Uchaguzi 2020 Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu

Unatembeleaje uwanja unaouponda kila siku? Aende akatembelee na traffic lights.
Kama una akili sawasawa. Ungeelewa kwamba hajawahi kuponda uwanja kwa maana ya ubora anachosema . Yeye ni mchakato wake kuanzia tenda na gharama zake .pia unazungumzia uhalali wa kujenga huko chato kijijini kwa MAGUFULI. Hizi degree za kudesa zinawaacha uchi kichwani nyie
 
Uwanja sio wa wana chato pekee hata uwanja wa DSM unatumika na mtanzania yoyote na wengine kutoka nje ya nchi
Huko hao wote watafuata Nini?Hats dsm wanaofika no wachache na wakati mwingine wanalazimika katika mazingira Fulani tu.
 
Wana Chato Kama mnazipenda nyumba zenu kaeni majumbani mwenu yasiwakute ya kimara
Usiwatishe wakati bado Siku 16 jamaa aondoke ofisini na kurudi huko kwao kama mwanakijiji mwenzao.
Hawezi kuishi eneo jingine nchi hii maana hakuna serikali ya kijiji au mtaa itamkubali
 
Usiwatishe wakati bado Siku 16 jamaa aondoke ofisini na kurudi huko kwao kama mwanakijiji mwenzao.
Hawezi kuishi eneo jingine nchi hii maana hakuna serikali ya kijiji au mtaa itamkubali
Thus tumewataadharisha tu wasifanye makosa
 
Hii hesabu feki. Tanzania ni kubwa sana, hakukuwa na sababu ya Lissu kurudi kanda ya ziwa mara ya tatu. Anapoteza muda wake na resources, wasukuma hawezi kuacha kumpa kura mtu wao.
..tume ndio inapanga wagombea wakampeni mkoa na wilaya gani.

..kwa hiyo ukimuona Magufuli yuko Dsm ujue tume ndio imempangia ratiba hiyo.

..kwa hiyo Tundu Lissu wiki hii amepangiwa kufanya kampeni maeneo ya kanda ya ziwa.

..kwa siku ya leo Lissu amepangiwa kuwa Mbogwe, Bukombe, na Chato. kesho amepangiwa kuwa ukerewe, na rorya.

..Vivyo hivyo kwa wagombea wenza, wao nao ratiba za kampeni zao inapangwa na tume.

..link ya ratiba ya uchaguzi hii hapa:
https://www.nec.go.tz/uploads/documents/sw/1601631440-RATIBA YA KAMPENI TOLEO LA TANO.pdf
 
Mgombea wa Urais anayetarajiwa kupata ushindi mkubwa Tundu Lissu leo ataitetemesha Chato na viunga vyake katika kampeni zake zilizoivuta Dunia.

Taarifa kutoka ndani ya Team yake ya Kampeni kabla ya kuhutubia mkutano wa Hadhara atautembelea Uwanja wa ndege wa Chato uliozua gumzo nchini kote kutokana na Ujenzi wake.

Tundu Lissu amepata uungwaji mkono mkubwa kutoka Makundi yote ya Jamii hususan Wafanyakazi ambao wanalaani kupitishwa kwa sheria Haramu ya kupora Mafao yao. CCM na serikali yake walipitisha sheria ya kuzuia Mafao ya Wafanyakazi hata Kama ameacha kazi akiwa na miaka 30 haruhusiwi kupewa haki yake ya mafao mpaka afikishe miaka 60.Sheria hii Haramu imelaaniwa na kila mfanyakazi na Tundu Lissu ameapa kuifutilia mbali Mara tu baada ya kuapishwa.

Ingawa Chato ni nyumbani kwa mgombea Urais wa CCM Lakini kwa muda mrefu CHADEMA imekuwa na uungwaji mkono mkubwa na inao wafuasi wa kutosha.Mmoja wa makamanda mashuhuri wanaotokea Chato ni mwanamama Husna Amri ambaye anajulikana nchi nzima kwa ujasiri wake.

Tunatarajia kuwaletea kila kitakachojiri katika mapokezi na Mkutano wa Kampeni hapa Chato.

-------------------------- --------------------
Yanayoendelea saa 4 Asubuhi

Mgombea wa Urais Tundu Lissu amekutana na wanachama nje ya Hoteli aliyofikia mjini Kahama kabla ya kuondoka kuelekea kwenye kampeni.

Lissu amesema Jana usiku mgombea Ubunge CDM Jimbo la Chato alivamiwa na kuharibiwa Mali zake na maharamia wanaifanyia hivyo ili kumtishia asiende Chato.

Lissu ameonya hatatishika na ataingia Chato na kufanya mkutano Mkubwa wa Kampeni.Lissu ameitaka Dunia kutega masikio kuelekea Chato leo jioni.

Kabla ya kuhutubia Chato jioni hii Lissu anatarajiwa kufanya kampeni maeneo ya Mbogwe na Bukombe
Haya ni matukio ya kufanywa na "saccos" ili kuongeza joto la uchaguzi na kuonyesha kwamba wanaonewa ili wapate kura za huruma, maana wanajuwa wameisha shindwa, iliyobaki ni kuharibu tukose wote
 
Acha ubaguzi,Mtanzania hajawahi kuwa Mkenya,vilevike Msukuma hajawahi,kuwa Mhehe.
Nakwambia leo Chato lazima tumpopoe na mawe tunamsubiri kwa hamu.

Kama kweli anajiamini akatize Chato aone!
 
Kuna watu sijawahi ona, uwanja wa Chato uwanja wa Chato, hivi Chato ni wananchi wa wapi? Wao hawana haki ya kuwa na uwanja? Mbona mnakuwa wapumbavu kiasi hiki?

Mnatukana kila siku Chato utafikiri wao hawatakiwi kuwa na uwanja. Kwa taarifa yenu wananchi wa Chato si wajinga, muulizeni mgombea wenu alichokipata Buselesele na Katoro hadi akasitisha kwenda Chato, haya yote ni siasa mbovu isiyo na staha, hata kama unachallenge tumia lugha rafiki, don't be so biased to that extent, watu wa Chato amewatukana sana, Buselesele na Katoro yalikuwa maeneo ya upinzani lakini kutokana na dharau za Lissu matokeo yake CHADEMA leo inazomewa, Lissu asingezomewa Buselesele kwa namna ile, Awe na akiba ya maneno kwani anaowatukana wanasikia .

Inashangaza sana unatukana halafu bado eti unaenda kuwaomba kura,,,,, unatukana barabara kujengwa huku unazitumia, unatukana ndege huku unazipanda huo ni U CHICHIDODO.

Hopeless kabisa , let's stay tuned leo.
[emoji120]Big up.

Wafuasi wake wasichoelewa, kama kweli ataenda Chato, nia si kufanya kampeni, bali kusababisha vurugu, ili Serikali ilaumiwe. Hicho ndicho alichokifanya Kahama kukaribisha wafuasi wake hotelini usiku akijua Polisi ingeingilia kati na kubeba lawama.

Kwa kila hali, adhima ya Lissu ni nchi kuingia kwenye machafuko. Lakini hajui kuwa wafuasi wake ni wa mitandao ya kijamii lakini kkuhalisia hakuna atakayeingia barabarani kuitikia upuuzi wake.
 
Nakwambia leo Chato lazima tumpopoe na mawe tunamsubiri kwa hamu.

Kama kweli anajiamini akatize Chato aone!
Ndio maana watanzania tumewakataa kwani mmeishiwa Sera,mmechagua kutumia nguvu,mliokuwa wachache.
 
Mgombea wa Urais anayetarajiwa kupata ushindi mkubwa Tundu Lissu leo ataitetemesha Chato na viunga vyake katika kampeni zake zilizoivuta Dunia.

Taarifa kutoka ndani ya Team yake ya Kampeni kabla ya kuhutubia mkutano wa Hadhara atautembelea Uwanja wa ndege wa Chato uliozua gumzo nchini kote kutokana na Ujenzi wake.

Tundu Lissu amepata uungwaji mkono mkubwa kutoka Makundi yote ya Jamii hususan Wafanyakazi ambao wanalaani kupitishwa kwa sheria Haramu ya kupora Mafao yao. CCM na serikali yake walipitisha sheria ya kuzuia Mafao ya Wafanyakazi hata Kama ameacha kazi akiwa na miaka 30 haruhusiwi kupewa haki yake ya mafao mpaka afikishe miaka 60.Sheria hii Haramu imelaaniwa na kila mfanyakazi na Tundu Lissu ameapa kuifutilia mbali Mara tu baada ya kuapishwa.

Ingawa Chato ni nyumbani kwa mgombea Urais wa CCM Lakini kwa muda mrefu CHADEMA imekuwa na uungwaji mkono mkubwa na inao wafuasi wa kutosha.Mmoja wa makamanda mashuhuri wanaotokea Chato ni mwanamama Husna Amri ambaye anajulikana nchi nzima kwa ujasiri wake.

Tunatarajia kuwaletea kila kitakachojiri katika mapokezi na Mkutano wa Kampeni hapa Chato.

-------------------------- --------------------
Yanayoendelea saa 4 Asubuhi

Mgombea wa Urais Tundu Lissu amekutana na wanachama nje ya Hoteli aliyofikia mjini Kahama kabla ya kuondoka kuelekea kwenye kampeni.

Lissu amesema Jana usiku mgombea Ubunge CDM Jimbo la Chato alivamiwa na kuharibiwa Mali zake na maharamia wanaifanyia hivyo ili kumtishia asiende Chato.

Lissu ameonya hatatishika na ataingia Chato na kufanya mkutano Mkubwa wa Kampeni.Lissu ameitaka Dunia kutega masikio kuelekea Chato leo jioni.

Kabla ya kuhutubia Chato jioni hii Lissu anatarajiwa kufanya kampeni maeneo ya Mbogwe na Bukombe
Mungu ambariki na kumlinda Mja wake Tundu Antiphas Lissu. Amuepushe na mabaya na wabaya wote kwa Jina la Yesu
 
MaSemitrela yameanza kuzoa watu kuanzia Bagamoyo alfajiri ya leo mvua imewapiga wameshindwa hata kujibanza kwa ugeni walokuwa nao
He he he, mkuu leta picha tuwaone wanavyo hangaika hao wasio tumia ubongo waliopewa bure na Mungu.
Bora angeishusha kabisa mvua ya radi, upepo na mawe kabisa
 
Yule ni muhutu sio msukuma,kata ya Chato ilikuwa wilaya ya Biharamulo mkoa wa kagera akaisogeza Geita,
Maamuzi ya Chato kuwa mkoa wa Geita ilikuwa awamu ya ngapi?

Hii nchi inaongozwa na mtu yeyoto kama tu atajua waafrika tumetoka wapi,yeyoto ambaye atapinga waziwazi kurudi utumwani(kwa wakoloni/Mabeberu).

Tanzania ni nchi ya kipekee sana ,hi nchi haina ubaguzi leo kuna kaka Bashe na Mzee Zungu, hapo muda kidogo uliopita alikuwepo Muajemi safi kabisa tumeishi nae poa kabisa.

Afu inakuja Kenge kama wewe kuleta habari za kijanga eti Magufuli Muhutu,sasa kwa mfano Magu akiwa Muhutu utamfanya nini?
 
Hii hesabu feki. Tanzania ni kubwa sana, hakukuwa na sababu ya Lissu kurudi kanda ya ziwa mara ya tatu. Anapoteza muda wake na resources, wasukuma hawezi kuacha kumpa kura mtu wao.
Tukisema ana ukabila mnabisha sasa mtasema yote
 
He he he, mkuu leta picha tuwaone wanavyo hangaika hao wasio tumia ubongo waliopewa bure na Mungu.
Bora angeishusha kabisa mvua ya radi, upepo na mawe kabisa
Hao wataangamia kwa kukosa maarifa,nayo hiyo kwao ni laana kwa maovu yao.
 
[emoji120]Big up.

Wafuasi wake wasichoelewa, kama kweli ataenda Chato, nia si kufanya kampeni, bali kusababisha vurugu, ili Serikali ilaumiwe. Hicho ndicho alichokifanya Kahama kukaribisha wafuasi wake hotelini usiku akijua Polisi ingeingilia kati na kubeba lawama.

Kwa kila hali, adhima ya Lissu ni nchi kuingia kwenye machafuko. Lakini hajui kuwa wafuasi wake ni wa mitandao ya kijamii lakini kkuhalisia hakuna atakayeingia barabarani kuitikia upuuzi wake.
Kwani wafuasi wake wakimfuata hotelini kunakuwa na vurugu gani??? Kwani akifanya kampeni chatt kunakuwa na vurugu gani??? Nyie Ccm Mbona mnakuwa kama mna funza vichwani???
 
Back
Top Bottom