CHADEMA yajiondoa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Waziri Jafo awashangaa kususia uchaguzi

kwa hali hii kuna viashiria vibaya 2020
 
‪Mbona WAMENUNA? Maana Nilitegemea LEO wale waliokuwa wanashangilia wagombea wao kupita bila kupingwa ndio wangegalagala chini kabisa kwa FURAHA, kwani tumewaachia Mitaa,Vijiji na Vitongoji vyote, ‬
‪Haya Sasa WATENDAJI tokeni uko MAFICHONI mkaendelee na KAZI na Muwashe SIMU zenu🤪‬
 
Mmeshindwa kushindana..sasa mnaombea adui mabaya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jafo anashangaa nini?
Walikuwa na muda wa kuweka mambo sawa na watendaji wasifunge ofisi zao. Muda wa yeye kucheza sindimba na kufurahia.
 
Hiyo Ndio demokrasia

Kama hujajipanga unajiandaa kwa wakati mwingine

TLP itatoa ushindani sasa
 

Wewe unaona hilo cdm haifi siku yatakapo kupata kisu cha ma t ko kikikuingia akili itakukaa viziri
 
Well said kuna ushahidi wa kutosha na sababu za kutosha watu kujibu kisasi watakavyo ,kijani hakitavalika mtaani, sitarajii yeyote kushangilia ushindi feki.
Hapo ndipo pa kumpima zito
 
Mmeshindwa kushindana..sasa mnaombea adui mabaya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio itakavyokua, nafasi za uongozi Zitageuka dili CCM Mwishowe wanayofanyiwa wapinzani wataanza Kufanyiana wenyewe.
 
Leo nilikuwa msibani na wananchi wa kawaida. Kimsingi wengi wamepobgeza masmuzi ya CHADEMA, hadi Viongozi walioteuliwa kutoka CCM. Tayari wana hofu na kilichofanyika kwamba kitaathiri maisha YAO na mahusiano. Hawana Amani kabisaaaaaa. Sijui tuendako
 
jaffow ni mpuuzi kama walivyo wapuuzi wengine,,
 
Mbona hueleweki mkuu?
Au hujui kuwa hata wagombea wa ACT- Wazalendo nao wamekatwa?
Sasa hao ACT- Wazalendo watang'aa vipi bila ya kuwa na wagombea!
 
Ila hii strategy ya kususa imefeli miaka yote!

Kwa nini msibadilishe action plan?

Dhulma ya wazi kabisa imetendeka hapa si kwa CDM tu.

It's high time now mtoke nyuma ya keyboards tuone ukamanda wenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…