Hii ni furaha kwa ccmHiyo Ndio demokrasia
Kama hujajipanga unajiandaa kwa wakati mwingine
TLP itatoa ushindani sasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni furaha kwa ccmHiyo Ndio demokrasia
Kama hujajipanga unajiandaa kwa wakati mwingine
TLP itatoa ushindani sasa
Wamenyimwa haki ya kushiriki baada ya ccm kukimbia na mpiraMbowe mjanja sana. Kaona game tight kaamua kuweka Moira kwapani
Ni maamuzi mazuri...kwa maslahi mapana ya Taifa, imagine mtu anachukua form ya kugombea halafu anaenda Kupigwa mapanga usiku ..au mwingine amejaza form vzr anaambiwa amekosea...
hata aibu huna !Mbowe mjanja sana. Kaona game tight kaamua kuweka Moira kwapani
__eti amejenga uwanja wa ndege amejenga reli amajenga madaraja dar anajenga na Stieglarsgog amefukuza wafanyakazi hewa bado mpaka kwenye uchaguzi serikali za mitaa hajiaminin anajua ataangukia pua ujinga ni kuwaita watendaji ikulu na kuwagiza kama walivyofanyaEti jiwe anapendwa sana, sasa kama anapendwa uhuni wote huu ni wa nini?
Aibu ya nini?hata aibu huna !
Mwaka juzi uliomba michango humu uchangiwe hela Leo unaleta kiburiWa ubunge pia watajitoa. Tu beti!!!
CrapKwa ss tz haihitaji upinzani kwani hakuna ambapo anko magu hajapakuna hivo hakuna kuwashwawashwa. Mnaowashwa mfuateni master wa mashoga ubelgij
Salama wana bodi.
Tangu kuondoka kwa Dr Slaa ,Chadema haina ubunifu wala mvuto kwa wananchi tena. Hela walizokuwa wanapata kutoka kwa wafadhili zimekatika, chama kina njaa kali lakini ukweli huu hausemwi!!.
Mathalani wakati wa kuandikisha wapiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa chadema mkoa wa Kilimanjaro hawakuweka mawakala na alipoulizwa mwenyekiti wa chadema mkoa wa Kilimanjaro kwa nini chama hakiweki mawakala? Alisema Chadema hakina pesa ya kuwalipa mawakala shs 5000 kwa kila siku kwa siku 30 za uandikishaji!
Freeman Mbowe baada ya kuona maji ya shingo, sasa amekuja na mbinu mpya kugomea kushiriki kila uchaguzi ulio mbele yake na akiulizwa anasema ,sababu ni ubinywaji wa democrasia wakati si kweli. Ukweli ni kwamba chama hakina pesa..
Hata mchakato wa ndani wa chama kutafuta wagombea kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa chadema haikufanya.!!View attachment 1256773
Hasa! Upumbavu mtupu.Umeandika uchafu a.k.a kinyesi