#COVID19 Chanjo za Kupambana na Corona (COVID-19): Nini Maoni na Mtazamo wako?
Mkuu Hii kampeni yako kwa pamoja tuiite "Twende kwa mwendazake"
 
Ukifanya hivyo utakua unamkomoa nani?

Hao IMF uliowataja hivi hata watajua kua wewe hunawi mikono wala kuvaa barakoa?
 
Unaweza fanya hivyo nyumban kwako tu, Mtaani ni serikali ndo inaamua utanawa au hautanawa
 
Naona mleta mada umeamua ku-beep...subiri atakupigia muda sio mrefu.

Asilimia kubwa ya walioidharau COVID-19 hadharani iliwashughulikia. Subiri!
 
Hii inchi naona mabeberu yameikamata sasa nasema mimi binafsi sitakuja nawa mikono wala kuvaa barakoa

ilikuja corona ikasepa sembuse hii ya IMF?

msitupangie maisha na msitutishe
Sawa, angalau basi unawe mikono unitoka chooni tafadhali
 
Naona mleta mada umeamua ku-beep...subiri atakupigia muda sio mrefu.

Asilimia kubwa ya walioidharau COVID-19 hadharani iliwashughulikia. Subiri!
Hapa kuna maswali mengi na majibu ya kweli badooo.
 
Hii inchi naona mabeberu yameikamata sasa nasema mimi binafsi sitakuja nawa mikono wala kuvaa barakoa

ilikuja corona ikasepa sembuse hii ya IMF?

msitupangie maisha na msitutishe
You 're so naive and childish!
Grow up a little.
 
Hii inchi naona mabeberu yameikamata sasa nasema mimi binafsi sitakuja nawa mikono wala kuvaa barakoa

ilikuja corona ikasepa sembuse hii ya IMF?

msitupangie maisha na msitutishe
Hii si habari njema kabisa kwa wanaokudai.

😎
 
Huwataki mabeberu sasa mbona unatumia simu ya mabeberu? Hiyo pedi uliyovaa si imetoka kwa mabeberu? We dada kuwa na adabu. Vaa barakoa kuwalinda wengine.
 
Beberu hajawai kuwa na urafiki na muafrika

Ukwel huwa hauna nguvu hasa katika jamii zetu za kiafrika kwasababu ya kuto fikiri kwa kina na kupima kile unachosikia

Muafrika mwenzangu kuwa makini na hiyi chanjo jilinde mwenyw usipend kumpa jukumu MTU juu ya uhai wako

Hauta sikia popote haya kwasababu wana maslai zao binafsi kwahy unaloambiwa changanya na zako

Wewe ni wathaman uwepo wako ni wathaman kamwe usiweke rehani uhai wako (sina maana mbaya ila jiongeze kwenye hiyi chanjo)
 
Back
Top Bottom