Kwani umejengwa kwa kodi za baba yake.Sisi tukamuliwe Kodi then uwekeze pasipo tija ni sawa hiiUnatembeleaje uwanja unaouponda kila siku? Aende akatembelee na traffic lights.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani umejengwa kwa kodi za baba yake.Sisi tukamuliwe Kodi then uwekeze pasipo tija ni sawa hiiUnatembeleaje uwanja unaouponda kila siku? Aende akatembelee na traffic lights.
Wananchi wakishamtangaza yatosha Tume wabaki na mshindi waoExactly, hawawezi kumruhusu walivyo mashetani wakubwa. Lissu anashinda mapema asubuhi, shida ni kumtangaza! Tunafanyaje?
Wakati kule nyuma ya thread hiyi kuna comment tatu tuu...labda tusumbiri Mond atyonge jukwaa kwanzaSaa5 page inasoma reply 350+
Uwanja wa Chato unatumika/utatumika kwa emergency zitakazotokea katika uwanja wa Mwanza kwa kupokea ndege zilizotakiwa kutua uwanja wa Mwanza.Serengeti mbuga kubwa yenye maajabu haina uwanja wa kimataifa licha ya kupokea watalii duniani kote. Serengeti ina ka-airstrip kavumbi iweje chattle pawe na uwanja wa kimataifa wakati hakuna watalii kabisa? Huu ni ufisadi mkubwa!
Ipo tofauti Kati ya claiming capacity na reasoning capacityGari ya mkaa huko gereji leo, itachanganyikiwa kabisa!
Matumizi ya nguvu bila akili hata kidogo ni wendawazimu!
Kwanza chato siyo kwao kiuhalisia yeye ni raia wa Burundi, pili chato kuna changamoto nyingi kuna kero nyingi mno na kero kubwa ni unyanyasaji uonevu mkubwa toka kwa PolisiNabii hakubaliki kwao.
Ntashangaa kama ikilazimishwa sili ionekane Lissu hapendwi chato.
Kama Yesu mnazareti alitolewa mbio kwao iweje chato na jpm!!!!
CjuiWewe ni mgeni Jamii forums?
Eti anashinda asubuhi mapema! Ni taahira tu anaweza fikiria hivyo!Exactly, hawawezi kumruhusu walivyo mashetani wakubwa. Lissu anashinda mapema asubuhi, shida ni kumtangaza! Tunafanyaje?
Huo uwanja ulijengwa kwa Sheria ipi? Tenda ilitangazwa wapi lini? Bunge gani liliidhinisha ujenzi wake?Uwanja wa Chato unatumika/utatumika kwa emergency zitakazotokea katika uwanja wa Mwanza kwa kupokea ndege zilizotakiwa kutua uwanja wa Mwanza.
CCM bila Polisi bila Tume bila mahakama bila wakurugenzi bila Msajili bila uchakachuaji bila wizi wa kura ni weupe sana.Eti anashinda asubuhi mapema! Ni taahira tu anaweza fikiria hivyo!
Vipi umechukia kusema atautembelea?Unatembeleaje uwanja unaouponda kila siku? Aende akatembelee na traffic lights.
Tena wakati mwingine hata sii Sheria zinatumika kudhulumu watu,zipo kanuni ,yapo matamko ya kisiasa na zipo zile Sheria za kutungwa kwa hati za dharura.Blah Blah...Matusi ya Nini Sasa? Mbona huelezei pia sheria Haramu ya mafao ya Wafanyakazi? Nayo mmesingiziwa? Mmekosa Hoja kabisa
Ule wa DSM umewasaidia nini watu wa kawaida?Huo uwanja unawasaidia nini wananchi wa kawaida?
Nadhani wengi wetu tuliingia kwenye siasa bila kuwa na ufahamu sahihi - jmn dunia nzima ushindi wa kisiasa hutanguliwa na:-CCM bila uchakachuaji bila wizi wa kura bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm ni weupe sana
Na ile hosp. Kubwa ya rufaa kwa kanda nzima ya ziwa inayoenda kujengwa hapo Chato itatumika kama emergency Bugando hosp. ikizidiwa au?Uwanja wa Chato unatumika/utatumika kwa emergency zitakazotokea katika uwanja wa Mwanza kwa kupokea ndege zilizotakiwa kutua uwanja wa Mwanza.
Mtukufu magufuli ni raia toka Burundi na katibu mkuu Bashiru ni raia toka Rwanda na mzee Mangula Asili yake ni Malawi kwa kifupi CCM inaongozwa na wageni wenye Asili za nchi jiraniSasa Magufuli ni mtu kabila gani kama sio msukuma ?
Ila ndani ya Ccm inaonekana hata raia wa Angola anaweza akapewa uongozi
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]watu mna maneno sanaUmeongea kwa kupanic Sana,haya Mambo hayahitaji hasira mkuu....ukiona umebanwa angle zote tulia,agiza Pepsi bariid ,inywe taratibu huku ukitafakari...UTOKE VIPI,MAANA KUANZIA NOVEMBER RAIS WETU NI YEYE.....POLE SANA MKUU
Sent from my M100 using JamiiForums mobile app