CHADEMA: Polisi wenye silaha za moto wazuia msafara wa Makamu M/kiti wetu, Tundu Lissu ukielekea Kibaha

CHADEMA: Polisi wenye silaha za moto wazuia msafara wa Makamu M/kiti wetu, Tundu Lissu ukielekea Kibaha

Ni ujinga tu unasumbua watu. Kulazimisha kupendwa na kutawala watu kwa nguvu za dola ni tatizo sana. Kama Taifa hatuwezi kufanikiwa kwa kutawala watu kwa kutumia nguvu.
Nguvu ya MVUTO.
Makaburu SA pamoja na maguvu yao yote, na madaraja na midege yao yote; walishindwa na mfungwa aliyetoka jela alikokuwa kwa miaka 27.
 
Jeshi la Polisi wenye silaha za moto na Mabomu ya machozi muda huu wameuzuia msafara wa Makamu Mwenyekiti wa Chadema Taifa na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. @TunduALissu maeneo ya Kiluvya ukiwa unaelekea Kibaha. https://t.co/iBtlPUfuqQ
Kisa? Kwani haruhusiwi kufanya shughuli zake za kisiasa nje ya kampeni?
 
Jane Lowassa,

Umefanya fujo barabarani?
Tumemtuma sisi wafanyakazi, sisi wafanyabiashara tuliofilisiwa, wakulima wa ufuta, mbaazi na korosho, sisi tunaokatwa 15% HESLB n.k
Mzito kuelewa ni yule anayetoa rushwa ya uchaguzi hadharani
Na watu walivolala akiwapa wanaona hyu ndy anawapenda ila badae atawanyonyaaa mpaka wakonde. Ujinga ni mzigo mkubwa sana..!!!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Ningekuwa Mkuu wa Kikosi ningetoa oda kushambulia , ...
 
Huyu si kapewa adhabu asifanye kampeni. Hivi huyu mbona mzito sana kuelewa huyu? Anataka nn huyu? Ametumwa na nani huyu? Kwanini anafanya fujo lakini huyu?

Kama kupita barabarani na gari ni kupiga kampeni, basi CCM wenzangu mnapotoka sana.

Embu acheni upuuzi
 
Sidhani kama unaelewa maana ya vikwazo!!!
Vipo vikwazo vya Nchi zima pia vipo vikwazo vya mtu mmoja mmoja, mfano ni vile vikwazo vya Bashite kutokanyaga marekani wakati alinunua nyumba kula na kuficha pesa zake vyote vimekwenda na maji, sasa vikwazo vinakuja vitaanza na IGP mkurugenziccm wa Tumeccm kisha wengine akina polepole na wanzao watafuata
 
Manyanyaso yote haya ya nini? Hivi mbona Lissu ananyanyaswa hivi? Amekuwa shetani? Kama hamtaki vyama vingi si mvifute tu?????
Mkuu ondoa shaka Lissu anaiondoa CCM 2020 , watajaribu kugoma lakini watang'oka
 
Kama hataki kufuata maagizo kutokana na kujitakia yeye mwenyewe, Jeshi la Polisi tuliache lifanye kazi yake.
 
Unajua nadhani mtu akishakula advance ya mabeberu atafanya kila njia kuwaridhisha maboss zake. Hicho ndiyo kinampata Lissu
 
Jamani jamani Magufuli kaumiza watu. Haisemeki kiwango cha maumivu kilichopitiwa. Kaumiza watu jamani jamani jamani. Hivi ni kuwa watu hawaelewi au wamelipwa waje kumfanyia kampeni?
Tuanze kijiandaa kuingia mtaani ni wakati mzuri sasa.
 
Anabishana na baraza la chama chake na maelekezo ya mwenyekiti waje wa chama!!!
Lisu hafanyi kampeni ebu kuwa na Akili kidogo hata za kufulia bukta basi, Lisu yupo kwenye kazi zingine za chama Yaani hutaki atekeleze majukumu mengineyo ya chama?
 
Back
Top Bottom