako upande wa Lisu?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
kwanini usifungue uzi ukajadili hilo siyo kuleta tu ujuaji hapa
 
Chama cha Mbowe, kinakwenda kuangukia pua Oct 28. Hima watanzania, tujitokeze kutoa fundisho la karne kwenye hii saccos ya mzee wa faru John. Mtu mwenye akili timamu hawezi chagua Chadema labla kama kashapata faru tayari.
 
2015 tuliambiwa mfumo mzima upo upande wa EL
Na safari hii Lisu anaenda kutoa ahadi ya kuwatoa Mashehe wote siku akiapishwa tu hapo ndipo mtaona kura zinapo ongezeka Lowasa alisema atamtoa Babu Seya sasa Lisu atawatoa Mashehe
 
Chama cha Mbowe, kinakwenda kuangukia pua Oct 28. Hima watanzania, tujitokeze kutoa fundisho la karne kwenye hii saccos ya mzee wa faru John. Mtu mwenye akili timamu hawezi chagua Chadema labla kama kashapata faru tayari.
Na chama cha Jiwe alocho kipora itakuwaje 28October
 
Hao mawakala waangalie jinsi yakuwafikisha vituoni wasijetekwa manake hawa viumbe majani ni wazito kweli kweli
 
Kama Mungu muumba wa mbingu na nchi aishivyo CCM lazima ianguke mwaka huu.
 
Utapata majibu mwezi November mwaka huu Jiwe akiwa anahaha vyombo vya dola vimlinde baada ya kupigwa vibaya kwenye sanduku la kura la Lissu
BAVICHA MLICHOBAKISHA NI KUJIFARIJI MBONA HAMJAINGIA BARARANI KAMA TL AMEONEWA HAHAHHA MLIKUWA MNATAMBA HUMU OOH WAMFUNGIE WAONE YAKO WAPI
 
Ushindi uko wazi Sana Lissu anapata Mpaka kuraza wanaccm kindakindaki , maana Wana uchungu Sana walivyofanyiwa na Jiwe kwa miaka mitano .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…