#COVID19 Chanjo za Kupambana na Corona (COVID-19): Nini Maoni na Mtazamo wako?
Mkishaanza kuchanganya siasa na sayansi mnaharibu. Kama hizi chanjo siyo nzuri kwetu, toeni sababu za kisayansi na siyo za kisiasa za kwa nini watu wasichanjwe. Kama ni side effects za chanjo, kila dawa ina side effects. Kama chanjo hazifanyi kazi, leteni takwimu zake tuzisome.
Kwani ww ni maiti? Husikii wala kuona yanayuendelea kote duniani!?
Unasubiri uletewe ya kusoma na nani kwa faida ya nani!?
Ww nenda kasaini fomu uchanjwe kama unaamini itakulinda...usitupigie mikelele!
 
Yaani wewe upewe ripoti? Mbona hujaulizia ya dawa zote walizonazo hospitali ambazo tunapewa na mabeberu? Achaga ujinga wewe... Wenzio wanasoma miaka 6 chuoni kuelewa hizo ripoti afu wewe unataka uelewe kwa dakika 5. Shenzi

Kama ulikuwa hujui ripoti za utafiti wa kitaaluma huwa zinawekwa mtandaoni.

Kwa hiyo usiwe na akili fupi ukadhani ni vitu vya siri.

Kwa hiyo niliyemuuliza swali alete link tu kwamba ripoti ni hii.

Ila kiufupi hakuna utafiti wowote uliofanyika na hao wanaoitwa "wataalam" wetu.

Ni kwamba wamepewa tu maelekezo na wazungu kwamba habari ni hii.
 
Hoja za Rais zinatokana na matokeo ya study na majaribio ya kitaalamu yaliyofanywa kuhusu chanjo husika!

Sasa wewe unataka Wahuni kama akina Gwajima nao waachwe waendelee kuwajaza watu ujinga kwa kuzingatia study zipi alizofanya?!

Huyo Gwajima amefanya study yoyote kuthibitisha madai yake?

Huyo Gwajima ana utalaamu wowote wa field husika kuthibitisha madai yake?

Huyo Gwajima ana maabara wapi aliyotumia kufanya uchunguzi wa hizo chanjo?!

Btw, unadai eti huoni sababu ya Gwajima kutolewa vitisho... umemsikia Gwajima kaongea nini hasa?!
Hizo chanjo hapa zimefanyiwa study na nani kujua madhara ya muda mfupi na muda mrefu? Chanjo zimefika hata hazina mwezi unataka kusema tayari zimefanyiwa study? Again watu sio wajinga, even the uneducated, kuna ujinga mwingi sana tunafanya waafrika..corona haija athiri hata watu elfu 10 nchini then unaweka lengo la kuchanja 60% ya watanzania? Duh.
 
Pamoja na dhamana tuliyowapa lakini leo hii huwezi kuwatofautisha wanasayansi na wanasiasa. Mambo ya wito yamemezwa na maslahi ya mtu,hivyo wanasayansi wengi hasa upande wa udaktari kuna hongo na rushwa za kila namna ili maisha yasogee.

Kitu cha kustua kuhusu chanjo ya corona ni kwa namna gani uvumbuzi wake ulivyopatikana overnight tena toka mataifa yote makubwa kwa wakati mmoja. Uingereza,marekani,urusi,China zote zilipata chanjo ndani ya muda usiopishana sana.

Ukirudi kwa wataalamu wetu wa ndani napo huwezi kutaka nafasi maoni yao kwenye chanjo ya corona kutokana na jinsi tunavyowajua uwezo wao,muda mfupi tulionao tangu kuvumbuliwa hizi chanjo.
 
KWANINI CHANJO YA KORONA IMELETWA

Kama kuchanja ni hiyari, na Mh. Rais ameamua kupigia debe chanjo, basi ni haki pia kwa wale ambao hawaungi mkono chanjo nao kupigia debe upande wao.

Sioni sababu ya wanaopinga chanjo kama Mh. Gwajima kutolewa kauli za vitisho na baadhi ya wana-CCM. Ndo maana ya hiyari hiyo. Hiyari ina pande mbili.

Sababu kuu haswa ya kuletwa chanjo nchini Tanzania ni kwa sababu Magufuli hayupo. Angekuwepo zisingekanyaga hapa. Kifo cha Magufuli kitatugharimu sana waTanzania.

Sababu ya pili ni ikumbukwe kwamba maudhui ya kuleta chanjo ilikuwa ni kuwasaidia mahujaji na waTanzania wengine wanaotaka kusafiri kwenda kwenye nchi ambazo zinahitaji chanjo. Lakini hata waSaudi wenyewe ni kwamba hawana imani na chanjo; na ndo maana wameamua kupiga marufuku mahujaji wa kutoka nje ya nchi yao.

Kwa mfano tuna chanjo ya homa ya manjano hapa Tanzania, lakini hakuna mtu anayehangaika nayo isipokuwa tu kama unataka kusafiri kwenda kwenye nchi ambayo wanataka uwe umechanjwa ndo wakupokee. Na hata hiyo chanjo yenyewe ya homa ya manjano kuchanja ni hiyari. Unaweza ukailipia tu na kupewa kadi kuwa umechanja ili usisumbuliwe huko uendako.

Sababu ya tatu ni ubeberu. Mh. Rais tuliona aliwapigia simu mabeberu wa EU siku ile akawaweka na loudspeaker. Kwa kuwa amejipendekeza mwenyewe kwenye anga zao ni lazima wampelekeshe wanavyotaka wao. Mabeberu siku zote hawapendi kuona fikra huru ya Mwafrika. Hawakufuruhishwa kabisaaaa na msimamo tofauti na ambao ulikuwa unaonesha matokeo chanya wa Magufuli. Matokeo chanya kwa maana ya kwamba waTanzania tumeishi kwa uhuru bila matatizo yoyote wakati wao mabeberu wakifungia ndani kama kuku.

Kwa wale wenye uzoefu naamini mtakubaliana nami kwamba Mzungu hata siku moja hayuko tayari kupokea wazo jipya na tofauti na anachojua yeye kutoka kwa ngozi nyeusi. Duniani huko watu wanatudharau ngozi nyeusi kwa kiasi kikubwa. Hilo sio tatizo. Tatizo ni pale sisi wa ngozi nyeusi tunapoanza kujidharau wenyewe. Hilo ni tatizo kubwa sana ambalo linawatafuna waAfrika wengi sana.

Leo hii mTanzania ukimwambia aachane na Ukristo au Uislam kwa kuwa sio falsafa za kiAfrika mtazozana sana.

Sasa kwa kujidharau huku leo hii tunaona serikali ikiwa imekamatwa akili na mabeberu, inaanza kufuata miongozo yao na kuagiza chanjo. Kwa hiyo sababu ya tatu ni hiyo ya ubeberu. Mabeberu walikuwa wanapambana kuhakikisha kuwa mwafrika anaendelea kuwa kwenye usingizi na kuwa kwenye himaya yao kifikra. Mwafrika kama Magufuli aliyezinduka dunia nzima kwa fikra tofauti alikuwa ni tishio kubwa kwa ubeberu.

Sasa kinachotia wasiwasi ni kauli kama ile ya kusema "Tutachanja 60%".

Ila tukirejea kwenye sababu ya pili, ni kwamba Mh. Rais ameonesha kwamba ni mpenzi wa safari za nje ya nchi. Kwa yeye kuchanja inawezekana kuwa ni lazima, maana hatujui atakwenda nchi gani safari zijazo.

Na Mh. Rais akishakuwa ni msafiri, viongozi wengine nao kama mawaziri, wakurugenzi, n.k. nao wataanza tu kusafiri.

Sasa kuyatambua mambo kama haya ndo msingi wa kujua ni tatizo gani haswa wanalojaribu kutatua kwa kupitia hizi chanjo. Sio unafuata mkumbo tu, wakati wewe maisha yako ni ya hapahapa Bongo.

Ingekuwa chanjo zimeletwa kwa ajili ya kupambana na "korona" basi zisingekuwa hiyari. Hatua zingine zinazoletwagwa kwa ajili ya kupambana na "korona" huwa si za hiyari (kama vile amri za kuvaa barakoa kwenye majengo na mabasi).

Mwisho kabisa nimalizie kwa kusema kuwa kama wewe ni Mwafrika unayeamini kwamba kichwa chako kina akili, na unaweza kufikiri, kwamba hauna haja ya kutegemea fikra za Mzungu, basi usimsahau huyu kiongozi wetu aliyetutoka. Uthubutu alioonesha na jinsi alivyokataa kabisa kushikwa akili na wazungu katika masuala fulani muhimu (madini na korona) ni jambo moja la muhimu sana katika ukombozi wa Mwafrika, ambayo bado ni safari ndefu sana. Kila kizazi kina jukumu la kusukuma gurudumu.

View attachment 1870885

Na kwa CHADEMA mliokuwa mnamlalamikia sijui mambo ya demokrasia naamini sasa hivi mmeshamuelewa kama kweli mna akili za kikubwa. Ni kwamba alikuwa anayajua matatizo yake ya moyo na kwamba alijua anakufa saa yoyote ndo maana alijitahidi sana kupeleka mambo kwa kasi atimize kabla hajafa.

Haya mambo ya kutaka kupigapiga siasa kila saa (zile Operesheni Operesheni mlizokuwa mnazipenda) hayana tija yoyote kwa mustakabali wa taifa. Naamini mnaendeshwa kwa falsafa za kiMarekani. Sasa Marekani hawajaendelea kwa sababu ya demokrasia, basi wameleta demokrasia baada ya kuendelea. Na kama mnavyoona demokrasia yao ni upuuzi mtupu, hakuna kinachofanyika kule wanazozana tu kila siku.
Sababu ya 5 ni kwamba Lizmoko ndiye wakara mkuu wa manunuzi ya chanjo zote nchini.
 
Study ya kirusi hiki hakikuanza juzi tafiti za mwaka 2019 mripuko ulipoanza kuenea Kwa Kasi so km kulikua na tafiti bhas ni muendelezo tu.
 
Hizi ni baadhi ya aina nyingine za chanjo zinazotengenezwa na makampuni na taasisi mbalimbali pamoja na nchi zitokazo;

1.Sinopharm- China

2.Sputnik V- Russia

3.Covaxin- India

4.Abdala- Cuba

5.QazCovid- Kazakhstan

6.COVIran Barakat- Iran

7.Medigen- Taiwan

Sehemu kubwa ya mapingamizi dhidi ya chanjo ya Covid 19 nchini yanaambatanishwa na sababu inayosisitizwa sana ya kwamba chanjo zinatoka kwa mzungu "wa magharibi" zikiwa na lengo ovu la kutufanya mazombi, kuleta ugumba, kupachika chapa 666 n.k

Ikiwa chanjo zitatoka mataifa mengine tofauti na ya magharibi ambayo huwa tunayaita 'ndugu zetu" kama vile China wapinga chanjo nchini mtakuwa tayari kuchanjwa?
 
Kwani Samia ana study yoyote kafanya au ana utaalamu wowote, vivyo hivyo sioni mantiki ya kumkataza Gwajima kuongea, wajibu tu hoja zake maana Samia yeye ni mtupu kabisa kichwani hata mtu anaweza kumsifia kinafiki akafikiria kweli anasifiwa.
Mambo mengine kwa kweli yanastaajabisha. Hivi Samia si anayo kamati yake ya wataalamu ambao ni madaktari waliofanya hiyo study? Au ulitaka umwone yeye yuko maabara anajaribia chanjo kwa watu?
 
Kweli tupu zombie tu watapinga huu ukweli.
KWANINI CHANJO YA KORONA IMELETWA

Kama kuchanja ni hiyari, na Mh. Rais ameamua kupigia debe chanjo, basi ni haki pia kwa wale ambao hawaungi mkono chanjo nao kupigia debe upande wao.

Sioni sababu ya wanaopinga chanjo kama Mh. Gwajima kutolewa kauli za vitisho na baadhi ya wana-CCM. Ndo maana ya hiyari hiyo. Hiyari ina pande mbili.

Sababu kuu haswa ya kuletwa chanjo nchini Tanzania ni kwa sababu Magufuli hayupo. Angekuwepo zisingekanyaga hapa. Kifo cha Magufuli kitatugharimu sana waTanzania.

Sababu ya pili ni ikumbukwe kwamba maudhui ya kuleta chanjo ilikuwa ni kuwasaidia mahujaji na waTanzania wengine wanaotaka kusafiri kwenda kwenye nchi ambazo zinahitaji chanjo. Lakini hata waSaudi wenyewe ni kwamba hawana imani na chanjo; na ndo maana wameamua kupiga marufuku mahujaji wa kutoka nje ya nchi yao.

Kwa mfano tuna chanjo ya homa ya manjano hapa Tanzania, lakini hakuna mtu anayehangaika nayo isipokuwa tu kama unataka kusafiri kwenda kwenye nchi ambayo wanataka uwe umechanjwa ndo wakupokee. Na hata hiyo chanjo yenyewe ya homa ya manjano kuchanja ni hiyari. Unaweza ukailipia tu na kupewa kadi kuwa umechanja ili usisumbuliwe huko uendako.

Sababu ya tatu ni ubeberu. Mh. Rais tuliona aliwapigia simu mabeberu wa EU siku ile akawaweka na loudspeaker. Kwa kuwa amejipendekeza mwenyewe kwenye anga zao ni lazima wampelekeshe wanavyotaka wao. Mabeberu siku zote hawapendi kuona fikra huru ya Mwafrika. Hawakufuruhishwa kabisaaaa na msimamo tofauti na ambao ulikuwa unaonesha matokeo chanya wa Magufuli. Matokeo chanya kwa maana ya kwamba waTanzania tumeishi kwa uhuru bila matatizo yoyote wakati wao mabeberu wakifungia ndani kama kuku.

Kwa wale wenye uzoefu naamini mtakubaliana nami kwamba Mzungu hata siku moja hayuko tayari kupokea wazo jipya na tofauti na anachojua yeye kutoka kwa ngozi nyeusi. Duniani huko watu wanatudharau ngozi nyeusi kwa kiasi kikubwa. Hilo sio tatizo. Tatizo ni pale sisi wa ngozi nyeusi tunapoanza kujidharau wenyewe. Hilo ni tatizo kubwa sana ambalo linawatafuna waAfrika wengi sana.

Leo hii mTanzania ukimwambia aachane na Ukristo au Uislam kwa kuwa sio falsafa za kiAfrika mtazozana sana.

Sasa kwa kujidharau huku leo hii tunaona serikali ikiwa imekamatwa akili na mabeberu, inaanza kufuata miongozo yao na kuagiza chanjo. Kwa hiyo sababu ya tatu ni hiyo ya ubeberu. Mabeberu walikuwa wanapambana kuhakikisha kuwa mwafrika anaendelea kuwa kwenye usingizi na kuwa kwenye himaya yao kifikra. Mwafrika kama Magufuli aliyezinduka dunia nzima kwa fikra tofauti alikuwa ni tishio kubwa kwa ubeberu.

Sasa kinachotia wasiwasi ni kauli kama ile ya kusema "Tutachanja 60%".

Ila tukirejea kwenye sababu ya pili, ni kwamba Mh. Rais ameonesha kwamba ni mpenzi wa safari za nje ya nchi. Kwa yeye kuchanja inawezekana kuwa ni lazima, maana hatujui atakwenda nchi gani safari zijazo.

Na Mh. Rais akishakuwa ni msafiri, viongozi wengine nao kama mawaziri, wakurugenzi, n.k. nao wataanza tu kusafiri.

Sasa kuyatambua mambo kama haya ndo msingi wa kujua ni tatizo gani haswa wanalojaribu kutatua kwa kupitia hizi chanjo. Sio unafuata mkumbo tu, wakati wewe maisha yako ni ya hapahapa Bongo.

Ingekuwa chanjo zimeletwa kwa ajili ya kupambana na "korona" basi zisingekuwa hiyari. Hatua zingine zinazoletwagwa kwa ajili ya kupambana na "korona" huwa si za hiyari (kama vile amri za kuvaa barakoa kwenye majengo na mabasi).

Mwisho kabisa nimalizie kwa kusema kuwa kama wewe ni Mwafrika unayeamini kwamba kichwa chako kina akili, na unaweza kufikiri, kwamba hauna haja ya kutegemea fikra za Mzungu, basi usimsahau huyu kiongozi wetu aliyetutoka. Uthubutu alioonesha na jinsi alivyokataa kabisa kushikwa akili na wazungu katika masuala fulani muhimu (madini na korona) ni jambo moja la muhimu sana katika ukombozi wa Mwafrika, ambayo bado ni safari ndefu sana. Kila kizazi kina jukumu la kusukuma gurudumu.

View attachment 1870885

Na kwa CHADEMA mliokuwa mnamlalamikia sijui mambo ya demokrasia naamini sasa hivi mmeshamuelewa kama kweli mna akili za kikubwa. Ni kwamba alikuwa anayajua matatizo yake ya moyo na kwamba alijua anakufa saa yoyote ndo maana alijitahidi sana kupeleka mambo kwa kasi atimize kabla hajafa.

Haya mambo ya kutaka kupigapiga siasa kila saa (zile Operesheni Operesheni mlizokuwa mnazipenda) hayana tija yoyote kwa mustakabali wa taifa. Naamini mnaendeshwa kwa falsafa za kiMarekani. Sasa Marekani hawajaendelea kwa sababu ya demokrasia, basi wameleta demokrasia baada ya kuendelea. Na kama mnavyoona demokrasia yao ni upuuzi mtupu, hakuna kinachofanyika kule wanazozana tu kila siku.
 
JPM alitaka Tanzania tujitegemee wenyewe bila kutegemea Mabeberu ila sasa tumerudi ktk maisha ya utegemezi
 
Hoja za Rais zinatokana na matokeo ya study na majaribio ya kitaalamu yaliyofanywa kuhusu chanjo husika!

Sasa wewe unataka Wahuni kama akina Gwajima nao waachwe waendelee kuwajaza watu ujinga kwa kuzingatia study zipi alizofanya?!

Huyo Gwajima amefanya study yoyote kuthibitisha madai yake?

Huyo Gwajima ana utalaamu wowote wa field husika kuthibitisha madai yake?

Huyo Gwajima ana maabara wapi aliyotumia kufanya uchunguzi wa hizo chanjo?!

Btw, unadai eti huoni sababu ya Gwajima kutolewa vitisho... umemsikia Gwajima kaongea nini hasa?!
Nani amefanya study ya chanjo husika? mheshimiwa, nyamaza ila nenda ukachanjwe. Hiyo study imefanyika lini na wapi? hao wazungu wenyewe wanategemea mrejesho wa "data" za utendaji wa hizo chanjo kutoka kwa guinea pigs wa ulimwengu ambao siyo wazungu! Juhudi zinazotumika kuhimiza chanjo zingetumika katika mambo mengine tungekuwa mbali. zingetumika kuondoa mbu wanaoeneza malaria, hivi sasa mbu wangebakia kwenye makumbusho. 😉
 
Hiyo ni hoja ya kusema kwamba kama zamani ilikuwa safi basi na leo itakuwa safi. Yaani ni hoja ya kuuza akili yako na kuweka imani 100% kwa mtu baki.

Ngoja nikufunue kichwa ili usiendelee kulala kwenye mambo ya zamani.

Chanjo ya Polio ndo inaleta Polio Afrika.

Haya sio maneno yangu bali ni maneno ya WHO wenyewe. Wameandika kwenye ukurasa wao hapa, aya ya sabab kutoka juu kuwa:

--- nukuu ----

Today, the fight continues against all forms of poliovirus. A rare vaccine-derived version of the poliovirus is affecting African countries with low immunization coverage, particularly among remote communities and those experiencing migration or conflict. Renewed efforts are underway to rid Africa of all remaining vaccine-derived polioviruses.

--- mwisho wa nukuu ---

Sasa unapoonza maneno kama hayo ni kwamba wamejaribu kudogosha ishu ili wale waliolala muendelee kulala.

Na pili unaijua historia haswa ya chanjo ya polio ilivyopatikana?

Unafahamu kuwa chanjo ya polio ndo ilitengeneza virusi vya HIV?

Hiyo historia ipo katika kitabu kinaitwa, "The River : A Journey Back to the Source of HIV and AIDS" (kiko Amazon)

Kwa ufupi ni kwamba polio sio ugonjwa Afrika. Ulikuwa ni ugonjwa wa wazungu (kama ilivyo korona). Katika kutafiti chanjo wakaenda kufanya experiments kwa nyani nchini Congo (enzi hizo ikiwa chini ya Ubelgji, pamoja na Rwanda-Urundi).

Utafiti huo ukapeleka kutengenezwa kwa kirusi cha HIV. Majaribio ya chanjo ya polio waliyafanya mwaka 1957 kwa wakongomani na wanyarwanda-urundi. Na kwa kule Marekani waliwafanyia watu wasiowapenda (mashoga) na watu ambao hawana ndugu wa kuwalilia (yatima 20 kwenye kituo kimoja cha kulelea yatima jijini NYC).

Mwaka 1959 kesi ya kwanza ya HIV ikaibuka Kinshasa. Huku Tanzania kama unakumbuka ugonjwa uliingilia Kagera kwa wahaya kutokana na ukaribu wao na Rwanda-Urundi.

Dr. Remmy anatokea eneo la Mashariki ya Kongo ambako ndo maabara ilikuwepo kwenye mji wa Kisangani (enzi hizo ukiitwa Stanleyville). Aliujua UKIMWI mapema sana kutokana na ndugu zake na watu kadhaa anaowajua kufariki huko Kongo. Ndo alikuwa mwanamuziki wa kwanza kuimba kuhusu UKIMWI kwenye wimbo wake wa "Mambo kwa soksi"

Ila alikuwa mbele ya wakati, maana huku Bongo UKIMWI ulikuwa bado haujashika chati. Wimbo wake huo ulifungiwa na BASATA kwamba ni matusi. (Soksi alikuwa anamaanisha ni kondomu. Sasa enzi hizo za Nyerere bado yuko hai, kuongelea kondomu ilikuwa ni ishu nyeti sana).

Na kwa Marekani kama unaijua historia ya UKIMWI kule ulipoingia ulikuwa unaitwa ugonjwa wa mashoga.

Kwa hiyo mdau kuna mengi sana nyuma ya pazia. Haya ni machache yanayojulikana. Mengi yanafichwa.

Ukiona kichwa kama Magufuli anakupa warning ujue kuna vitu ameshaviona.

Sasa ni uzembe sana wa akili kuwaza kwamba "Kama zamani tumefanya basi tuendelee kufanya"

Nyerere angekuwa na akili hiyo unadhani angedai Uhuru? Maana kama amezaliwa ameukuta ukoloni sasa anadai uhuru wa nini?
User name yako inaakisi ulichoandika.
Zombie wanakimbilia conclusion tu,chanjo ni salama.
 
Akili zetu za kiafrika tunazijua wenyewe. ARV zimeongeza urefu wa maisha ya watanzania wengi tu.

Kama kweli mzungu hana nia njema na afya zetu kwanini hizo dawa zisiwauwe wanaozitumia?.

Pepopunda, kifaduro na magonjwa mengi tu yamepotezwa kwa chanjo za wazungu, kwanini zile ziwe salama na hizi za corona ziwe na nia mbaya kwetu?.
 
Back
Top Bottom