Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
GWAJIMA-Mwenyekiti SUKUMA GANGTangu Serikali iruhusu chanjo ya Corona kuingizwa nchini mjadala mkali umezuka kati ya wapinga chanjo hiyo na wale wanaoikubali, hali hii ni tofauti kabisa na mataifa mengine kama majirani zetu Kenya ua Rwanda...
Huyu nana elimu dunia, na hata PhD yake haijulikani alipoitoa.
huyu na wapumbavu wengine wamechomwa chanjo 13 toka kwa wamarekani, yaani chanjo zote za utoto , mabusha , Hepatitis B, C na Yellow fever, hawakuwahi kupinga wala kutilia shaka ila hii moja tu ndio wananyanyua mabakuli yao.