Waambieni viongozi wa Chadema waandike barua icc kuwaomba waelekeze macho Yao kwenye maandamano hayo,Ili kushuhudia endapo kutatokea ukiukwaji wa haki za binadamu kutoka kwa polisi na kusababisha vifo vya wananchi wasio na hatia na polisi watakaohusika wafunguliwe mashtakakwenye mahakama hiyo.Jipangeni kuua kama mlivyoelekezwa, Lakini Shetani hajawahi kumshinda Mungu
Ogopa Cha mtu mavi mkuuUkifa safari hii itabidi tumuoe mke sasa!! 🤣🤣 au unasemaje?
Hakika Mkuu tusipoangalia Watoto wetu na wajukuu zetu watatucheka na kutukana makabuli yetu.Nami nitasafiri kutoka popote nitakapokuwa ili tarehe 23 nishiriki maandamano ya kutetea haki ya msingi ya kuishi.
Watanzania tukiweza kuhimili matoke kama haya, basi tumeshinda!Akizungumza na Waandishi wa Habari leo mara baada ya Tamko Batili la Jeshi la Polisi la Kuzuia Maandamano Halali ya Chadema, Mkurugenzi wa Itifaki wa Chama hicho, John Mrema, amesema kwamba Wajibu Pekee wa Polisi kwenye mandamano yoyote ni kuimarisha Ulinzi tu, hawana Mamlaka yoyote ya kuyazuia.
Hii ni kwa Mujibu wa Sheria za Tanzania.
Mrema amedai kwamba, Maandalizi ya Maandamano hayo yanaendelea kama yalivyopangwa yakiwa na lengo la kupaza sauti Dunia nzima ili wote waliotekwa warejeshwe au kama wameuawa kama Ally Kibao basi mifupa yao ikabidhiwe kwa ndugu zao waizike kwa Heshima..
With all due respect. Tanzania haijafikia huko kwemye maandamano. Chadema wanatafuta attension tu ya madai yao lakini mtu wa kuandamana simuoni pale.Akizungumza na Waandishi wa Habari leo mara baada ya Tamko Batili la Jeshi la Polisi la Kuzuia Maandamano Halali ya Chadema, Mkurugenzi wa Itifaki wa Chama hicho, John Mrema, amesema kwamba Wajibu Pekee wa Polisi kwenye mandamano yoyote ni kuimarisha Ulinzi tu, hawana Mamlaka yoyote ya kuyazuia.
Hii ni kwa Mujibu wa Sheria za Tanzania.
Mrema amedai kwamba, Maandalizi ya Maandamano hayo yanaendelea kama yalivyopangwa yakiwa na lengo la kupaza sauti Dunia nzima ili wote waliotekwa warejeshwe au kama wameuawa kama Ally Kibao basi mifupa yao ikabidhiwe kwa ndugu zao waizike kwa Heshima..
Kama ni Mgogo basi sawaWith all due respect. Tanzania haijafikia huko kwemye maandamano. Chadema wanatafuta attension tu ya madai yao lakini mtu wa kuandamana simuoni pale.
ICC kikundi cha wahuni tu kile. Marekani na washirika wake wanafanya umafia kila kukicha wameshatoa jina la lani akamatwe.Waambieni viongozi wa Chadema waandike barua icc kuwaomba waelekeze macho Yao kwenye maandamano hayo,Ili kushuhudia endapo kutatokea ukiukwaji wa haki za binadamu kutoka kwa polisi na kusababisha vifo vya wananchi wasio na hatia na polisi watakaohusika wafunguliwe mashtakakwenye mahakama hiyo.
Kuna watu washaweka ok ticket zao na maombi ya ukimbizi yamekubaliwa ubelgiji na canada!Akizungumza na Waandishi wa Habari leo mara baada ya Tamko Batili la Jeshi la Polisi la Kuzuia Maandamano Halali ya Chadema, Mkurugenzi wa Itifaki wa Chama hicho, John Mrema, amesema kwamba Wajibu Pekee wa Polisi kwenye mandamano yoyote ni kuimarisha Ulinzi tu, hawana Mamlaka yoyote ya kuyazuia.
Hii ni kwa Mujibu wa Sheria za Tanzania.
Mrema amedai kwamba, Maandalizi ya Maandamano hayo yanaendelea kama yalivyopangwa yakiwa na lengo la kupaza sauti Dunia nzima ili wote waliotekwa warejeshwe au kama wameuawa kama Ally Kibao basi mifupa yao ikabidhiwe kwa ndugu zao waizike kwa Heshima..
Labda damu za breed hapo sawa, nina haya maandamano yatafanywa online kupitia keyboard za kompyuta na simu.Heshima ina gharama zake sometims hata kwa kumwaga damu.
Tusipoandamana this time, tusifanye hivyo 4reverViva CHADEMA
Tukutane trh 23
Shida ni mtuhumiwa namba moja ni polisi kwa mujibu wa chadema raisi anaogopa nini kuunda tume ya kijaji mzizi huu wa fitina ukaisha?Umechanganyikiwa dadangu ?!! 😲
Kweli shetani hamshindi mwenyezi Mungu na ndio maana mh.Rais ametoa maelekezo ya uchunguzi na kutafutwa hao hayawani wanaodhuru watanzania wenzetu.....
Papara ya nini na wakati tamko limeshatolewa?!!
Nahisi lengo la maandamano bado ni zuri. Kwa vile Mama yetu amelaani kitendo kile, maandamano ni watu kuonyesha hisia kwa vitendo kuwa akaze boots zaidi hao wauwaji wadhibitiwe. Akieleweshwa tofauti kama ninavyoona matamko ya dola, basi yatakayojitokeza.Umechanganyikiwa dadangu ?!! 😲
Kweli shetani hamshindi mwenyezi Mungu na ndio maana mh.Rais ametoa maelekezo ya uchunguzi na kutafutwa hao hayawani wanaodhuru watanzania wenzetu.....
Papara ya nini na wakati tamko limeshatolewa?!!
Achage umbea subiri muda uwadie.Hivi unawaamini Hawa kunguru?yaani wakiandamana hio j3 ...nimekaa paleeee
Vizuri sanaAkizungumza na Waandishi wa Habari leo mara baada ya Tamko Batili la Jeshi la Polisi la Kuzuia Maandamano Halali ya Chadema, Mkurugenzi wa Itifaki wa Chama hicho, John Mrema, amesema kwamba Wajibu Pekee wa Polisi kwenye mandamano yoyote ni kuimarisha Ulinzi tu, hawana Mamlaka yoyote ya kuyazuia.
Hii ni kwa Mujibu wa Sheria za Tanzania.
Mrema amedai kwamba, Maandalizi ya Maandamano hayo yanaendelea kama yalivyopangwa yakiwa na lengo la kupaza sauti Dunia nzima ili wote waliotekwa warejeshwe au kama wameuawa kama Ally Kibao basi mifupa yao ikabidhiwe kwa ndugu zao waizike kwa Heshima..