CHADEMA yajibu hoja za Tundu Lissu: "Hakuna Serikali ya Nusu Mkate, Sio Sera Yetu"

CHADEMA yajibu hoja za Tundu Lissu: "Hakuna Serikali ya Nusu Mkate, Sio Sera Yetu"

Kivipi kwa sababu wameamua kujipa maana zao kwa vitu ambavyo yeye alikuwa anaongelea kwa content nyingine.

Shida sio Lissu, bali ni uwezo mdogo wa jamii kuelewa alichokuwa anasema.

Mbona CCM na raisi ilimwelewa, kabla siku aijaisha wakajibu na kutaka TAMISEMI ifumbie macho makosa madogo madogo kabla ya kuengua wagombea.

Shida ni akili za viongozi wa CDM tu ndio ndogo.
Shida hiyo ya uelewa mdogo wa jamii ambao ndiyo wapiga kura wake anatakiwa aufahamu na aepuke kukiingiza Chama chake kuandikwa vibaya kwenye media.

Tundu Lissu anatakiwa aelewe kuwa media zote huwa zinaandika habari mbaya za CHADEMA hawajishughulishi na habari nzuri.

Lissu kama angeongelea Uchaguzi tu na Mambo mengine ya kitaifa hakuna chombo Cha habari kingeandika au kufuatilia ndiyo maana wametwist context ya kile alichokizungumzia.

Hata hili Lissu halielewi ?
 
Anaivuruga Chadema wala sio CCM. Anayeivuruga ni Kiongozi anaiongelea Chama chake vibaya nje ya vikao rasmi vya Chama. Kama harithiki na kinachofanyika chamani si aondoke kama wengine walivyofanya, kama harithiki na kundi ulilopo unaachana nalo na si kupiga kelele na upo nao. Narudia tena CCM Chini ya Mama Samia Suluhu Hassan ni waungwana sana. Wanasemwa vibaya tena kwa dharau na wamekuwa waungwana. Vile vile huwezi hata mara moja kuendesha Chama cha Siasa kiuharakati lazima ufuate miongozo ya Uongozi wa vyama vya siasa chini ya Msajili wa vyama vya siasa.
Lissu atafute mshauri mzuri wa siasa.
 
Shida hiyo ya uelewa mdogo wa jamii ambao ndiyo wapiga kura wake anatakiwa aufahamu na aepuke kukiingiza Chama chake kuandikwa vibaya kwenye media.

Tundu Lissu anatakiwa aelewe kuwa media zote huwa zinaandika habari mbaya za CHADEMA hawajishughulishi na habari nzuri.

Lissu kama angeongelea Uchaguzi tu na Mambo mengine ya kitaifa hakuna chombo Cha habari kingeandika au kufuatilia ndiyo maana wametwist context ya kile alichokizungumzia.

Hata hili Lissu halielewi ?
Na ndicho alichoongelea uchaguzi tu, tena wa Ikungi kwa sehemu kubwa, huko inaonekana ndiko alipokuwa anajua nini kimejiri.

Hayo mengine yote yanayo trend msingi wake ni majibu ya maswali aliyoulizwa na media baada ya kumaliza kuongea alichowaitia kulikuwa na maswali matano. Baadhi ya maswali aliyoulizwa.

1. Vipi umesema serikali imecheza foul CDM mna mpango gani mtakubali hii hali au mna mpango mwingine?
Ndipo alipotoa majibu ya siku chache zilizobakia na changamoto za appeal yenyewe (akahitimisha) aoni njia nyingine ya kuwarudisa hao wagombea hasa upande wa Ikungi.

NB; Ndio maana Mchengerwa na Nchimbi wakajitokeza kijibu.

2. Wengine wakauliza nusu mkate ndio akatoa maelezo hilo linawezekana kwa katiba ya Zanzibar tu

3. Wengine wakauliza vipi rushwa, je watu wameharibu form makusudi. Ndipo alipoelezea hana ushahidi huo, ila possibility hiyo ipo
kama yeye alifuatwa seuse huko mtaani.

Press conference ipo YouTube hakuna sehemu Lissu alipokisema chama chake vibaya, hayo yote yanayo-trend msingi wake ni kwenye kujibu maswali aliyokuwa anaulizwa mwishoni. Ni watu tu wana twist hivyo vitu anavyoshutumiwa navyo wakati yeye alikuwa anaongea katika context nyingine kabisa. .

Hakuna sehemu kakisema vibaya CDM ni watu tu huko walipo wanajistukia.
 
Na ndicho alichoongelea uchaguzi tu, tena wa Ikungi kwa sehemu kubwa, huko inaonekana ndiko alipokuwa anajua nini kimejiri.

Hayo mengine yote yanayo trend msingi wake ni majibu ya maswali aliyoulizwa na media baada ya kumaliza kuongea alichowaitia kulikuwa na maswali matano. Baadhi ya maswali aliyoulizwa.

1. Vipi umesema serikali imecheza foul CDM mna mpango gani mtakubali hii hali au mna mpango mwingine?
Ndipo alipotoa majibu ya siku chache zilizobakia na changamoto za appeal yenyewe (akahitimisha) aoni njia nyingine ya kuwarudisa hao wagombea hasa upande wa Ikungi.

NB; Ndio maana Mchengerwa na Nchimbi wakajitokeza kijibu.

2. Wengine wakauliza nusu mkate ndio akatoa maelezo hilo linawezekana kwa katiba ya Zanzibar tu

3. Wengine wakauliza vipi rushwa, je watu wameharibu form makusudi. Ndipo alipoelezea hana ushahidi huo, ila possibility hiyo kama yeye alifuatwa seuse huko mtaaniZ

Press conference ipo YouTube hakuna sehemu Lissu alipokisema chama chake vibaya, hayo yote yanayo-trend msingi wake ni kwenye kujibu maswali aliyokuwa anaulizwa mwishoni. Ni watu tu wana twist hivyo vitu anavyoshutumiwa navyo wakati yeye alikuwa anaongea katika context nyingine kabisa. .

Hakuna sehemu kakisema vibaya CDM ni watu tu huko walipo wanajistukia.
Mmh!!ngoja tuone Kama Kuna ukweli utajulikana,lkn tuwaombee waendelee kudumu wawe na umoja,na wasitetereke Kwa namna yoyote ile,bado twawahitaji saana,hakuna mbadala wenu kwa Sasa.
 
Wakuu

CHADEMA wamemjibu Makamu Mwenyekiti wa chama chao, Tundu Lissu

=====
Hivi karibuni kumeibuka tena wimbi la hoja mbalimbali ambazo zilishawahi kuibuka siku za nyuma na ambazo zimesababisha wanachama, wapenzi wa Chadema na Wananchi kwa ujumla kutaka ufafanuzi rasmi wa Chama;

1. Chadema haijawahi kuletewa hoja ya kugawana madaraka kutoka Chama chochote au kutoka kwa Serikali wala hoja ya kupewa Majimbo ya Uchaguzi au kugawana nafasi za madaraka katika muundo wa Serikali.

Aidha, ieleweke kuwa kwa mujibu wa Katiba iliyopo sasa nafasi ya Makamu wa Rais hugombewa na haitolewi mezani, vilevile nafasi ya Waziri Mkuu hutokana na Chama chenye wabunge wengi Bungeni.

2. Chadema katika vikao vyake vyote rasmi haijawahi kujadili, kutoa au kupokea mapendekezo yeyote ya kitu kinachoitwa "Serikali ya nusu mkate". Jambo hili kama linavyopotoshwa halijawahi kuwa Sera ya Chadema.

3. Chadema haijawahi kupokea wala kujadili au kubeba au kuwa na agenda na Serikali katika vikao vyote vya Chama au vile vya maridhiano kuhusu hoja hizo tajwa hapo juu.

4. Ikumbukwe kuwa vikao vyote vya maridhiano vilifanyika mwaka 2022 na vikahitimishwa 3 Januari 2023 ambapo Rais Samia Suluhu Hassan alizungumza na Taifa kupitia Vyama vya Siasa na Wadau mbalimbali kuondoa katazo haramu la shughuli za kisiasa ikiwemo mikutano ya hadhara na maandamano. Tarehe 30 na 31 May 2023 palifanyika vikao vya mwisho ambapo tulishindwana. Baada ya hapo hakuna kikao chochote cha siri au hadharani kimefanyika baina ya CCM na Chadema.

5. Kwa kipindi chote cha mwaka 2023 na 2024 hadi sasa, Chama kimekuwa kwenye program mbalimbali zenye lengo la kukiuhisha Chama kufuatia miaka 7 ya Chama kupitishwa kwenye "Bonde la Uvuli wa Mauti" na hivyo kuathiri kwa kiasi kikubwa mtandao na Uongozi wa Chama katika ngazi mbalimbali kuanzia kwenye Vitongoji, Mitaa na Vijiji. Shughuli zilizofanyika ni pamoja na ziara mbalimbali maeneo kadhaa ya nchi kwa ajili ya mikutano ya hadhara, maandamano, mafunzo, usajili wa wanachama kidigitali, chaguzi kuanzia ngazi za vitongoji, Mitaa, Vijiji, Kata, Majimbo, Wilaya, Mikoa hadi Kanda. Chaguzi hizi za ndani zitahitimishwa na Uchaguzi Mkuu ndani ya Chama.
Pia, Soma:
+ Benson Kigaila: Yeyote akisema hatukujiandaa na uchaguzi anafanya kazi ya CCM
Tindo brazaj ....

econonist
 
Shida hiyo ya uelewa mdogo wa jamii ambao ndiyo wapiga kura wake anatakiwa aufahamu na aepuke kukiingiza Chama chake kuandikwa vibaya kwenye media.

Tundu Lissu anatakiwa aelewe kuwa media zote huwa zinaandika habari mbaya za CHADEMA hawajishughulishi na habari nzuri.

Lissu kama angeongelea Uchaguzi tu na Mambo mengine ya. kitaifa hakuna chombo Cha habari kingeandika au kufuatilia ndiyo maana wametwist context ya kile alichokizungumzia.

Hata hili Lissu halielewi ?
Mkuu 'Al Watani', naomba kupitia kwako nieleze kinacho nishangaza na mjadala huu wa kulaumiana, na hasa kumlaumu Tundu Lissu kama baadhi ya watu wanavyo fanya.

Kwani Tundu Lissu anafanya kosa gani hasa kukumbushia tu ulaghai na uongo mwingi ambao sasa inajulikana Rais Samia ni kinara wa mambo hayo ya kusema uongo!
Kwani Mwenyekiti Mbowe, yeye hakuweza kulaghaiwa kwa muda alio shiriki kwenye hayo yaliyo itwa "mazungumzo ya Maridhiano"? Kuna lipi la ajabu hapa.

Samia kaahidi jambo gani na lini, na kweli akafanya kama alivyo ahidi; unaweza kunipa mfano hata mmoja? Mwenyekiti Mbowe sasa hivi bado hajui kuwa zile hadaa za Mazungumzo zilikuwa na lengo maalum, badala ya kutafuta utatuzi wa maswala ya kisiasa yanayo tukabili?

Sasa Lissu akikumbushia haya, ndiyo yeye alaumiwe; badala ya chama (CHADEMA) kukiri jinsi kilivyo taka kupelekwa kwenye shimo?

Bado Mwenyekiti Mbowe na wanao muunga mkono ndani ya chama, bado wanayo matumaini ya kufikia makubaliano na Samia na chama chake? Kama sivyo, malalamiko juu ya yaliyo semwa na Tundu Lissu ni ya nini na yana faida kwa nani? Siyo CCM anaye faidika sasa hivi?
 
Mbowe kashapoteza credibility kwasasa, haaminiki tena. Hii hai hitataji kujua what should be the next step, kama mtu mwenye hekima za kiuongozi anapaswa kujua nini cha kufanya.
Sasa mbowe cdm tu anapambana kukalia kitu , what if kama ingetokea bahat mbaya akawa namba 1 pale magogoni?? Huyu na genge lake si wangetuingiza machafukoni??
Mbowe uwa anatumiwa na CCM
 
Na ndicho alichoongelea uchaguzi tu, tena wa Ikungi kwa sehemu kubwa, huko inaonekana ndiko alipokuwa anajua nini kimejiri.

Hayo mengine yote yanayo trend msingi wake ni majibu ya maswali aliyoulizwa na media baada ya kumaliza kuongea alichowaitia kulikuwa na maswali matano. Baadhi ya maswali aliyoulizwa.

1. Vipi umesema serikali imecheza foul CDM mna mpango gani mtakubali hii hali au mna mpango mwingine?
Ndipo alipotoa majibu ya siku chache zilizobakia na changamoto za appeal yenyewe (akahitimisha) aoni njia nyingine ya kuwarudisa hao wagombea hasa upande wa Ikungi.

NB; Ndio maana Mchengerwa na Nchimbi wakajitokeza kijibu.

2. Wengine wakauliza nusu mkate ndio akatoa maelezo hilo linawezekana kwa katiba ya Zanzibar tu

3. Wengine wakauliza vipi rushwa, je watu wameharibu form makusudi. Ndipo alipoelezea hana ushahidi huo, ila possibility hiyo kama yeye alifuatwa seuse huko mtaaniZ

Press conference ipo YouTube hakuna sehemu Lissu alipokisema chama chake vibaya, hayo yote yanayo-trend msingi wake ni kwenye kujibu maswali aliyokuwa anaulizwa mwishoni. Ni watu tu wana twist hivyo vitu anavyoshutumiwa navyo wakati yeye alikuwa anaongea katika context nyingine kabisa. .

Hakuna sehemu kakisema vibaya CDM ni watu tu huko walipo wanajistukia.
Kuna wasomaji na wachangiaji wengi sana ndani ya jukwaa hili la Siasa wange faidika sana na uchambuzi wako huu wa kueleza hatua kwa hatua alicho zungumzia Tundu Lissu na kwa nini alikizungumzia. Hili ni somo zuri sana kwa wengi.

Tundu Lissu hakuitisha mkutano na waandishi wa habari, akiwa na ajenda ya kukishutumu chama chake na viongozi wenzake.
Lakini mjadala sasa umegeuka (bila shaka kwa kuchochewa na mashabiki wa CCM), ionekane kwamba Tundu Lissu ndiye kaanzisha mtafaruku.

Mbaya zaidi, viongozi wa CHADEMA (Sekretariati); kwa kutoa majibu kwa alicho sema Tundu Lissu, ndio sasa wamechochea mtafaruku usio kuwa na maana yoyote.
 
Wakuu

CHADEMA wamemjibu Makamu Mwenyekiti wa chama chao, Tundu Lissu

=====
Hivi karibuni kumeibuka tena wimbi la hoja mbalimbali ambazo zilishawahi kuibuka siku za nyuma na ambazo zimesababisha wanachama, wapenzi wa Chadema na Wananchi kwa ujumla kutaka ufafanuzi rasmi wa Chama;

1. Chadema haijawahi kuletewa hoja ya kugawana madaraka kutoka Chama chochote au kutoka kwa Serikali wala hoja ya kupewa Majimbo ya Uchaguzi au kugawana nafasi za madaraka katika muundo wa Serikali.

Aidha, ieleweke kuwa kwa mujibu wa Katiba iliyopo sasa nafasi ya Makamu wa Rais hugombewa na haitolewi mezani, vilevile nafasi ya Waziri Mkuu hutokana na Chama chenye wabunge wengi Bungeni.

2. Chadema katika vikao vyake vyote rasmi haijawahi kujadili, kutoa au kupokea mapendekezo yeyote ya kitu kinachoitwa "Serikali ya nusu mkate". Jambo hili kama linavyopotoshwa halijawahi kuwa Sera ya Chadema.

3. Chadema haijawahi kupokea wala kujadili au kubeba au kuwa na agenda na Serikali katika vikao vyote vya Chama au vile vya maridhiano kuhusu hoja hizo tajwa hapo juu.

4. Ikumbukwe kuwa vikao vyote vya maridhiano vilifanyika mwaka 2022 na vikahitimishwa 3 Januari 2023 ambapo Rais Samia Suluhu Hassan alizungumza na Taifa kupitia Vyama vya Siasa na Wadau mbalimbali kuondoa katazo haramu la shughuli za kisiasa ikiwemo mikutano ya hadhara na maandamano. Tarehe 30 na 31 May 2023 palifanyika vikao vya mwisho ambapo tulishindwana. Baada ya hapo hakuna kikao chochote cha siri au hadharani kimefanyika baina ya CCM na Chadema.

5. Kwa kipindi chote cha mwaka 2023 na 2024 hadi sasa, Chama kimekuwa kwenye program mbalimbali zenye lengo la kukiuhisha Chama kufuatia miaka 7 ya Chama kupitishwa kwenye "Bonde la Uvuli wa Mauti" na hivyo kuathiri kwa kiasi kikubwa mtandao na Uongozi wa Chama katika ngazi mbalimbali kuanzia kwenye Vitongoji, Mitaa na Vijiji. Shughuli zilizofanyika ni pamoja na ziara mbalimbali maeneo kadhaa ya nchi kwa ajili ya mikutano ya hadhara, maandamano, mafunzo, usajili wa wanachama kidigitali, chaguzi kuanzia ngazi za vitongoji, Mitaa, Vijiji, Kata, Majimbo, Wilaya, Mikoa hadi Kanda. Chaguzi hizi za ndani zitahitimishwa na Uchaguzi Mkuu ndani ya Chama.
Pia, Soma:
+ Benson Kigaila: Yeyote akisema hatukujiandaa na uchaguzi anafanya kazi ya CCM
Kwa namna hiyo, Tundu Antipas Lissu, hatakiwi CHADEMA.

Barua hiyo ni Sehemu bya mpango MKAKATI WA CHADEMA wa kushirikiana na CCM, kumvuruga Lissu na Chama.

Sioni Tena, ni wakati wa kugawana Mbao na Fito sasa.

Kigaila, ni tone tu ndani ya CHADEMA, hawezi kumshambulia Lissu bila maelekezo.

KWAHERI YA KUONANA CHADEMA!!
 
Sasa tunaanza kujuwa ni viongozi wapi ndani ya CHADEMA wanafanya kazi ya CCM.

Huyu mwandishi wa barua hii anayo mamlaka ya kuisemea CHADEMA juu ya jambo lolote bila ya kuhusisha viongozi wengine ndani ya chama kujadili na kuamua jinsi ya kujibu?
 
Mbowe uwa anatumiwa na CCM
Hiki kitu wengi wetu tulipokua tunaambiwa miaka kadhaa nyuma tulikua tunaweza hata kukupiga mawe, kilikua hakiingii akilini lakin kwasasa tumeanza kuona na kuamino hivyo.
Kwakifupi Mama Samia ka expose vibaya sana cover ya mbowe hapo Lumumba!.
 
Mm nakuambia wewe una akili ndogo ununaita watu wamekimbia umande. Hicho unachoita mwenyekiti wa kudumu kimeandikwa ibara ya ngapi ya katiba ya chadema?
Unaropoka kila linalokujia ili mradi uchafue watu kwa faida ya nani?
Unapofuta Ibara inayozungumzia ukomo wa uongozi na ku-replace kwa ibara isiyo na ukomo wa uongozi tafsiri yake ndo hiyo! Unatengeneza mazingira ya kuwa na Mwenyekiti wa Kudumu.
 
Back
Top Bottom