General Galadudu
JF-Expert Member
- Nov 7, 2015
- 1,868
- 2,210
Nchi inaelekea kubaya ,sababu tu ya wajinga wachache ndani ya ccm , kwa kulinda maslahi binafsi wala sio chama wala taifa.Akizungumza na Waandishi wa Habari leo mara baada ya Tamko Batili la Jeshi la Polisi la Kuzuia Maandamano Halali ya Chadema, Mkurugenzi wa Itifaki wa Chama hicho, John Mrema, amesema kwamba Wajibu Pekee wa Polisi kwenye mandamano yoyote ni kuimarisha Ulinzi tu, hawana Mamlaka yoyote ya kuyazuia.
Hii ni kwa Mujibu wa Sheria za Tanzania.
Mrema amedai kwamba, Maandalizi ya Maandamano hayo yanaendelea kama yalivyopangwa yakiwa na lengo la kupaza sauti Dunia nzima ili wote waliotekwa warejeshwe au kama wameuawa kama Ally Kibao basi mifupa yao ikabidhiwe kwa ndugu zao waizike kwa Heshima..
Kweli warudishe hata mafuvuAkizungumza na Waandishi wa Habari leo mara baada ya Tamko Batili la Jeshi la Polisi la Kuzuia Maandamano Halali ya Chadema, Mkurugenzi wa Itifaki wa Chama hicho, John Mrema, amesema kwamba Wajibu Pekee wa Polisi kwenye mandamano yoyote ni kuimarisha Ulinzi tu, hawana Mamlaka yoyote ya kuyazuia.
Hii ni kwa Mujibu wa Sheria za Tanzania.
Mrema amedai kwamba, Maandalizi ya Maandamano hayo yanaendelea kama yalivyopangwa yakiwa na lengo la kupaza sauti Dunia nzima ili wote waliotekwa warejeshwe au kama wameuawa kama Ally Kibao basi mifupa yao ikabidhiwe kwa ndugu zao waizike kwa Heshima..
Wakitaka pasiwepo maandamano mbona ni rahisi tu, wawarudishe hao walio tekwa. Kwani kuna ugumu gani?wote waliotekwa warejeshwe au kama wameuawa kama Ally Kibao basi mifupa yao ikabidhiwe kwa ndugu zao waizike kwa Heshima..
Swadakta, Hata Chadema wametaka hivyoWakitaka pasiwepo maandamano mbona ni rahisi tu, wawarudishe hao walio tekwa. Kwani kuna ugumu gani?
Mnawapeleka WATOTO watu FRONT kwa manufaa yenu wenyewe.Akizungumza na Waandishi wa Habari leo mara baada ya Tamko Batili la Jeshi la Polisi la Kuzuia Maandamano Halali ya Chadema, Mkurugenzi wa Itifaki wa Chama hicho, John Mrema, amesema kwamba Wajibu Pekee wa Polisi kwenye mandamano yoyote ni kuimarisha Ulinzi tu, hawana Mamlaka yoyote ya kuyazuia.
Hii ni kwa Mujibu wa Sheria za Tanzania.
Mrema amedai kwamba, Maandalizi ya Maandamano hayo yanaendelea kama yalivyopangwa yakiwa na lengo la kupaza sauti Dunia nzima ili wote waliotekwa warejeshwe au kama wameuawa kama Ally Kibao basi mifupa yao ikabidhiwe kwa ndugu zao waizike kwa Heshima..
Peopleeeeeeeeeeesssssssssss!!!!!Akizungumza na Waandishi wa Habari leo mara baada ya Tamko Batili la Jeshi la Polisi la Kuzuia Maandamano Halali ya Chadema, Mkurugenzi wa Itifaki wa Chama hicho, John Mrema, amesema kwamba Wajibu Pekee wa Polisi kwenye mandamano yoyote ni kuimarisha Ulinzi tu, hawana Mamlaka yoyote ya kuyazuia.
Hii ni kwa Mujibu wa Sheria za Tanzania.
Mrema amedai kwamba, Maandalizi ya Maandamano hayo yanaendelea kama yalivyopangwa yakiwa na lengo la kupaza sauti Dunia nzima ili wote waliotekwa warejeshwe au kama wameuawa kama Ally Kibao basi mifupa yao ikabidhiwe kwa ndugu zao waizike kwa Heshima..
😀😀Mpaka sasa Kwenye uzi huu Wauaji wako watatu
Kuongea rahisi.Hakika, inafahamika wataua lakini Je wataua wangapi ?
Sijui niseme nini kuhusu uzito wa maneno yako haya mkuu. Nimebaki tu nikitafuta jina ili niweke kumbukumbu akilini mwangu.Sijasoma andiko lako lkn heading tu inatosha kabisa kuunga mkono mara1 zaidi ya wahuni walio jipachika na kuvaa sare za kitu mishi.
Sijawahi andamana tofauti na kwenye dini awamu hii nitaandamana na nitahamasisha haya maandamano.
Naamini kifo kipi tu hivyo sitaogopa kuuawa.
Mimi Sina Chama. Bali kwenye haki ni haki.
Tutakuja kuchekwa na wajuu wetu Kwa ushenzi huu tunao uangalia maliasili zetu zikiporwa bila huruma.Sijui niseme nini kuhusu uzito wa maneno yako haya mkuu. Nimebaki tu nikitafuta jina ili niweke kumbukumbu akilini mwangu.
Suala la maandamano kwa Wa-Tz baaaaado sana...... ongeeni, tukaneni lakini ukweli ndio huo, tunajazana upepo humu lakini ikifika siku yenyewe kila mtu anaamkia kwenye shughuli zake, hata hiyo J3 nawahakikishia maandamano hayafanyiki niko hapa Mwanza