Kada Mzalendo
Senior Member
- Oct 9, 2024
- 142
- 97
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu walau anayo sifa ya ziada (msomi),Mzee Mbowe vipi?Liissu afai kuwa Raisi
Mimi binafsi sikuamini maridhiano kama yataleta tija na sikuwa na Imani na Samia kuwa yuko genuine na alichokuwa akikisema.Mkuu 'Al Watani', naomba kupitia kwako nieleze kinacho nishangaza na mjadala huu wa kulaumiana, na hasa kumlaumu Tundu Lissu kama baadhi ya watu wanavyo fanya.
Kwani Tundu Lissu anafanya kosa gani hasa kukumbushia tu ulaghai na uongo mwingi ambao sasa inajulikana Rais Samia ni kinara wa mambo hayo ya kusema uongo!
Kwani Mwenyekiti Mbowe, yeye hakuweza kulaghaiwa kwa muda alio shiriki kwenye hayo yaliyo itwa "mazungumzo ya Maridhiano"? Kuna lipi la ajabu hapa.
Samia kaahidi jambo gani na lini, na kweli akafanya kama alivyo ahidi; unaweza kunipa mfano hata mmoja? Mwenyekiti Mbowe sasa hivi bado hajui kuwa zile hadaa za Mazungumzo zilikuwa na lengo maalum, badala ya kutafuta utatuzi wa maswala ya kisiasa yanayo tukabili?
Sasa Lissu akikumbushia haya, ndiyo yeye alaumiwe; badala ya chama (CHADEMA) kukiri jinsi kilivyo taka kupelekwa kwenye shimo?
Bado Mwenyekiti Mbowe na wanao muunga mkono ndani ya chama, bado wanayo matumaini ya kufikia makubaliano na Samia na chama chake? Kama sivyo, malalamiko juu ya yaliyo semwa na Tundu Lissu ni ya nini na yana faida kwa nani? Siyo CCM anaye faidika sasa hivi?