#COVID19 Chanjo za Kupambana na Corona (COVID-19): Nini Maoni na Mtazamo wako?
We kima,. una hoja ipi uliyotaja?! Usidhani nasoma hayo mataka taka unayoandika, kwa sababu nilishaona unaandka upumbavu tu! Kama una hoja yoyote ungeandika kwa mstari mmoja au miwili! Kama huna hoja, shut your fvck up?
Ww zombie ni liability hata kwa waliokutuma!
Naona umefungulia matusi ya kizombiezombie byeee😂😜!
 
Ww zombie ni liability hata kwa waliokutuma!
Naona umefungulia matusi ya kizombiezombie byeee😂😜!
Legacy.png
 
Maskini ambae hana hata uhakika wa kula,matibabu analia lia eti mnyama anakuja.

Aje tu.
 
Leo ni siku rasmi ya kuzindua uchanjaji wa chanjo ya CORONA kitaifa maarufu kama covid-19 ..! Kidunia kwenye ulimwengu wa siasa biashara na mahusiano ya kimataifa hakuna shida kabisa.. Kwanza chanjo yenyewe tumepewa bure kama msaada! Hatuwezi kuipinga wala hatuna ubavu wa kuikataa. Utaanzaje kuikataa kwa mfano wakati vingine vyote umevikubali?

Kuna unabii wa ajabu kwenye CORONA na kiuhalisia ni hii ni lugha kificho ya NEW WORLD ORDER ...Alama ya yule mnyama anayetawala dunia mwenye number 666 maarufu kama mpinga Kristo..Ant Christ!
Hebu twende kwa ufafanuzi wa namba na herufi
Naweka herufi na mpangilio wake kwa namba kisha jumlisha utapata jibu la kushangaza

CORONA

C 3
O 15
R 18
O 15
N 14
A 1
--- ---
6 66
Hapo ukijumlisha idadi ya herufi unapata 6 na ukijumlisha idadi ya namba za herufi unapata 66 ... Ukiweka pamoja ile 6 ambayo ni idadi ya herufi na ile 66 ambayo ni idadi ya namba za herufi unapata 666.

Hawa ni Illuminant wanaotawala dunia na leo hii rasmi tumezindua madhabahu yao Tanzania kwenye kitengo cha ugonjwa wa corona
Hawa ni watu wanaowaza mbele kabla yetu na hawajawahi kushindwa kitu. Tayari tuna namba ya siri ambayo ni mojawapo ya kutawala dunia. Ni nani leo hii hatumii namba ya siri? Kuanzia kwenye barcode mpaka kwenye msg za kawaida?

Swali muhimu kwanini wametuletea corona kabla ya microchips? Wao tayari wako kwenye microchips.. Kwanini hii imebaki kuwa yao lakini hili la corona ni la wote? Unabii utatimia miaka si mingi..!

Pamoja na haya yote lakini hatuna haja ya kuIkataa chanjo maana tutakufa hata kabla ya misheni ya siri kutimia. Kitakachoumia ni kizazi kijacho miaka 20 ijayo.. Corona ni hatua muhimu ya kuandaliwa kutawaliwa kisasa na kuwa watumwa wao kupitia namba za siri... Madhara yake sio haya ya kiafya.. Madhara halisi yatakuja kwenye kizalia chako...!!!

Ukiweza ukasome Kitabu cha ufunuo sura ya 13 mstari wa 18 ..!
 
Ufunuo 13:16-18

Agano Jipya: Tafsiri ya kusoma kwa urahisi

16 Pia mnyama wa pili aliwaamuru watu wote, wakubwa na wadogo, matajiri na maskini, walio huru au watumwa, wawekewe alama kwenye mikono yao ya kulia au kwenye vipaji vya nyuso zao. 17 Hakuna ambaye angeweza kununua au kuuza bila ya kuwa na alama hii.

Alama hii ni jina la mnyama au namba ya jina lake.

18 Kila mwenye uelewa anaweza kujua maana ya namba ya mnyama.

Hili linahitaji hekima.

Namba hii ni namba ya mtu.

Nayo ni 666.
 
Ufunuo 13:16-18

Agano Jipya: Tafsiri ya kusoma kwa urahisi

16 Pia mnyama wa pili aliwaamuru watu wote, wakubwa na wadogo, matajiri na maskini, walio huru au watumwa, wawekewe alama kwenye mikono yao ya kulia au kwenye vipaji vya nyuso zao. 17 Hakuna ambaye angeweza kununua au kuuza bila ya kuwa na alama hii.

Alama hii ni jina la mnyama au namba ya jina lake.

18 Kila mwenye uelewa anaweza kujua maana ya namba ya mnyama.

Hili linahitaji hekima.

Namba hii ni namba ya mtu.

Nayo ni 666.
my friend, bado sana kutimia kwa andiko, haya ni maandalizi tu , mpinga kristo hajaibuka personally, ana operate underground na hajaanza leo, kaana miaka mingi sana hasa kwa nchi za ulaya. pia, chukizo la uharibifu halijazimama mahali pake, na mnyama wa baharini hajatimiza vitu vingi ikiwamo kubomoa temple mount (msikini unaogombaniwa kula israel) na kujenga hekalu, haya ni manyunyu tu, ila nyakati ndio zimesogea sana kiukweli.

pia, naamini Mungu ni Mungu wa HAKI. hawezi kukuingiza kwenye 666 bila wewe kujua. ili jambo liwe dhambi/uasi lazima lifanywe kwa hiari, izo siku za watu kuwekwa chapa ya 666 zitakapokuja, hazitakuja kwa kificho, zitakuwa wazi na mtu anaamua yeye mwenyewe akapigwe chapa kwenye paji la uso au asipigwe chapa, hii kusema usipovaccinate hutanunua bidhaa sokoni au hutaenda ulaya ni mfano tu wa yale yatakayokuja, ni manyunyu tu.

uzuri ni kwamba, uhalisia wa mpinga Kristo utatokea wakati kanisa limenyakuliwa, watakatifu hawatakuwepo hapa duniani na mpinga kristo atafanya mambo yote hayo sio kwa kificho au indirectly, atayafaya kwa uwazi na kwa uhuru wote kwasababu utakuwa ni wakati wake na kanisa limeshanyakuliwa amebaki hapa duniani na watu waovu ambao wameachwa na Kristo, na kwa miaka hiyo saba ya dhiki kuu watu hawatakuwa na namna nyingine bali kumtii hata akisema usipoweka 666 utachinjwa itabidi wakubali kwasababu hakutakuwa na namna yingine ya kuishi ila kufuata masharti yake, akisema mkane Mungu ili uishi itabidi ufanye ivyo au ufe. sasa nyakazi hizo bado hazijaja, kwasababu kanisa bado lipo na dhiki kuu haijaanza bado. hayo ni manyunyu tu ila mvua haijaja, and as long as you live in this world kwa sasa ambapo dhiki kuu bado, kupigwa hii vaccine sio kosa kwasababu haipo wazi, Mungu hatakuhukumu wewe kwamba umemuasi kwa dhambi iliyokuja kwa kificho....msipoteze muda kukimbia kivuli.
 
hii ndio pointi wala sio chanjo...wanapotosha sana maandiko hawa watu mwisho wa siku wanabaki wanashangazwa na kukosa mwelekeo
huyo mnyama anayeongelewa, msifikiri ni mnyama kweli, ni binadamu atazaliwa na mwanamke kabisa ila atakuwa nusu mtu nusu shetani (kwenye genes zake) ni kama mashetani yatazaa na mwanadamu na huyo atakayezaliwa atakuwa uzao wa shetani na takuwa na nguvu zote za shetani, atatawala dunia hii, atakuwa na miujiza ya ajabu kuweza hata kuita moto kushuka toka juu na utashuka, atafanya maajabu ya kila aina kwa miaka 7, na mwisho Yesu Kristo ambaye atakuwa amekaa na watakatifu aliowanyakua huko mbinguni kwa miaka 7, ataashuka na kumponda kichwa na kumtupa jehanam milele pamoja na wale waliomfuata (waliomfuata ndani ya miaka hiyo saba ambayo sasahivi bado haijaanza), yeye atatawala miaka 1000 hapa duniani (yeye Yesu) ataweka utawala wake kabisa na makao yake makuu yatakuwa Yerusalem itakayoshuka toka mbinguni na kuwepo palepale.

cha muhimu, ogopeni dhambi kwasababu wale wadhambi Yesu akija atawaacha hawatanyakua, msiogope chanjo, ogopeni dhambi ndiyo itakayowaacha hapa duniani na mpinga kristo.
 
Hakuna mlokole mwenye akili woote ni matackle tuu hamna kitu.

Panic in your situation.
 
Kachomwe chanjo wewe
Hii kitu ni controversial

Maamuzi yoyote yanapaswa kufanywa with caution.

Ndio maana ni muhimu sana kuweka uzalendo mbele Kwa issues kama hizi sio maslahi ya yeyote.
 
huyo mnyama anayeongelewa, msifikiri ni mnyama kweli, ni binadamu atazaliwa na mwanamke kabisa ila atakuwa nusu mtu nusu shetani (kwenye genes zake) ni kama mashetani yatazaa na mwanadamu na huyo atakayezaliwa atakuwa uzao wa shetani na takuwa na nguvu zote za shetani, atatawala dunia hii, atakuwa na miujiza ya ajabu kuweza hata kuita moto kushuka toka juu na utashuka, atafanya maajabu ya kila aina kwa miaka 7, na mwisho Yesu Kristo ambaye atakuwa amekaa na watakatifu aliowanyakua huko mbinguni kwa miaka 7, ataashuka na kumponda kichwa na kumtupa jehanam milele pamoja na wale waliomfuata (waliomfuata ndani ya miaka hiyo saba ambayo sasahivi bado haijaanza), yeye atatawala miaka 1000 hapa duniani (yeye Yesu) ataweka utawala wake kabisa na makao yake makuu yatakuwa Yerusalem itakayoshuka toka mbinguni na kuwepo palepale.

cha muhimu, ogopeni dhambi kwasababu wale wadhambi Yesu akija atawaacha hawatanyakua, msiogope chanjo, ogopeni dhambi ndiyo itakayowaacha hapa duniani na mpinga kristo.
mh huyo niliyemquote ndio yupo sahihi
 
Biblia imesema namba hiyo watu watapigwa kwenye paji la uso, na mpinga kristo anaoperate openly na kufanya miujiza yake openly, sio kwa kificho. msikimbie kivuli.
kama unafikiri watapigwa kihalisi uko wrong side...
 
Back
Top Bottom