Chato: Yaliyojiri katika Maadhimisho ya mwaka 1 wa kifo cha Hayati Magufuli. Kasala, tusimamie ukweli na haki. Samia kuendeleza Mema

umeandika kishabiki zaidi Tena kumshabikia jiwe
 
Mkuu pole kwa msiba wa JPM
Naomba kuuliza kutoa hukumu kwa kiswahili kuna tija gani wakati kiswahili hakijitoshelezi chenyewe
Tungefanya kwanza tafiti ndipo tuanze kukitumia
Nadhani hujui kukua kwa lugha kunafanyikaje ....kiingereza chenyewe hakikujitosheleza kwenye misamiati mingi wametohosha, wameunda, wametafsiri na kuazima misamiati mingi sana. Labda uniambie huna ufahamu huo.

Hukumu kutumia kiswahili kunafaida nyingi za kulinda haki za watu wasio na ufasaha wa kiingereza, wasio na uwezo wa kuweka mawakili kuwafasilia hukumu ambazo wakati mwingine ziliwanyima furusa ya kulinda haki zao au kuhoji usahihi wa mwenendo wa kesi na hukumu.

Fanya utafiti mdogo tu kwenye ukoo wako ni watu wangapi wanaongea na kuelewa kiingereza kwa ufasaha... kisha njoo uhoji faida za kiswahili kwenye hukumu.
 
Kwenye ukweli wacha tuseme. pamoja na mabaya yake Magufuli ( RIP ) katika taifa hili ni mfano wa kuigwa. Sio baada tu hata kabla ya kuwa Raisi .!
 
Nipe tathimini ya kiuchumi ya ilo daraja refu la busisi , au huko linako elekea Kuna resources gani ambayo itainua uchumi wetu, otherwise ni zawadi kwa mkwe wake kama wanavyosema wengi
Daraja hili linatengeneza njia ya mkato kuunganisha kwa njia ya barabara mkoa wa Mwanza na mikoa ya Geita, Bukoba Kigoma na hatimae kuinganisha Mwanza na nchi za Burundi Rwanda Uganda na Congo.

Kama lami itakamilika hata mizigo na abiria kutoka Katavi watapitia pale badala ya kuzungukia Tabora
Tuache chuki kama umewahi kupita njia ile utaona umuhimu wake
 
Tunajua alipo Akwilina lakini Ben Saanane, Azory Gwanda, Simon Kanguye hawajulikani walipo mpaka leo.

Tumkaribishe nyumbani tena Tundu Lissu.
Halafu Kuna watu wanambeza!!

Huyu mzee alikuwa jembe kweli kweli!! Nitamkumbuka daima.
 
Mkuu inawezekana sina ufaham au mie ngumbaru
Naomba nikujuze kitu kidogo sana sisi tunafwata common law kwenye mashauri yetu so far hata sheria ikiwa silent tunarefaa huko common law

Mfano ni marejeo ya hukumu zilizo pita nk
Sasa unakuja niambia kukua kwa lugha bila kufanya tafiti kweli itawezekana just a single night mtu anaamua kuanzia leo tutatumia kisambaa kwenye taaluma flani ambayo ni potential

Sadly enough hakukuwa na mabadiliko ya sheria mpaka baadae sana dude tuache ujuaji kila kitu ni kufanya tafiti kabla ya implementation
 
Achana nao hao!
Mataga na sukumagangs wote akili zao zinafanana na za wanaemkumbuka. Uwezo wao ni ule ule...
 
Kwa daraja umeelezea vizuri... But maamuzi hadi linajengwa hayakijikita kwenye majibu yako. Kuna mtu alikurupuka paaap!
 
Hayo yalizingumzwa na wengi sana huenda kuna ukweli nyuma yake lakini ibaki kusema tarehe ya leo ndio tuliambiwa tarehe rasmi ya kututoka.
Na bora alikutoka... make au basi!
 
Mkuu pole kwa msiba wa JPM

Naomba kuuliza kutoa hukumu kwa kiswahili kuna tija gani wakati kiswahili hakijitoshelezi chenyewe

Tungefanya kwanza tafiti ndipo tuanze kukitumia
Mkuu Ni wapi na lini sukumagangs waliwahi kufikiria umuhimu wa tafiti, tafakuri na mikakati endelevu! Kuna mtu kajiletea hapo list ya "anavyohusishwa" navyo JPM... vyote vikifanyika kwa ushamba wa Chato bila tafiti, tafakuri na mikakati endelevu!
 
Mkuu Ni wapi na lini sukumagangs waliwahi kufikiria umuhimu wa tafiti, tafakuri na mikakati endelevu! Kuna mtu kajiletea hapo list ya "anavyohusishwa" navyo JPM... vyote vikifanyika kwa ushamba wa Chato bila tafiti, tafakuri na mikakati endelevu!
Tuna safari ndefu sana sisi watanzania bila kuwa na misingi endelevu kwenye mambo ya msingi tutapiga mark time tuu
Hakuna mtanzania asie penda maendeleo ya nchi
Tatizo kuna kikundi kinacho jiona ndio wamiliki wa hii TZ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…