Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmeshindwa kushindana..sasa mnaombea adui mabaya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haya mambo mnayafurahia ila mwisho wake ni mbaya sana kwa CCM.
Dhambi hii haiwezi kuwaacha salama, kitakachowakuta ni kugawanyika wenyewe kwani hata 2020 mtakuwa na timu ndani ya CCM na uchaguzi ukiisha mtaanza kunyoosheana vidole wenyewe msijue adui yenu ni nani na hapo ndio maandiko yatatimia.
Ngoja tuone!!Wa ubunge pia watajitoa. Tu beti!!!
Afadhali wametuokolea mda na gharama japo hizo gharama sijui km zitarudishwa serikalini.
Lkn gharama na hasara ya chadema kujitoa ni kubwa kwa baadae kuliko ambavyo ingeshiriki lkn hii dhana inahitaji kwa mtu mwenye jicho la mwewe ndio ajue ninamaanisha nini,
Hapo ndipo pa kumpima zitoWell said kuna ushahidi wa kutosha na sababu za kutosha watu kujibu kisasi watakavyo ,kijani hakitavalika mtaani, sitarajii yeyote kushangilia ushindi feki.
Ndio itakavyokua, nafasi za uongozi Zitageuka dili CCM Mwishowe wanayofanyiwa wapinzani wataanza Kufanyiana wenyewe.Mmeshindwa kushindana..sasa mnaombea adui mabaya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona hueleweki mkuu?Waswahili husema kufa kufaana baada ya chama kikuu cha upinzani nchini kujitoa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa kimetoa fursa kwa chama cha ACT wazalendo kuimarika zaidi.
Maana yake ni kwamba kwa sasa Chadema itakosa uwakilishi katika serikali za mitaa jambo ambalo ni hatari sana kwa ustawi wake.
Nina imani Zitto na maalimu Seif hawatasusia uchaguzi ila watapanga mbinu muafaka za kumkabili mwenzao waziri Jafo kwenye uwanja wa uchaguzi kwani waswahili wanasema.......Waarabu wa Pemba hujuana kwa vilemba.
Poleni sana Chadema
Maendeleo hayana vyama!
Yametimia, hatimaye mhimili mmoja umejichimbia ndani ya mingine na kisha kuchukua umiliki kamili.View attachment 1256831View attachment 1256832
Wamekatwa wote?!Mbona hueleweki mkuu?
Au hujui kuwa hata wagombea wa ACT- Wazalendo nao wamekatwa?
Sasa hao ACT- Wazalendo watang'aa vipi bila ya kuwa na wagombea!
😸😸😸Hiyo Ndio demokrasia
Kama hujajipanga unajiandaa kwa wakati mwingine
TLP itatoa ushindani sasa