CHADEMA yajiondoa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Waziri Jafo awashangaa kususia uchaguzi

CHADEMA yajiondoa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Waziri Jafo awashangaa kususia uchaguzi

Tujitoe na uchaguzi wa 2020. Ndio imani yangu itarudi rasmi chadema. Tuwaachie kila kitu wakose wa kumlaumu maana sasa hv kila kitu ooh upinzani hautaki maendeleo...after wataanza kulana nyama wenyewe kwa wenyewe
 
Tusifurahie sana Vyama vya upinzani kujiengua kwenye Uchaguzi. Hii ni stage mbaya sana kwenye Nchi. Narudia tena ni stage mbaya sana kwenye Nchi. Narudia tena ni stage mbaya sana kwenye Nchi. Wazee wenye Busara lisaidieni Taifa.
Sio mara yao ya kwanza kujitoa!
 
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe ametangaza chama chake kutoshiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 24, 2019 kwa madai wakishiriki wanahalalisha ubatili

Maamuzi hayo yanakuja ikiwa ni baada ya Wabunge wa CHADEMA kukutana leo alasiri Novemba 7, 2019 katika Kikao cha Kamati Kuu ya dharura ya chama kilichofanyika mkoani Dodoma

Jana, Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itikadi, Uenezi na Mambo ya Nje wa CHADEMA, John Mrema alisema Kamati hiyo itakutana leo kutoa msimamo wao wa mchakato wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Pia soma
Angalau sasa Jafo na maafisa tendaji watapumua na kuwa karibu na familia zao kwani wengine walikuwa wakilala nje ya ofisi zao kwa ajili ya kukwepa kupokea na kutoa fomu za wapinzani
 
Bora wameepusha damu za watanzania wasio na hatia kumwagwa na haya mashetani ya kijani
Naona kuna Faida chache na Hasara nyingi kwa CHADEMA Kujitoa katika hizi Chaguzi. Sauti zao za Malalmiko huenda zingesikika kwa uharaka na kupatiwa Ufumbuzi hata Kimataifa. Maamuzi yao haya ni ya Kimhemko, Kimkakati na Kipropaganda zaidi.
 
Nawaunga mkono, uchaguzi huu umesha najisiwa na CCMDOLA. Sasa wakajipongeze kwa "ustaraabu" walio onyesha. Kwenye uchaguzi mkuu wa 2020 itabidi wapinzani wawe na budget maalum ya kupigania mchakato bora kisiasa na kimahakama.
 
Asante sn CHADEMA.Dunia nzima inajua kilichopo na sie watanzania tunajua.Hatuwezi shiriki upuuzi huu ndo maana hata kujiandikisha hatujaenda.

Maccm endeleeni kutawala vile mnataka ila Mungu yupo.
 
That's good decisions

Nothing to care katika huu wanaouita uchaguzi, hii sasa ni kama alert kwamba nin wanatakiwa wafanye against next general election

Jamaa huyu si wakumchekea, anaharibu nchi
Magufuli lazima apatiwe dawa mapema upinzani ulichelewa sana kufanya maamuzi dhidi ya huyu jamaa
Sasa hivi Magufuli ashaota mbawa, kiburi kimemjaa
alisema Lisu tukampuuza
 
Back
Top Bottom