CHADEMA yajiondoa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Waziri Jafo awashangaa kususia uchaguzi

Naona Channel ten kimekua chombo cha ccm, Chadema kujitoa ktk uchaguzi wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji sio habari. Lkn taarifa ya katibu mwenezi kuwaambia wapinzani ni wajinga hiyo ndio habari. Mahali tulipofikia ni hatari sana kwani vyombo vya habari navyo vimeufyata
 
SUSIA SUSIA Vs MABAVU MABAVU
 
Ninachokiona kilichokuwa kikitafutwa ni sababu ya kuonekana. Na wamecheza vizuri na muda.
Maeneo yaliyotokea sintofahamu ya kukatwa majina hapo hapo media zimetangaza na baadhi ya magazeti tumeona.
Wakati hili halijakaa kinaitwa kikao cha dharura kujadili hii sintofahamu.
Hapo hapo azimio la kujitoa kwenye uchaguzi.
Time management
Wamechelewa sana. Tuliwaambia wahimize watu wasijiandikishe, wao wakahimiza waende kujiandikisha. Hawa jamaa sijui kwa nini ni wagumu sana kuona hali halisi.
 
Kipanya kibonzo cha kesho sijui kitakuwaje?
 
Hongereni sana CHADEMA kwa uamuzi huu. Waache washiriki wenyewe. Afu cha kushangaza ikifika uchaguzi watawashindisha baadhi ya wapinzani ili ionekane nao walishiriki
 
Acha chuki bhana, kwa hiyo unawapangia cha kutangaza. Kama reporter wao hakuwapo.
 
Habari wakati wanywa mbege walijulikana kuwa watasusia tu
 
Upumbavu ni kipaji kama ilivyo ufupi na urefu. Mleta mada ni mpumbavu
 
Bora tumejitoa haya ccm jitangazieni ushindi nchi nzima msilojua ndio mwazidi pandikiza chuki na kuukuza upinzani Mara 3 ya ilivokua 2015
 
Safi sana,naunga mkono uamuzi mzuri huu,Waache CCM wajitekenye na kucheka
 
Msiwage mnaunga mokono mapema mtu muovu hawezi badirika, tulikataa kwenda kujuandikisha mkatuhimiza sasa yako wapi. Mwizi ni mwizi tu bado muuawe na kufungwa kunawangoja.
Maagizo wanaagiza watu wao wanasimamia tumekwisha na haachii atatawala miaka 20
 

Saafi
wawachie wenye waliojiandaa. Wenyewe waendelee na uchaguzi wa Mwenyekiti wao.
 
Haya maamuzi sahihi ila yamechelewa sana,sijui hata mlipopanga kushiriki mlikuwa mnafikiria nini.

Huwezi kufanya siasa na mtu asiyetayari kushindwa.

Uko sahihi ila ujue ilikuwa lazima kukusanya ushahidi na sababu za uhakika kusimamia maamuzi ya kujitoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…