Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #121
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninyi akilizenu nikama furushi la 💩... Kunashidagani watu kukutana kudai haki Yao? Kama Haina maana watu hawatoenda Sasa mnawashwa kwanini?Bora hata ng'ombe ana akili . CHADEMA akili zao ni kama nyumbu tu.kwa sasa wamejaa uroho kama mafisi.ndio maana wanapendekeza uwepo wa wabunge wawili katika kila jimbo ili matumbo yao yapate shibe vizuri huku wananchi wakibebeshwa mzigo wa gharama za kuwalipa. CHADEMA wanafiki Sana nawasio faa hata kusikilizwa kwa lolote lile.wamekuwa wajasiriasiasa
Wewe utakwenda?
Mimi mara zote nipo hata kipindi kile lissu aliposema tukutane buguruni shell nilitoka tabu ilikuwa kwenu mnaojiita chadema mpaka jamaa akakimbilia ubalozini peke yake!
Tuseme wewe unaakili kuliko wanasiasa woote duniani waliowahi kuandamana kudai haki sio? Mahakama ipi itaizuia serikali hii linapokuja swala la kuongoza nchi? Au kwakuwa unatamaa ya kugombea na unaliotaga bunge?This is where Chadema does it wrong!. Matatizo ya kisiasa, yanahitaji ufumbuzi wa kisiasa, Matatizo ya kisheria, yanahitaji ufumbuzi wa kisheria. Kwavile sheria yenyewe bado ni muswada, haijatungwa, it's OK kuandamana kushinikiza mabadiliko lakini sheria ikiisha tungwa maandamano hayasaidii kitu, it needs legal redress.
Sometimes maandamano sio solutions ya kila kitu!. Hoja ya Udikteta wa Magufuli: Tundu Lissu isn't Right. Haupingwi kwa kupaza sauti kupiga tu Kelele!
Rafiki yangu Zitto, niliwahi kumuuliza Zitto Kabwe na wapinzani wote, kwanini mnapiga tu kelele kuhusu udikteta bila kuchukua hatua zozote? Isn't it a nuisance? Je, 2020 ni CCM pekee?
Pia CHADEMA Chama cha Ajabu Sana!.Kwenda Mahakamani Kwa Non Issue, Serious Issue ya Katiba ni UKUTA!.
P
Si wewe umesoma sheria si utoe mchango wako?This is where Chadema does it wrong!. Matatizo ya kisiasa, yanahitaji ufumbuzi wa kisiasa, Matatizo ya kisheria, yanahitaji ufumbuzi wa kisheria. Kwavile sheria yenyewe bado ni muswada, haijatungwa, it's OK kuandamana kushinikiza mabadiliko lakini sheria ikiisha tungwa maandamano hayasaidii kitu, it needs legal redress.
Sometimes maandamano sio solutions ya kila kitu!. Hoja ya Udikteta wa Magufuli: Tundu Lissu isn't Right. Haupingwi kwa kupaza sauti kupiga tu Kelele!
Rafiki yangu Zitto, niliwahi kumuuliza Zitto Kabwe na wapinzani wote, kwanini mnapiga tu kelele kuhusu udikteta bila kuchukua hatua zozote? Isn't it a nuisance? Je, 2020 ni CCM pekee?
Pia CHADEMA Chama cha Ajabu Sana!.Kwenda Mahakamani Kwa Non Issue, Serious Issue ya Katiba ni UKUTA!.
P
Mkuu Mwashambwa umejenga hoja yako kwenye premise ya kwamba maandamano ni vita, ukiandamana utapigwa, au utakutana na virungu vya polisi!Hakuna mtanzania mwenye akili timamu na anayejitambua anayeweza kuunga mkono ujinga wa CHADEMA wa kutaka kuwa na wabunge wawili katika kila jimbo. Yaani sisi watanzania na akili zetu tuandamane kuwaunga mkono CHADEMA na mawazo yao finyu ya kutuongezea mzigo wa gharama ya kuwahudumia wabunge wawili wawili kila jimbo? Kwamba CHADEMA inatuona ni wajinga sisi watanzania? Au mbowe anafikiria kuwa sisi ni wajinga kama anavyowachukulia wafuasi wake kama watu wasio na akili na wanaofanana akili Na nyumbu na wanaoweza kubadilishiwa gia mahali popote pale kama alivyofanya 2015?
Sasa kama mbowe anataka maandamano aandamane yeye na mke wake na watoto wake ndio wawe mbele .na siyo kutanguliza watoto wa watu mbele huku yeye akiwa kwenye Tv akila Minofu ya nyama nakushushia bia. Mbona hajawahi kuongoza maandamano kwa kuwa mbele? Mbona watoto wake hawajawahi kushiriki maandamano? Je Watoto wake siyo Watanzania? Mbowe aache ubabaishaji na kuficha udhaifu wake wa kushindwa kuliongoza chama kutokana na kuwa na mawazo mgando na kufika kikomo cha mwisho kifikra baada ya kukaa muda mrefu madarakani tokea 2004 .
This is where Chadema does it wrong!. Matatizo ya kisiasa, yanahitaji ufumbuzi wa kisiasa, Matatizo ya kisheria, yanahitaji ufumbuzi wa kisheria. Kwavile sheria yenyewe bado ni muswada, haijatungwa, it's OK kuandamana kushinikiza mabadiliko lakini sheria ikiisha tungwa maandamano hayasaidii kitu, it needs legal redress.
Sometimes maandamano sio solutions ya kila kitu!. Hoja ya Udikteta wa Magufuli: Tundu Lissu isn't Right. Haupingwi kwa kupaza sauti kupiga tu Kelele!
Rafiki yangu Zitto, niliwahi kumuuliza Zitto Kabwe na wapinzani wote, kwanini mnapiga tu kelele kuhusu udikteta bila kuchukua hatua zozote? Isn't it a nuisance? Je, 2020 ni CCM pekee?
Pia CHADEMA Chama cha Ajabu Sana!.Kwenda Mahakamani Kwa Non Issue, Serious Issue ya Katiba ni UKUTA!.
P
Mkuu pamoja na kuwa ushauri wako ni mzuri ila kutokana na ukada wako ndani ya CCM ni vigumu mno kutanabaisha kama ushauri wako ni wenye nia njema kwa upinzani!This is where Chadema does it wrong!. Matatizo ya kisiasa, yanahitaji ufumbuzi wa kisiasa, Matatizo ya kisheria, yanahitaji ufumbuzi wa kisheria. Kwavile sheria yenyewe bado ni muswada, haijatungwa, it's OK kuandamana kushinikiza mabadiliko lakini sheria ikiisha tungwa maandamano hayasaidii kitu, it needs legal redress.
Sometimes maandamano sio solutions ya kila kitu!. Hoja ya Udikteta wa Magufuli: Tundu Lissu isn't Right. Haupingwi kwa kupaza sauti kupiga tu Kelele!
Rafiki yangu Zitto, niliwahi kumuuliza Zitto Kabwe na wapinzani wote, kwanini mnapiga tu kelele kuhusu udikteta bila kuchukua hatua zozote? Isn't it a nuisance? Je, 2020 ni CCM pekee?
Pia CHADEMA Chama cha Ajabu Sana!.Kwenda Mahakamani Kwa Non Issue, Serious Issue ya Katiba ni UKUTA!.
P
Unataka nianze bragging ?. Kila siku za Jumapili, saa 3:00 usiku angalia Channel Ten, nawapatia Watanzania huduma hii"This is where Chadema does it is wrong"
Taja jambo la maana umewafanyia wa Tanzania na Elimu yako? Zaidi ya uchawa, umbea na uzandiki?
JF was meant to be the home of GT. Ma GT wanaangalia mada iliyopo mezani na sio mtoa mada.Mkuu pamoja na kuwa ushauri ni mzuri ila kutokana na ukada wako ndani ya CCM ni vigumu mno kutanabaisha kama ushauri wako ni wenye nia njema kwa upinzani!
JF was meant to be the home of GT. Ma GT wanaangalia mada iliyopo mezani na sio mtoa mada.Mkuu pamoja na kuwa ushauri ni mzuri ila kutokana na ukada wako ndani ya CCM ni vigumu mno kutanabaisha kama ushauri wako ni wenye nia njema kwa upinzani!
Mwashambwa njaa imetafuna akili zake,Wewe usiyejitambua ndiyo utashindwa kwenda kuamdamana maana wewe ni KULA KULALA hujui hata jinsi pesa inatafutwa.
Wanaotangaza kuandamana ni chadema,na Wala sijaona mahali wanakomlazimisha mtu kushiriki maandamano yao.na hao chadema ni wananchi pia kama Katiba inawaruhusu kufanya maandamano hayo kwa nini tusisubiri Ili tuone ufanisi wa maandamano yao?.Hakuna mtanzania mwenye akili timamu na anayejitambua anayeweza kuunga mkono ujinga wa CHADEMA wa kutaka kuwa na wabunge wawili katika kila jimbo. Yaani sisi watanzania na akili zetu tuandamane kuwaunga mkono CHADEMA na mawazo yao finyu ya kutuongezea mzigo wa gharama ya kuwahudumia wabunge wawili wawili kila jimbo? Kwamba CHADEMA inatuona ni wajinga sisi watanzania? Au mbowe anafikiria kuwa sisi ni wajinga kama anavyowachukulia wafuasi wake kama watu wasio na akili na wanaofanana akili Na nyumbu na wanaoweza kubadilishiwa gia mahali popote pale kama alivyofanya 2015?
Sasa kama mbowe anataka maandamano aandamane yeye na mke wake na watoto wake ndio wawe mbele .na siyo kutanguliza watoto wa watu mbele huku yeye akiwa kwenye Tv akila Minofu ya nyama nakushushia bia. Mbona hajawahi kuongoza maandamano kwa kuwa mbele? Mbona watoto wake hawajawahi kushiriki maandamano? Je Watoto wake siyo Watanzania? Mbowe aache ubabaishaji na kuficha udhaifu wake wa kushindwa kuliongoza chama kutokana na kuwa na mawazo mgando na kufika kikomo cha mwisho kifikra baada ya kukaa muda mrefu madarakani tokea 2004 .
🙏JF was meant to be the home of GT. Ma GT wanaangalia mada iliyopo mezani na sio mtoa mada.
Niliwashauri Chadema CHADEMA msipuuzie ushauri hata kama ni kutoka kwa shetani, sometimes the devils does good deeds
P
👍🆒Wanaotangaza kuandamana ni chadema,na Wala sijaona mahali wanakomlazimisha mtu kushiriki maandamano yao.na hao chadema ni wananchi pia kama Katiba inawaruhusu kufanya maandamano hayo kwa nini tusisubiri Ili tuone ufanisi wa maandamano yao?.