Uchaguzi 2020 Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu

Kuna watu sijawahi ona, uwanja wa Chato uwanja wa Chato, hivi Chato ni wananchi wa wapi? Wao hawana haki ya kuwa na uwanja? Mbona mnakuwa wapumbavu kiasi hiki?

Mnatukana kila siku Chato utafikiri wao hawatakiwi kuwa na uwanja. Kwa taarifa yenu wananchi wa Chato si wajinga, muulizeni mgombea wenu alichokipata Buselesele na Katoro hadi akasitisha kwenda Chato, haya yote ni siasa mbovu isiyo na staha, hata kama unachallenge tumia lugha rafiki, don't be so biased to that extent, watu wa Chato amewatukana sana, Buselesele na Katoro yalikuwa maeneo ya upinzani lakini kutokana na dharau za Lissu matokeo yake CHADEMA leo inazomewa, Lissu asingezomewa Buselesele kwa namna ile, Awe na akiba ya maneno kwani anaowatukana wanasikia .

Inashangaza sana unatukana halafu bado eti unaenda kuwaomba kura,,,,, unatukana barabara kujengwa huku unazitumia, unatukana ndege huku unazipanda huo ni U CHICHIDODO.

Hopeless kabisa , let's stay tuned leo.
Wewe una upumbavu wa asili kabisa.
Mboana mgombea wenu anatukana wanawake kila aendako?

Mbona kazomewa kagera, alienda kufanyanini?

Kauli za kibabe na vitisho,mfn msiponichagua sileti maji je hii ni akili,je huu ni ustaarabu?

Unajitoa ufahamu au ndivyo ulivyozaliwa?
 
..tume ndio inapanga wagombea wakampeni mkoa na wilaya gani.

..kwa hiyo ukimuona Magufuli yuko Dsm ujue tume ndio imempangia ratiba hiyo.

..kwa hiyo Tundu Lissu wiki hii amepangiwa kufanya kampeni maeneo ya kanda ya ziwa.

..kwa siku ya leo Lissu amepangiwa kuwa Mbogwe, Bukombe, na Chato. kesho amepangiwa kuwa ukerewe, na rorya.

..Vivyo hivyo kwa wagombea wenza, wao nao ratiba za kampeni zao inapangwa na tume.

..link ya ratiba ya uchaguzi hii hapa:
https://www.nec.go.tz/uploads/documents/sw/1601631440-RATIBA YA KAMPENI TOLEO LA TANO.pdf
Sasa nimeamini magu ni mgonjwa na madaktari wamemshauri apate muda mwingi kupumzika.
Ratiba inaonyesha kuanzia kesho mpaka tarehe 17/10 atakuwa hayupo kwenye ratiba ya kampeni
 
Ivi kutoa matusi adi yanguoni ndio kuonyesha uzalendo wachama eee?Tusio kuwa navyama tunafanyaje ili nasisi tumchague kiongozi?;Kuwaeni makini namatusi yenu Sheria haitazami wewe ni CCM au CHADEMA
 
Yeye mwenyewe hatumii hoja na anatumia lugha za kuudhi, kebehi dharau na uongo uliosheheni matusi ya reja reja, iweje yeye ajibiwe kwa hoja?? Mfano jana anatukana mabango ya mgombea mwenzake, nani kamzuia kuweka yake? Lissu anapanda jukwaani badala ya kunadi plan na sera za chadema anaanzisha ajenda za "Yatokanayo kwenye mikutano ya mwenzake'" na kuanza kumshambulia badala ya kuja na ilani ya chama chake, amekua ana ugomvi binafsi moyoni na Mhe Magufuli, kutwa kucha yuko mdomoni kwake,i ni wapi Magufuli alimshambulia personally? Lissu ni mbwa tu
Sasa kama yeye anatumia LUGHA za kuudhi kwenye ulingo wa kisiasa, kwa nini na sisi wana ccm tusitumie LUGHA za kumuudhi na yeye? Au hizo LUGHA hatuna?
 
Yeye mwenyewe hatumii hoja na anatumia lugha za kuudhi, kebehi dharau na uongo uliosheheni matusi ya reja reja, iweje yeye ajibiwe kwa hoja?? Mfano jana anatukana mabango ya mgombea mwenzake, nani kamzuia kuweka yake? Lissu anapanda jukwaani badala ya kunadi plan na sera za chadema anaanzisha ajenda za "Yatokanayo kwenye mikutano ya mwenzake'" na kuanza kumshambulia badala ya kuja na ilani ya chama chake, amekua ana ugomvi binafsi moyoni na Mhe Magufuli, kutwa kucha yuko mdomoni kwake,i ni wapi Magufuli alimshambulia personally? Lissu ni mbwa tu
Kwani anayosema kumhusu,huyo mwenzake Kuna ugumu gani kuyajibu kwa hoja.Ama kwenu hamjui siasa sii uadui,aliyekosea aambiwe ili Mambo yawebora huko tuendako,na waliga Kura waamue kulingana na elimu waliyopewa na waomba kura.Ama wewe unaonaje?
 
Akapanda na mabasi ya mwendo kasi, akapita ubungo interchange, tazara flyover, kigamboni, huko kote alikuwa akisonononeka kwa alivyokuwa akimtukana na kumkashifu huku akitoa machozi ya furahaa na kusema moyoni dah ama kweli huyu JPM ni jiwe lilokataliwa na waashi, lakini ndiyo limekuwa jiwe kuu la msingi wa Tanzania
Ndugu yangu sikifichi katika watu wajanja Tundu Lisu ni mmoja wao. Watu wanashupaza shingo kuongea ugoro ugoro akati mjanja Tundu Lisu anafanya utalii wa ndani.
 
Leo hao Interahamwe walioandaliwa na Gwajima tuwaone ,tunajua Gwajima kapewa kugombea ubunge kwa kazi yake yenye ushahidi kila mahali kuwa anaongoza kundi la msituni la kikabila eti lenye lengo la kumlinda Magufuli , as if TISS na Vyombo vimeshindwa ....na tunajua kuwa leo wanataka kufanya vurugu kubwa sana .......kwenye demokrasia hakuna jambo la ajabu ...Dr Slaa alifanya kampeni hadi kijijini Msoga na alimuweka kwenye hot soup Kikwete kwa kuwa na nyumba nzuri huku wanajijiji wenzake wana nyumba za nyasi .....baada ya ule uchaguzi kikwete alijitahidi kuboresha uchumi na nyumba za wanakijiji wanaomzunguka ....
Hadi Lupaso kampeni zilifanyika na Mkapa akachekwa kwa kutokuwa na nyumba ya maana kijijini , AKAJENGA ....HIII NDIO DEMOKRASIA .....wanaotaka wapinzani wasifanye kampeni Chato wanaweka predecence ya ajabu sana ..sio utamaduni wetu huo
Kamera zote za dunia tangu jana zipo chato. Tunajua wamepanga kufanya nini na sie tupo tayari kukusanya ushahidi na kupeleka kunakohusika
 
Ndugu yangu sikifichi katika watu wajanja Tundu Lisu ni mmoja wao. Watu wanashupaza shingo kuongea ugoro ugoro akati mjanja Tundu Lisu anafanya utalii wa ndani.
Kweli utalii wa kwny coaster ni bora sana.
JamiiForums409068559_680x455.jpg
 
Back
Top Bottom