CHADEMA yajiondoa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Waziri Jafo awashangaa kususia uchaguzi

CHADEMA yajiondoa kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Waziri Jafo awashangaa kususia uchaguzi

Wenye akili tulijua toka mwanzo kuwa mtasusia tu. Mlipiga propaganda watu wasijiandikishe mkashindwa. Mkawarubuni wagombea wenu waharibu ili wakatwa ionekane mmekatwa kwa kuonewa, ili uchaguzi usifanyike, imeshindikana. Sasa dawa ni kujitoa. Nami nasema, JITOENI.
Bora baba ako angetumia mpira ila si kwa uchafu huu alioleta duniani.
 
Chadema walionyesha tangu mwanzo hawataingia kwenye uchaguzi pale walipowakataza wanachama wake kujiandikisha. Kama walikuwa na nia ya kuingia kwenye uchaguzi kwa nini hawajaenda mahakamani kusimamisha zoezi zima la uchaguzi baada ya kuona lina dosari?
Kwenda mahakamani ni njia mojawapo lakini pia kuna njia zingine ambazo unaweza ukazitumia kama CHADEMA walivyofanya.
 
Kujitoa CHADEMA maana yake wamejitoa wapiga kura, Hiyo Tarehe 24/11 utaona vituo vya kupigia kura vitupu. Maana wamezoea kuiba kura za chadema na kuzifanya zao sasa wana hahaha kwa sababu watamuibia nani na hakutakuwa na cha kuiba. Kura hazitokuwepo, na wapigaji hutowaona siku hiyo ndiyo maana ccm wanalalama
Hapa ni sawa na mwanafunzi aliyezoe kupiga chabo kwenye mtihani akapangwa darasa zima peke yake
 
Uwezo huo hawana. Tatizo ambalo limesumbua sana upinzani kwa muda mrefu ni kuwa wanasiasa ndio wana mikakati wa upinzani. Matokeo yake haya unayoyaona mtalaumu Magufuli bure. Hawakuwa na mbinu nyingine yeyote wakati wa JK; unafikiri watapata sasa? Upinzani hauitaji mbinu nyingine tu; unahitaji uongozi mpya kabisa. Kama wangeniuliza mimi. Hapa mtazungushana hadi hawa wengine watazeeka huku mkiwaangalia; angalieni ya kina Besigye... na yaliyowakuta kina Tshikedi..

Mazingira yaliyopo kwasasa

1. Hakuna tofauti kati ya ccm na Dola
-Polisi, usalama wa taifa, jeshi nk wote ni ccm
-Mahakama hususan pale juu ni ccm wote
-Bunge linajiendesha kiccm 100%

2. Viongozi wa upinzani kwa ngazi tofauti
-Wanakesi za kizushi wala hazina Mashiko
-wapo Walio magerezani
-wapo waliofilisiwa biashara na Mali zao
-wapo waliopotezwa, kuuwawa, kupigwa risasi nk

3. Hakuna ushindani wa kikatiba wala kiimani, ccm Inapora chochote itakacho au kulazimisha maamuzi yoyote kwa faida yake

Mzee Mwanakijiji mkakati au mbinu zipi unazotaka wapinzani wafanye kwenye mazingira haya? Ambako, mahakama, vyombo vya dola, bunge na hata msajili wote wainaimba wimbo wakuitukuza ccm bila kuzingatia matakwa ya katiba?
 
Nadhani hii ni sehemu nzuri sana ya kuanzia harakati za ukombozi.

Huyo mwenyekiti wananchi wengi wa eneo lake hawawezi kumkataa? Yeye atakuwepo tu kuongoza hata kama watu hawatambui uongozi wake?

Uongozi hauishii kwenye kushika mihuri tu, yapo mambo mengi yanayohitaji ushiriki wa watu unaowaongoza. Kama hao watu hawakupi ushirikiano, utawaongoza vipi?

Au sasa hadi mahabusu yatahamishiwa hadi huko mitaani? Na bunduki zipo huko?

Mijadala ya JF ingekuwa na nguvu, hili ni swali zuri la kulijadili.

CHADEMA wakiwa makini, wasiishie tu katika kususia uchaguzi. Huu ndio ungekuwa mwanzo wa kuangalia njia zinazofaa kuwa'undermine' hawa watu wanaoteuliwa kuongoza watu ambao hawakuwachagua kwa utashi wao.
Cuf walisusia uchaguzi mkuu Zanzibar na maisha yanamesonga wazee
 
Alikuwa hatanii aliposema... mshahara nikulipe, gari nikupe....... halafu utangaze mpinzani kashinda" - ujumbe huu akiwa amewapa Wakurugenzi wa Majiji, Manispaa na Miji ambao ni wasimamizi wa uchaguzi.
kwa haya yanayoendelea leo, you need anew approach! a new approach! Kwa haya ya uchaguzi, you are justified for any new approach!

Hasa wakizingatia uamuzi wa mahakama kuwa hao wakurugenzi wakiapishwa basi watakuwa wasimamizi safi kama malaika? shetani akiapishwa anaweza akaitwa Mungu?
 
Uwezo huo hawana. Tatizo ambalo limesumbua sana upinzani kwa muda mrefu ni kuwa wanasiasa ndio wana mikakati wa upinzani. Matokeo yake haya unayoyaona mtalaumu Magufuli bure. Hawakuwa na mbinu nyingine yeyote wakati wa JK; unafikiri watapata sasa? Upinzani hauitaji mbinu nyingine tu; unahitaji uongozi mpya kabisa. Kama wangeniuliza mimi. Hapa mtazungushana hadi hawa wengine watazeeka huku mkiwaangalia; angalieni ya kina Besigye... na yaliyowakuta kina Tshikedi..
Upinzani wana viongozi wapya wengi sana. Hapa nadhani unamaanisha vuongozi waliotumwa na CCM. Kama una maana hiyo wala hakuna maana ya kubishana. Ila kama unamaanisha viongozi wa kweli, kwa ufupi team iliyopo CHADEMA ni the best. Tatizo lipo kwenye vyama mizoga vinavyotumika kuhalalisha chaguzi, au vyama mamluki.
 
Ni sawa na maiti iliokosa wasindikizaji lazima ilalame kwa kujiona kuwa ni maiti yenye mkosi na iliyokosa baraka za mungu.
 
uzushi utakusaidia nini ? ushahidi unaonyesha kwamba 30% ya wagombea wa ccm hawajui kusoma wala kuandika , nani aliwajazia fomu ?
Hao wa chadema wanajua kusoma ila kuandika hawajui .. umeelewa sasa

Ndiyo maana hata kujaza form walishindwa [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]


Cc: mahondaw
 
Hakuna jingine zaidi ya kuwa chadema ilikuwa inatafuta sababu za kutafuta mlango wa kutokea unafikiri bila ya kutumia hiyo trick pesa ya kulipia mawakala ungepatikana wapi ilihali chama hakina hata kumi!
Utashinda kwa kishindo usiwe na wasi wasi.
 
1573183704293.jpeg


Kungekuwa na demkrasia ya kweli angesha jiuzuru baada ya hii kauli.
 
Mkuu unaheshimika sana. Je unaona kuna mazingira sawa ya kisiasa nchini? juzi wagombea walitendewa haki? kwanza kuwe na mazingira sawa ya kisiasa hala ndio tulaumu mengine.. hata wakija wapya kama mazingi tuliyokweka ni hayahaya...
Uwezo huo hawana. Tatizo ambalo limesumbua sana upinzani kwa muda mrefu ni kuwa wanasiasa ndio wana mikakati wa upinzani. Matokeo yake haya unayoyaona mtalaumu Magufuli bure. Hawakuwa na mbinu nyingine yeyote wakati wa JK; unafikiri watapata sasa? Upinzani hauitaji mbinu nyingine tu; unahitaji uongozi mpya kabisa. Kama wangeniuliza mimi. Hapa mtazungushana hadi hawa wengine watazeeka huku mkiwaangalia; angalieni ya kina Besigye... na yaliyowakuta kina Tshikedi..
MMK, ARE YOU THAT MUCH SHALLOW?! sikutegemea. Eti mnamlaumu Magufuli! Nadhani wewe umezaliwa juzi, ungelikuwepo wakati wa Idd Aminusingelikuwa na childsh thinking.
Hakuna watu wajeuri kama Waganda. Mbele ya risasi walitoroka wote nchi mpaka walipopata Nyerere akamtoa Idd Amin kwa mtutu wa bunduki, short of that Idd Amin angelikuwepo anatawala , anaua, anateka mpaka leo! Mbona Magufuli anatumia risasi, utekaji and the like kutawala, why all these? take an hypothetical example, let say USA akianza kumpiga Magufuli mabomu kama afghanistan, utamshauri nini? Utampa mbinu gani? take that hypothetical scenario! Exactly this is what Upinzani is facing! Wiil magufuli survive a day?
Basi make a proposal! wapinzani wafanyeje? where is azory, where is ben , where is mawazo? unafanaye siasa mbele ya risasi za moto? They need a new approach! which one? Let them think deep!
 
Hii ndo ilikua njia sahihi tangu enzi ileeeeeeee ya chaguzi za marudiooo,
Na nyie vyama vingine vilivyobakia chukueni hatua km hiyooo
 
Hasa wakizingatia uamuzi wa mahakama kuwa hao wakurugenzi wakiapishwa basi watakuwa wasimamizi safi kama malaika? shetani akiapishwa anaweza akaitwa Mungu?
They need a new approach!
 
Upinzani wana viongozi wapya wengi sana. Hapa nadhani unamaanisha vuongozi waliotumwa na CCM. Kama una maana hiyo wala hakuna maana ya kubishana. Ila kama unamaanisha viongozi wa kweli, kwa ufupi team iliyopo CHADEMA ni the best. Tatizo lipo kwenye vyama mizoga vinavyotumika kuhalalisha chaguzi, au vyama mamluki.
exactly, the best!
 
........................... Acheni mengine yote, jikiteni huko huko mitaani kuwasihi wananchi watuondolee hili zimwi lililovamia nchi yetu. Hata CCM waliobakiwa na akili kidogo watawaunga mkono mkiwaelewesha vizuri hatari inayotukabili kutokana na matendo ya utawala huu.
Tatizo mikutano marufuku watawafikia vipi hao unawasema. inahitajika dawa mbadala
 
Back
Top Bottom