Heri yule anayejidanganya kidogo,kuliko yule anayetaka kuubadili ukweli kuwa uongo.I dearly love online members of Chadema! They upheaval as if they are millions.
But if you track records they are the same people.
Counting down to election ✅
You forgot to fight for online votes. So that people like Amsterdam could vote for you.
CHADEMA waitishe maandamano ya amani kupinga police brutality inaoyendelea nchini kwa wanachama wao.
Kweli nyani haoni kundule pole pole hamuoni ila wakiitisha chadema wakiitisha mkutano munawashwa kweli kuku akinya amekunya akinya bata kaharisha Lumumba mnapumulia visinginoniHivi hao waandishi wa habari hawachoki tu kuwasikiliza maana kila mara tu mnaongea nao na hakuna impact yeyote ya mazungumzo yenu.
Mjinga mwingine huyu hahaha ugali kuutetea lazima ujitoe ufahamAliyerusha hiyo Clip unamjua? au chadema wanamjua? ili asaidie polisi uchunguzi?
hiyo video sio ya kutengeneza? ambapo huyo kamanda kawekewa maneno kwenye video huyo?
Chadema wanatakiwa kuwa na ushahidi kwenye hilo kabla kujitosa kichwa kichwa kuliongelea
Vinginevyo askari wengi wataonewa kwa matukio haya ya kutunga kuchukua video kuiunga na kuilisha maneno kama sinema ya kihindi iliyotafsiriwa kiswahili
Chadema hiyo issue watoe ushirikiano kwenye upelelezi wa Polisi na wampeleke huyo aliyepiga hiyo picha na kuisambaza mitandaoni wasisingizie kuwa ni MTU asiyejulikana
Huyi ndie shahidi namba moja wampeleke Polisi
Chadema washaona wanaelekea kushindwa uchaguzi sasa wanakuja na visingizio na kutoa matamko .....
Hii point, imenifanya nigundue kwanini askar hatakiwi kujihusisha na siasa au kuwa mwamachamaYule anguko lake ilikaribia ,hata hajashitakiwa na chadema ,ni clip yake tu imemshitaki ,hivi kwenye mikutano ya chadema kwa mfano wahuni walete vurugu OCD kama yule atatoa msaada gani
Hakuna mwandishi aliyefika hadi mida wanawapigia simu kuwabembeleza waende wengi hawataki wengine wanadai nauliLink please!
Kama hakuna impact,mbona maji ya shingo kwa chama mbogamboga, hata mnakimbilia mbeleko na bado hamjiamini.Hivi hao waandishi wa habari hawachoki tu kuwasikiliza maana kila mara tu mnaongea nao na hakuna impact yeyote ya mazungumzo yenu.
Ndio kazi za mbeleko zenu kubambikia mashitaka ya uongo.Labda huna habari kuwa mdogo wake lema mgombea ubunge Jimbo la Arusha mjini alikamatwa kwa kujaribu kuingilia mifumo ya kibenki.
Wewe ni propagandist wa chama mfu-CCM mkuu?Hakuna mwandishi aliyefika hadi mida wanawapigia simu kuwabembeleza waende wengi hawataki wengine wanadai nauli
Saa hiibinaingia saa sita Hanna kitu yaani wanakosa hadi wandishi wa habari
Tupo siti za mbele hakuna kulala Dakika za majeruhi lazima kuendeleza mbinyo kwa hawa wenzetu wa mtaa wa Lumumba wakubali matokeo 2020
Yule anguko lake ilikaribia ,hata hajashitakiwa na chadema ,ni clip yake tu imemshitaki ,hivi kwenye mikutano ya chadema kwa mfano wahuni walete vurugu OCD kama yule atatoa msaada gani
M
Ofisi ndogo ile itatutosha wote unaotukaribisha?
🤣🤣🤣🤣🤣I dearly love online members of Chadema! They upheaval as if they are millions.
But if you track records they are the same people.
Counting down to election ✅
You forgot to fight for online votes. So that people like Amsterdam could vote for you.
Mbona hawala yako polepole anaongea na wanahabari kila sikujuzi tu kaongea na waandishi mara leo tena aisee hiki chama
Saa 5 ishafika, mmeahirisha?!