CHADEMA yatangaza kumwaga mishahara kwa watendaji wake wote kuanzia ngazi ya chini Kabisa

CHADEMA yatangaza kumwaga mishahara kwa watendaji wake wote kuanzia ngazi ya chini Kabisa

Mzee kama una standards ndogo ulizojiwekea katika kuwasilisha kitu usidhani kila mtu yupo kama wewe. Siwezi kutunga uongo over maisha ya mtu.

Umetoa hoja ya wewe kutoa magari and then next thing you can do ni kuniambia natunga uongo? Ili kuchafua chama cha siasa? Vyama vya siasa ni vichafu by default.
Kama vyama vya siasa ni vichafu by default, kwanini hukumshauri huyo jamaa yako asijiunge na chama cha siasa, badala ya kuja kulalamika hapa kwa story isiyo na ushahidi wowote?

Halafu pitia matumizi ya hizo question mark zako kama unaziweka sehemu sahihi, ili huo umakini wako uonekane. Standard zako zitaonekana hata kwenye uandishi wako.
 
Kama vyama vya siasa ni vichafu by default, kwanini hukumshauri huyo jamaa yako asijiunge na chama cha siasa, badala ya kuja kulalamika hapa kwa story isiyo na ushahidi wowote?

Halafu pitia matumizi ya hizo question mark zako kama unaziweka sehemu sahihi, ili huo umakini wako uonekane. Standard zako zitaonekana hata kwenye uandishi wako.
Spinning.

Kama utaamua kutafuta makosa katika uandishi hautapata.

Pia sijalalamika. Nimeandika, nimesema vyama vya siasa ni taasisi za kipuuzi. Unataka ushahidi gani boss? Ulivyosema umetoa magari nimekuomba ushahidi?
 
Spinning.

Kama utaamua kutafuta makosa katika uandishi hautapata.

Pia sijalalamika. Nimeandika, nimesema vyama vya siasa ni taasisi za kipuuzi. Unataka ushahidi gani boss? Ulivyosema umetoa magari nimekuomba ushahidi?

Lengo la kusema jamaa yako katumia pikipiki na hela zake kwa cdm kisha leo kawa mlevi mbwa ni nini? Mimi nimekupa mfano wa kutoa gari langu na sijawahi mlevi mbwa, sasa huyo jamaa yako unasema katumia pikipiki kawa mlevi mbwa. Nimekuuliza alilazimishwa kutumia pikipiki na hela zake kwa cdm, huna majibu zaidi ya kuja na sweeping statements za eti vyama vya siasa ni vichafu by default. Acha blabla boss, kama huna jipya piga kimya.
 
Yule aliyekua meya, Boniface Jacob, anamjua jamaa kwakua jamaa alikua anamuelezea madhila yaliyompata zikafuata danadana na kukimbiana.

So wewe mcheki Boni muulize juu ya Oldgard Urio wa mwananyamala kwa kopa aliyemjibu usinifuate fuate
Sasa Urio angechangia kama mimi nilivyochangia CHADEMA Kyela kwa miaka 15 mfululizo si angekufa ?
 
Lengo la kusema jamaa yako katumia pikipiki na hela zake kwa cdm kisha leo kawa mlevi mbwa ni nini? Mimi nimekupa mfano wa kutoa gari langu na sijawahi mlevi mbwa, sasa huyo jamaa yako unasema katumia pikipiki kawa mlevi mbwa. Nimekuuliza alilazimishwa kutumia pikipiki na hela zake kwa cdm, huna majibu zaidi ya kuja na sweeping statements za eti vyama vya siasa ni vichafu by default. Acha blabla boss, kama huna jipya piga kimya.
Kua kimya itasababishwa na uamuzi wangu siyo kwa ajili ya perepeche zako.

Nilichoandika nimeandika. Na ndiyo ilivyo.
 
Sasa Urio angechangia kama mimi nilivyochangia CHADEMA Kyela kwa miaka 15 mfululizo si angekufa ?
Inawezekana kashakufa. Sipo Dar kwa miaka kadhaa.

Swala siyo kuchangia swala ni ukishachangia unabakiwa na nini.
 
Lengo la kusema jamaa yako katumia pikipiki na hela zake kwa cdm kisha leo kawa mlevi mbwa ni nini? Mimi nimekupa mfano wa kutoa gari langu na sijawahi mlevi mbwa, sasa huyo jamaa yako unasema katumia pikipiki kawa mlevi mbwa. Nimekuuliza alilazimishwa kutumia pikipiki na hela zake kwa cdm, huna majibu zaidi ya kuja na sweeping statements za eti vyama vya siasa ni vichafu by default. Acha blabla boss, kama huna jipya piga kimya.
Hujawahi kulalama? Chadema uliingiza kichwa kichwa vijisenti vyako vikapurulwa. Mpaka sasa lawama zako ni kwa hayati JPM utadhani yeye ndio alikupurula. Dogo siasa sio mchezo wa draft uingie pupapupa.
 
Naona tunaleta mbwembwe kama za abunuasi.

Yaani kulipa mishara watendaji wa chama na kuimarisha chama?

Kama hata ofisi tu tumeshindwa ndio tutaweza kufanya haya?

IMG-20210611-WA0002.jpg


IMG-20210611-WA0000.jpg
 
Kauli hii ya kishujaa imetolewa na Mwamba Mwenyewe Freeman Mbowe alipokuwa anahitimisha mpango wa Operesheni Haki Mkoani Morogoro .

Mbowe ambaye sasa anaitwa Mtemi Isike , baada ya kusimikwa huko Tabora , amesema kwamba Chama chake sasa kinataka viongozi wake wafanye kazi moja tu ambayo ni kusuka chama kwa kukusanya wanachama wapya na kuhudumia wanachama wake 24/7 , hivyo ni lazima wapewe vitita viziro kila mwezi ili waweze kufanya kazi zao kwa ufanisi .

Kwa kadri ya kumbukumbu zangu CHADEMA yaweza kuwa ndio Chama cha kwanza cha kisiasa nchini Tanzania kuwalipa wafanyakazi wake wote hadi wa ngazi ya chini kabisa Mshahara , vyama vingine watendaji wake wengi huishi kwa kutegemea RUSHWA ZA WAGOMBEA WAKATI WA CHAGUZI za ndani au Uchaguzi Mkuu .
Kila nikifikiria kukiunga mkono iki chama na kuona Mbowe ndio kashika sterling naona kama driver wa boda boda kapewa scania lorry aendeshe..

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Huna jipya zaidi ya kuwa bendera fuata upepo.
Ulimuita Lowasa fisadi kwakua chama kimesema. Baadaye ukampigia deki barabara na magari ukatoa kwakua chama kimesema.

Nani bendera fuata upepo?
 
Ulimuita Lowasa fisadi kwakua chama kimesema. Baadaye ukampigia deki barabara na magari ukatoa kwakua chama kimesema.

Nani bendera fuata upepo?

Tafuta popote nilipowahi kumsifia Lowassa akiwa Ccm kisha kwenda cdm na kurudi ccm, kama kuna mahali popote niliwahi kulisifia lile zee tapeli la kisiasa. Ukiona popote nilipowahi kumsifia Lowassa, au takataka yoyote toka ccm akiwepo Sumaye, Nyalandu nk nipigwe ban ya mwaka mzima. Unanichukulia poa nini?
 
Tafuta popote nilipowahi kumsifia Lowassa akiwa Ccm kisha kwenda cdm na kurudi ccm, kama kuna mahali popote niliwahi kulisifia lile zee tapeli la kisiasa. Ukiona popote nilipowahi kumsifia Lowassa, au takataka yoyote toka ccm akiwepo Sumaye, Nyalandu nk nipigwe ban ya mwaka mzima. Unanichukulia poa nini?
Of course nakuchukulia poa. Umefanya spinning za ajabu kutoka kwenye original comment mpaka kwa Lowasa.

Easily blinded kama wafia chama wengine, kama mshkaji wangu Urio.
 
Back
Top Bottom