Ni mpumbavu tu ambaye haelewi legacy ya Magufuli. Tuna wapumbavu wengi tu wa aina yako hapa Afrika.

Ila kwa wenye akili ndo utakuta wanamtukuza sana kwa kirefu.

Soma jarida hili (link hiyo chini) kuanzia ukurasa wa tisa, sio unajaza kichwa upuuzi wa CNN na BBC.


Halafu niambie nani mwingine hapa Tanzania (ukiondoa Nyerere) amepata hadhi hiyo ya kupigiwa saluti na Afrika.
 
Nenda kapate chanjo ,achana na maneno ya vichochoroni,akili ya kuambiwa changanya na zakwako.
 

Wewe usiyepinga chanjo tupe sababu zako.
 
Ni mpumbavu tu ambaye haelewi legacy ya Magufuli. Tuna wapumbavu wengi tu wa aina yako hapa Afrika.

Kuna upumbavu kama huo wa kwako wa kutaka tuchukue maneno ya mtu asiye na taaluma yoyote ya kitabibu kwenye masuala ya kitabibu?!

REMEMBER:- Mtaji Mkubwa wa Magu ulikuwa Jeshi Kubwa la Wajinga lililokuwa nyuma yake! Na hili Jeshi la Wajinga ndio mtaji mkubwa wa watu aina ya Askofu Rasheed!!!

Ila kwa wenye akili ndo utakuta wanamtukuza sana kwa kirefu.
I'm sure wewe huwezi kuingia kwenye kundi la hao wenye akili!!! Sasa kama pamoja na kutokuwa na ubavu wa kuingia kwenye kundi la wenye akili, bila shaka utakuwa umepata jibu anatukuzwa na watu gani!!!

Mi nasema hivi... ungekuwa na akili usingeweka vitabu vya simulizi kujibu argument za kisayansi!! Ni kilaza pekee ndie anaweza kufanya huo ujinga!!!
Soma jarida hili (link hiyo chini) kuanzia ukurasa wa tisa, sio unajaza kichwa upuuzi wa CNN na BBC.
Hapa ndipo unapothibitisha ujuha wako manake katika posts zangu hakuna hata sehemu moja niliyoweka habari za media kujibu hoja za kisayansi, na kama papo, onesha!!

Kinyume chake, ni wewe mwenyewe ndie umeweka kitabu kilichoandikwa na mwandishi wa habari asiye na taaluma yoyote ya kitabibu, etu kujibu hoja ya kitabibu...

Muulize hata mtoto wa jirani yako hapo sasa ni nani kati yetu ni mpuuzi!!!
Halafu hapa ndo ujiite una akili?! Typical Magu Supporter....

Yaani bado tu hujajua kwamba unatakiwa kuwa na Majuha wenzako ndipo unaweza kuokoteza sources uchwara online na kuzileta hapa?!

Ungekuwa na akili kama unavyojaribu kudai, ungeanza kwanza kuangalia Site Metrics kabla hujakuja kutujazia server!! Na ungefanya hayo, ungeona metrics za kiblog chako ni kama ifuatavyo....


Kumbe ki-blog chenyewe hakina hata online engagement halafu ndo unakileta hapa kama reference? Tafiri ya blog yenye metrics za aina hiyo ni blog uchwara kwa sababu hakina hata idadi ya maana ya watu wanaokitembelea hicho ki-blog! Ukiingia hapa, utaona Site Metrics za Blog ya Le Mutuz...

Lakini hata ukichukua hiyo magazine yenyewe... ina uzito upi?! Na kama haina uzito wowote, utashangaa nini ikiwa hata waandishi wenyewe ni makanjanja aina yako...

Next time, acha kuokoteza okoteza vihabari kutoka blogs uchwara wakati huna uwezo wa kuchuja!!!
 
Habarini Wanajukwaa,
Nawapa pole kwa shughuli zenu za hapa na pale katika kujitafutia ridhiki zenu za kila siku,na katika harakati za ujenzi wa taifa letu tukufu.

Hivi karibuni hapa Nchini kuna vuguvugu ambalo linaendeshwa na mchungaji Gwajima juu ya kukataza Watanzania wasipate Chanjo za Korona,katika kutetea hoja zake anajaribu kukonga hisia za watanzania wengi.

Na ukweli ni kwamba,tofauti na Wenzetu wa Ulaya na Marekani,jamii nyingi za kiafrika ziko tayari kuzipa kisogo tafiti za Kisayansi na kuamini uvumi ilimradi uvumi huo unakonga nyoyo zao.

Mimi nimeamua kupitia jukwaa hili niweke uzi huu ambao utamwezesha mtu yeyote mwenye mashaka,Swali au dukuduku kuhusu Chanjo hizi za Korona aweze kuuliza.

Nitajitahidi kujibu kila swali kadri nitakavyo weza.

Karibuni sana.
 
Anaetaka akachanjwe,asietaka aache.

Mimi nitasuburi kwa zaidi ya miaka 3 Ili nione upepo unaendaje,kama kuna uwezekano wa kufoji documents nitafanya hivyo.Najua CORONA haiwezi kunifanya chochote,au laah ningekuwa nimefukiwa tangu mwaka Jana maana si kea life ninaloishi.

NB:Sitaki ushauri.
 
Kuna umuhimu gani wa kuwa na chanjo isiyoweza kuzuia ugonjwa husika?
Endapo itatokea variant nyingine ya Corona chanjo hii itaendelea kuwa na manufaa au tutapaswa kuchanjwa upya?
 
Dawa nyingi kabla ya kumpatia mgonjwa lazima wachunguze kama kuna uwezekano wa allergic reaction kutokea.

Sasa kwann uchunguzi wa aina hii haufanyiki kabla ya kumpa mtu chanjo ya korona? Hudhanii kuwa hii ndiyo sabb ya damu kuganda kwa baadhi ya watu wanaopatiwa chanjo ya korona??
 

Acha ujinga ukidhani unakuwa mwelevu.. Scienrific Journal Papers ziko kibao mtandaoni.. Kuanzia Science journal mpaka Journal za wahindi na wachina.. Watabe waliosoma mashule ya ukweli wanaelewa vizuri wapi wanapata nyanga za kibabe. Nenda Google scholar, scimago, Web of science au Science Direct katafute usome.. Usituletee ukilaza wako hapa..
Hivi humu JF kuna vilaza zaidi yako?
 
Bila ya kujali kuwa Rais Samia na kundi lake wamechomwa Janssen au hapana; haituondolei uhalali wa sisi kuhoji na kujadili kwa mapana bila ya kupotosha ufanisi na ubora wa Janssen Vaccine. Aidha, hii ni ukweli kwamba kati yetu sisi hakuna anaeweza thibitisha au kutothibitisha kuwa ni kweli Rais na kundi lake wamechomwa Janssen Vaccine au hapana .
Hili libaki kuwa lao na MUNGU wao.

Kama independent entity;
a. Tulitegemea kuona baada ya kuwasili kwa chanjo, Wizara ya Afya ifanye random trials kwa namna ambayo inafaa kabla ya kuwapa watanzania kutokana na record ya Janssen Vaccine. Hili halijafanyika, je wizara imeamua kutufanya sisi Lab testing rats [emoji232] ?

b. Kamati iliyoundwa juu ya UVIKO-19!ilikuwa ni theoretical based yaani ni ku google na google, na mapendekezo yake yalikuwa ni theoretical based dhidi ya existing research za wengine; kamati kama kamati Ilifanya testing gani katika kuishauri serikali juu ya chanjo za aina mbalimbali? kamati ilipendekeza chanjo ya aina gani? na kwa vigezo gani ambavyo ni experimental ?

c. Short na long term effects za Janssen zimebainishwa kwa mantikia gani? au ndiyo sisi tunatakiwa kuzitolea taarifa hizo long term na short term effects post vaccination?

d. Science kwa sasa ni weapon hatari sana, iweje sisi tunaendea haya mambo bila ya kuweka practical base? Integrity's na authenticity ya wizara ya afya ipo wapi? Dhamana dhidi ya watanzania ni kutusomea documents za wazungu au kututhibitishia by testing and trialing scientifically as independent entity?

La mwisho, lakini ambalo si la mwisho kabisa; nashauri kwamba kama Wizara ya Afya, inataka kufanikiwa katika hii vita, iwe PROACTIVE badala ya kuwa REACTIVE. Ni wakati wa kusikiliza zaidi kwasababu Wizara kama Wizara haijafanya experiment yoyote kwenye Janssen, kilichofanyika ni paper based na kupokea maagizo kutoka juu.

Hata hivyo, nashauri kwamba tusishawishi watu kutokwenda kuchanjwa; Wanasiasa na maigizo yao wasiwe ni sehemu ya kukukataza au kukushawishi kwenda au kutokwenda.
Maisha ni yako na MAAMUZI ya kwenda au kutokwenda yatoke kwako.
 
Kwani mkuu wewe ni virologist au ni kama askofu Rashid au hata kibwetere tu?
 
Wewe ni JUHA tu!!

Weka hapa Ripoti ya Kitaalamu iliyoifanywa na Watafiti wetu kuhusu chanjo za surua, ndui, polio, na zinginezo!!!

Ulivyo mpumbavu unasahau kwamba chanjo zote zinazotumika nchi hii, huku zingine wewe mwenyewe na ukoo wako mkiwa mmezitumia, zote hizo zinatoka kwa Wazungu halafu hapa unakuja na porojo zenu za Kijuha eti Wazungu wanawaletea chanjo ili kuwamaliza... ni ujinga ulioje!!!

Hivi wewe na ukoo wako wote mna kipi cha maana cha kuwafanya wazungu wawatengenezee chanjo za kutaka kuwadhuru?

Kwamba eti wamepewa tu maelekezo na Wazungu ni ujuha mwingine!! Yaani unataka kuaminisha watu kwamba Wataalamu wetu ni bora kuliko wataalamu wa WHO walioidhinisha hizi chanjo!!!

Wewe ni Juha unapojaribu kuonesha Chanjo zilizoidhinishwa na WHO haziwezi kuwa salama kwa sababu tu Magufuli na Gwajima wamesema hivyo, kwa sababu kila nikikuambia weka hapa credible source inayo-support madai yenu ya kiwehu, bado umeshindwa kufanya hivyo zaidi ya kuweka vipeperushi vya kuokoteza online!!!

Huyo Gwajima na Magufuli waliwahi kuifanyia utafiti hiyo chanjo na kutoa majibu ya kisayansi mnayoyaimba hivi sasa?
 
Uzi huu ni kwa ajili ya kupashana habari za kisayansi za afya za binadamu.
Kwa kuanza, tumeona kitu kinaitwa chanjo kikipigiwa chapuo kwa nguvu na watu walio na wasio na utaalamu wowote kuhusu afya. Lakini pia nguvu kubwa inatumika kushawishi watu wapate chanjo inayoitwa kuwa ni ya covid 19. Na kwa nyongeza ni jambo ambalo halijawahi kutolewa ufafnuzi wa kitaalamu ni kwa sababu gani dunia inakaza sana kuzungumzia chanjo, badala ya kuwekeza katika tiba kama ilivyo kwa magonjwa mengine.

Tumsikilize huyu mtaalam wa afya na mwenye ushauri chanya atoa hapa ili tujadiliane kwa utaalamu, uvumilivu na umakini.

Ninaanza na hii clip.

 
Wewe ni mpumbavu wa kwanza kabisa. Hebu usiniwekee zogo hapa sina muda wa kupoteza kwa wapumbavu wasiojelewa.
 
Nimechomwa chanjo za mabeberu tangu nikiwa mwaka 0
Kwa hiyo hoja yako ni ya mazoea.

Sasa hiyo nayo unaona ni hoja?

Kwani hujui kuwa hata jambazi kuna wakati alikuwa ni mtu mwema?

Au unajua yule jamaa aliyegonga treni juzi pale Kilosa ilikuwaje? Ni kwa sbb alikuwa amezoea anapita kila siku pale hakutani na treni.

Funguka akili mwafrika usiishi kwa mazoea mtu anakuchukulia poe kuwa ushakuwa teja lake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…