CHADEMA yajibu hoja za Tundu Lissu: "Hakuna Serikali ya Nusu Mkate, Sio Sera Yetu"

CHADEMA yajibu hoja za Tundu Lissu: "Hakuna Serikali ya Nusu Mkate, Sio Sera Yetu"

Kwani Bado Anang'ang'ania Kuwa Mwenyekiti...?

Na nyie Wanachama Mnamwangalia tu...! Ndo awe M/kiti Wenu Wa Kidumu.

Sasa Credibility ya Kukamata nchi Mnaitoa Wapi..?
 
Mm nakuambia wewe una akili ndogo ununaita watu wamekimbia umande. Hicho unachoita mwenyekiti wa kudumu kimeandikwa ibara ya ngapi ya katiba ya chadema?
Unaropoka kila linalokujia ili mradi uchafue watu kwa faida ya nani?
Kwani Mzee Mbowe sio Mwenyekiti wa KUDUMU?Lema hajakimbia UMANDE?
 
Mbowe kashapoteza credibility kwasasa, haaminiki tena. Hii hai hitataji kujua what should be the next step, kama mtu mwenye hekima za kiuongozi anapaswa kujua nini cha kufanya.
Sasa mbowe cdm tu anapambana kukalia kitu , what if kama ingetokea bahat mbaya akawa namba 1 pale magogoni?? Huyu na genge lake si wangetuingiza machafukoni??
 
Ayatollah MBowe na Ayatollah zito sijawahi kuwaelewa kabisaaa,wamekaa kijanja janja sana na wame-win kuweka magenge/wapiga debe wao.Wanapunguza ladha ya upinzani sana hasa kipindi hiki Cha mama samia.

Pilipili itakolea kama moto utawashwa na Lissu,nafikiri hata upande WA pili hofu Zaid ni huyo mnyeramba wa singida.
 
Chagadema inatia huruma sana! Iko kwenye boooo!!!mmmm!!!! ya kupasuka

Alafu bahati mbaya timing ya huu mgogoro wao ni mbaya kipindi cha uchaguzi. Kimkakati chama kinachopambana kujenga imani kwa wananchi dhidi ya Chama Tawala hakipaswi kuwa na migogoro kipindi kama hiki.

Shida Chadema kuna mtu mmoja tu anamiliki chama (Mbowe) na wengine wanamfuata nyuma wananusa nusa nyayo

Huyu John Mrema akija CCM hata uenyekiti wa kitongoji hapati
 
Watanzania hasa wale wapenda maendeleo ya kweli, Magufuli haya ndio mambo ambayo hakuwa na muda nayo: sema baadhi yenu amkumuelewa tu.

Hivi Lissu alijianzia tu kuongelea maswala ya ‘nusu mkate’ from nowhere au aliulizwa swali na mwandishi wa habari baada ya kumaliza press conference yake je CDM ikipewa nafasi ya kufanya kazi na serikali kwa utaratibu wa ‘nusu mkate’ kama Zanzibar itakataa. Ndio akaanza kutoa ufafanuzi wa sheria hilo haliwezekani kwa katiba ya Tanzania (Zanzibar wana katiba inayo deal na devolved matters) ndio hadithi za ‘nusu mkate’ huko zinawezekana lakini sio bara. Na akasema hiyo aikuwa agenda yao ni hadithi tu za watu.

Utadhani watu tumesikiliza press conference mbili tofauti.

Huu ndio upuuzi ambao Magufuli hakuwa na muda nao, unasema ‘A’ wananchi wanasema uliongea ‘B’ huo muda wa kutoa maelezo alikuwa hana; utaelewa siku akikutumbua alimaanisha nini hasa baada ya hapo ukapige kelele na kina Maria Sarungi.

Aliyoongea Lissu na tafsiri ya jamii ni tofauti kabisa na wengine wamesikiliza press conference nzima.

Ndio maana wengine tunadhani anahitajika Magufuli 2.0, lazima apatikane mtu wa kuziweka akili za watanzania zikae sawa. Huwezi kuwa na jamii ya namna hii.

Mimi binafsi uwa simkubali Lissu sehemu moja tu, pale ambapo nchi inakuwa na migogoro na watu wa nje; halafu muda huo-huo yeye analeta majungu yake dhidi ya serikali. Lakini alichoongea juzi ni kwa ajili ya kuijenga CDM hakuna sehemu aliyolenga kubomoa, labda kama watu huko Mikocheni sijui Ufipa wanajistukia tu.
 
Mbowe kashapoteza credibility kwasasa, haaminiki tena. Hii hai hitataji kujua what should be the next step, kama mtu mwenye hekima za kiuongozi anapaswa kujua nini cha kufanya.
Sasa mbowe cdm tu anapambana kukalia kitu , what if kama ingetokea bahat mbaya akawa namba 1 pale magogoni?? Huyu na genge lake si wangetuingiza machafukoni??
Sheida yake ni nini? Ni kukalia kiti tu au kuna mengine zaidi?
 
Watanzania hasa wale wapenda maendeleo ya kweli ambao Magufuli haya ndio mambo ambayo hakuwa na muda nayo.

Hivi Lissu alijianzia tu kuongelea maswala ya ‘nusu mkate’ au aliulizwa swali na mwandishi wa habari baada ya kumaliza press conference yake je CDM ikipewa nafasi ya kufanya kazi na serikali kwa utaratibu kama Zanzibar itakaa. Ndio akaanza kutoa ufafanuzi wa sheria hilo haliwezekani kwa katiba ya Tanzania na kuanza kutoa elimu ya sheria.

Huu ndio upuuzi ambao Magufuli hakuwa na muda nao, unasema ‘A’ wananchi wanasema uliongea ‘B’ huo muda wa kutoa maelezo alikuwa hana; utaelewa siku akikutumbua alimaanisha nini hasa.

Aliyoongea Lissu na tafsiri ya jamii ni tofauti kabisa na wengine wamesikiliza press conference nzima.

Ndio maana wengine tunadhani anahitajika Magufuli 2.0, lazima apatikane mtu wa kuziweka akili za watanzania zikae sawa. Huwezi kuwa na jamii ya namna hii.

Mimi binafsi uwa simkubali Lissu sehemu moja tu, pale ambapo nchi inakuwa na migogoro na watu wa nje; halafu muda huo-huo yeye analeta majungu yake dhidi ya serikali. Lakini alichoongea juzi ni kwa ajili ya kuijenga CDM hakuna sehemu aliyolenga kubomoa, labda kama watu huko Mikocheni sijui Ufipa wanajistukia tu.
Lissu ameshaanza kuingia kwenye kundi la wasema hovyo.
 
Wakuu kwa jinsi ambavyo huyu mzee amepandikiza chawa wake kuanzia ngazi ya viongozi wa kanda hadi wajumbe wa kamati kuu,hakuna uwezekano wowote uli ataweza kuachia cheo cha Mwenyekiti.
Wito wangu kwa wanachama,tufungue kesi mahakamani kupata tafsiri sahihi ya Mwenyekiti wa KUDUMU.
Mlipeni kwanza pesa zake!
 
Lissu ameshaanza kuingia kwenye kundi la wasema hovyo.
Kivipi kwa sababu wameamua kujipa maana zao kwa vitu ambavyo yeye alikuwa anaongelea kwa content nyingine.

Shida sio Lissu, bali ni uwezo mdogo wa jamii kuelewa alichokuwa anasema.

Mbona CCM na raisi ilimwelewa, kabla siku aijaisha wakajibu na kutaka TAMISEMI ifumbie macho makosa madogo madogo kabla ya kuengua wagombea.

Shida ni akili za viongozi wa CDM tu ndio ndogo.
 
Nimefurahishwa na hii taarifa kwa umma kutoka chama rafiki kwa CCM kwenye awamu hii ya 6 yaani CHADEMA. Lissu asiwavuruge marafiki zetu. CCM tunapenda kuona CHADEMA ikistawi chini ya uongozi imara wa Mbowe.
 
Back
Top Bottom