Chato: Yaliyojiri katika Maadhimisho ya mwaka 1 wa kifo cha Hayati Magufuli. Kasala, tusimamie ukweli na haki. Samia kuendeleza Mema

Kwa iman yangu unakubalika,
btn kati ya Mungu na Magufuli(japo ni kwa kusadikika) nan ameua watu wengi?
Kasome agano la kale na jipya uone Mungu asivyotabirika kama akili zako zinavyodhani.
Mara unakubalika.Mara inasadikika.Mara nisome biblia.Msimamo wako ni upi?

Muache marehemu ajitetee mwenyewe kwa matendo yake.
 
Sasa wewe mshahara wako laki tano halafu benki una 1B, umezipataje? Lazima wakufungie account ili utoe maelezo.

Mfano mwingine, unakuta mtu record zake TRA zinaonyesha return ya biashara kwa mwaka haizidi 20m, halafu bank una 100b, umezipataje? Mbona kina Bakhresa hawakufungiwa?

Mfano wewe ni mfanyakazi wa umma unajenga nyumba 50 kwa pamoja, lazima wakuchungulie account yako ina kiasi gani na wakuulize umezipataje.

Hii ilikuwa ni njia Bora sana ya kupunguza wizi wa Mali za umma. Otherwise ukachimbie hela zako chini.
 
Angetubu mbele za familia alizozitenganisha na wapendwa wake kwanza.
 
Mtu mwema haihitaji kupanda juu ya paa na kuushika wema wake huku unapiga mayowe..."njoo muuone wema wa mtu huyu"...!Wema huongea wenyewe.Usijichoshe.
Yule msamalia aliend kutangaza wema wa Yesu na wote walioguswa na Yesu walienda kutangaza wema wake.
We are in different boats usilazimshe tufanane.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…