Chato: Yaliyojiri katika Maadhimisho ya mwaka 1 wa kifo cha Hayati Magufuli. Kasala, tusimamie ukweli na haki. Samia kuendeleza Mema

Chato: Yaliyojiri katika Maadhimisho ya mwaka 1 wa kifo cha Hayati Magufuli. Kasala, tusimamie ukweli na haki. Samia kuendeleza Mema

TUNAKUKUMBUKA HAYATI RAIS MAGUFULI.

Leo 09:01am 17/03/2022

Leo ni siku ngumu sana kwangu na WAJAMAA WOTE DUNIANII,tunamkumbuka na kumuenzi MJAMAA MWENZETU,mwanamema wa bara la AFRIKA,MZALENDO,JASIRI MTHUBUTU,hakika Wajamaa tunakukumbuka mnoo ANKO MAGUFULI Allah akusamehee na akujaalie neema uko ulipoo, Daah 🥲

Hakika ya UJAMAA utakua ni IMANI kama ukisadikishwa kweli kweli kwenye mioyo yetu na nafsi zetu ili ulete tija kwa maendeleo ya kila Mwafrika,kama alivyofanya Mwanamema wa bara la Afrika Hayati Rais Magufuli katika kuonyesha Ujamaa ni Imani hasa kupitia kupenda kwake haki,maendeleoo ya taifa, kukataa rushwa na vitendo vya ubadhilifu,kuweka usawa kati ya tajiri na mnyonge,kupinga ukatilii na KUTUKOMBOA KIFIKRA KWA KUTUAMINISHA SISI TUNAWEZA BILA WAZUNGU,Hayati Rais Magufuli alifanya yote hayo kwa vitendo, Watanzania waliona,walijifunza na kuiga.

ANKO MAGU ulisimamia miradi kibao ambayo ni visible kwa watu wengi na mingi Watanzania wananufaika nayo sasa,nimejifunza kila kiongozi ana vision zake na ukiondoka unaondoka nazo,wenye upeo na maono ya mbali uwa hawazaliwi wengi duniani, wengi uwa ni wale wa kuona na kutamani ya leo leo kwa faida ya njaa ya leo, lakini uwezo wa kuview na kutenda kwa ajili ya miaka 50-100 ijayo ni watu wa type yako ANKOO MAGUFULI na Hayati Baba wa Taifa,Mwalimu Julius Nyerere,Biblia inasema kifo ni usingizi,kifo cha Mfalme Daudi,Mfalme Suleiman,Biblia inasema wamelala na Baba zao,(1Wafal 2:10,11:43,14:20,31,14:8,2 Nyak 21:1,26:23,Ayubu alikiita kifo ni Usingizi (Ayubu 14:10-12) kama Daudi (Zab 13:3) Yeremia (Yer 51:39,57) na Daniel (Dan 12:2) Pumzika kwa amani Rais Magufuli,see you when we get there.

#ujamaa ni imani,RIP JPM🙏🙏🙏
 
Ikiwa tuna adhimisha mwaka mmoja wa mpendwa wetu hayati dr. John Pombe Magufuli,
nimewiwa kumkumbuka kwa mazuri mengi aliyowatendea watanzania kama nyuzi nyingi zilivyoeelezea.

Zaidi sana kumuombea msamaha kwa yale yanayo tajwa na rivals wake
kama makosa aliyoyafanya iwe alifanya au hakufanya niwaombe wasamehe mwaka mmoja umetosha
kutema nyongo zenu.

Niwaombe wale wote wenye kinyongo na dukuduku juu ya hayati
Magufuli wasamehe ili waweze ku-move on.

Mwaka mmoja wakumnanga na kumzodoa nadhani umetosha sasa hatumuumizi yeye zaidi
sana ni sisi wenyewe tunajiumiza, chuki humchoma anayeihifadhi.

we must stop suffering and let go.
let bygones be bygones.
 
Mkuu Ni ulaghai mtupu na unafiki.
JPM alifariki kitambo between 9th & 13th. Haya mengine yanatudharaulisha.
Alafu kama JPM ni muhimu sana kwao kwanini wasisherehekee siku ya kuzaliwa kwake??
Yani uwachagulie cha kufanya wewe kama nan?
Opinion zako zibaki kama opinion, sio fact za kufuatwa na kukubalika na kila mtu.
 
Samahani sana kama ntawakwanza - na mimi nitajiunga nanyi kwenye kumbukizi hii endapo ntapata majibu ya haya machache yanayohangaisna moyo wangu;

Yupo wapi Ben Saaname na yupo wapi Azory Gwanda ? na ni nani alitaka kumuua Tundu Lissu?

Haya ni baadhi tu ya mengine mengi ambayo yalitokea kipindi cha uongozi wa marehemu.... nikiyajua haya ntakuja tu kwenye kumbukizi hii.

ni hayo tu watanzania wenzangu, nayasema haya kwa nia njema kabisa - tusemezane na tupige kura ni nani na kwa nini ?
2pac alipokufa wafuasi wa 2pac wakamuua BIG kuwa ndio amemuua 2pac,
uchunguzi ukabaini sio kweli.
Mpinzani kijana wa Lucky dube alipokufa wafuasi wa yule kijana wakasema ni
lucky dube ndio amemuua huyo kjana.
Hizo ni shutma tu hakuna mahali zimethibitika hata Lisu hawezi kuthibitisha hilo.
 
Unamaanisha makosa ambayo hakuyatubia?
 
Mwanzoni niliumia sana ila nilipokuja kupata proof ya jinsi alivyomaliza na Mungu na kwanini Mungu aliruhusu aondoke wakati huu nikabaki kumshukuru sana Mungu kumchukua huyu baba yetu.

Mungu amemuepusha na kutumika katika maandalizi ya mpinga kristo ikiwemo chanjo, ni heri alivyokufa kuliko angeshiriki mipango ya New World Order na ingefika point angesurrender tuu kwa huyu shetani wa dunia hivyo Mungu kwa kumpenda sana akamuondoa, Glory to God
Duh!..aliyekuambia chanjo ya uviko-19 ni maandalizi ya mpinga kristo ni nani?

Ina maana toka umezaliwa mpaka umri huo uliofika, chanjo zote ulizopata yalikuwa pia maandalizi ya mpinga kristo?

Usiwe na msimamo mkali sana wa ki-imani mpaka kwenye afya yako au mambo muhimu kwako.
 
Miaka mitano kutokwenda ulaya ni sifa?
1. Daraja la Tanzanite Dar
2. Mikataba ya madini
3. Ukuta wa mererani
4. Utumbuaji
5. Uzinduzi wa malipo ya serikali kupitia control number
5. Umeme wa Tsh 27,000/=
6. Elimu bure darasa la kwanza hadi form four
7. Ukarabati wa. Viwanja vya ndege na meli
8. Bomba la mafuta Hoima kwenda Tanga
9. Kuanzisha Tarura, Latra,
10. Kununua radar kwenye viwanja vya ndege vyote.
11. Kuivunja bodi ya ununuzibwa madini
12. Kuanzisha tume ya madini na madoko ya kuuzia madini
13. Kuvunja Jiji la Dar es salaam
14. Kumfukuza kazi Nape mnauye, mchechu wa NHC,
15. Kwa miaka mitano kutokwenda ulaya
16. Kuzirudisha halmashauri zote ofisi ya Rais.
17. Kuondoa watu wenye vyeti feki kwenye mfumo wa mishahara ya serikali.
18. Kukarabati shule za serikali za zamani
19. Kununua ndege mpya 11
20. Kufufua reli ya Dar to arushaTanzania
21. Kukarabati bandari ya mtwara, tanga na Dar
22. Kukusanya na kuzitambua mali za CCM
23. Kuanzishwa wizara mpya ya Madini
24. Miaka mitano umeme haujawahi kukatika
25.ujenzi wa hospitali za kanda, mikoa na wilaya
26. Ujenzi wa mshakama za wilaya
27. Kuongeza idadi ya hifadhi za tsifa na jeshi usu.
28. Kufuta mishahara ya 45,000,000
29. Kuongeza viwanda nchini
30. Kuwaeleza ukweli watanzania kuhusu covid 19
31. Kupunguza urasimu kwa watumishi wa umma
32. Kuanxisha ofisi za msajili wa hati za ardhi kila mkoa na kufuta ofisi za kanda
33. Kukamata wakwepa ushuru
34. Kampuni ya Halotel ya JK , wabia wake kwenda segerea kwa kutokulipa kodi
35. Serikali kununua magari yake kwa mfumo maalumu kupunguza madalali
36. Kiswahili kuanza kutumika mahakamani kutolea hukumu
37. …..,, Samia haya niliyoyataja anayaweza kuyasimamia?kuyaendeleza?kubuni vingine ? CCM tujiuliza maswali kabla hatujamwambia Samia achukue fomu 2025
 
Ikiwa tuna adhimisha mwaka mmoja wa mpendwa wetu hayati dr. John Pombe Magufuli,
nimewiwa kumkumbuka kwa mazuri mengi aliyowatendea watanzania kama nyuzi nyingi zilivyoeelezea.
Zaidi sana kumuombea msamaha kwa yale yanayo tajwa na rivals wake
kama makosa aliyoyafanya iwe alifanya au hakufanya niwaombe wasamehe mwaka mmoja umetosha
kutema nyongo zenu.
Niwaombe wale wote wenye kinyongo na dukuduku juu ya hayati
Magufuli wasamehe ili waweze ku-move on.
Mwaka mmoja wakumnanga na kumzodoa nadhani umetosha sasa hatumuumizi yeye zaidi
sana ni sisi wenyewe tunajiumiza, chuki humchoma anayeihifadhi.
we must stop suffering and let go.
let bygones be bygones.
angepandisha watumishi madaraja yao sasa hivi wangekuwa mbali sana

apumzike salama huko alipo
 
Ikiwa tuna adhimisha mwaka mmoja wa mpendwa wetu hayati dr. John Pombe Magufuli,
nimewiwa kumkumbuka kwa mazuri mengi aliyowatendea watanzania kama nyuzi nyingi zilivyoeelezea.
Zaidi sana kumuombea msamaha kwa yale yanayo tajwa na rivals wake
kama makosa aliyoyafanya iwe alifanya au hakufanya niwaombe wasamehe mwaka mmoja umetosha
kutema nyongo zenu.
Niwaombe wale wote wenye kinyongo na dukuduku juu ya hayati
Magufuli wasamehe ili waweze ku-move on.
Mwaka mmoja wakumnanga na kumzodoa nadhani umetosha sasa hatumuumizi yeye zaidi
sana ni sisi wenyewe tunajiumiza, chuki humchoma anayeihifadhi.
we must stop suffering and let go.
let bygones be bygones.
alikuwa na nafasi tele, kwa nini hakuomba yeye akiwa na pumzi ?

sidhani kwenye maandiko matakatifu kuna sehemu inayotoa msamaha kwa wakosefu walio mautini.
 
Namuombea msamaha kwa wanaodhani anamakosa ili watafte cha kufanya.
Na ni kawaida hata kuomba msamaha kwa kosa ambalo hujafanya kuridhisha hao unaowaomba msamaha.
Huo uombaji wa msamaha haupo kiuhalisia.

Saa hizi ulipaswa uwe unaangalia wageni waalikwa kule uwanjani wanavyoingia.
 
Rest in eternal peace Magufuli…no one like you…umepanda mbegu bora ya ujasiri kwa vijana wakitanzania….ninaamini itamea it is just a matter of time, just a matter of time…
 
alikuwa na nafasi tele, kwa nini hakuomba yeye akiwa na pumzi ? sidhani kwenye maandiko matakatifu kuna sehemu inayotoa msamaha kwa wakosefu walio mautini.
Aliomba ila kwa makosa aliyokosea..
btn kwa wa-catholic kuombewa ili hali umekufa ni kawaida na tunaamini
utasamehewa.
Haya yanayodaiwa kufanywa japo hakuna uthibitisho wowote ndio tunamuombea msamaha
ili hao wenye kinyongo nae waweze kutuliza nafsi zao.
 
Back
Top Bottom