Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Kwanini utake kuzoea harufu ya mavi? Mtu wa hivyo ana tatizo kubwaKwani ukisikia harufu ya mavi utayazoaje bila kusogelea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini utake kuzoea harufu ya mavi? Mtu wa hivyo ana tatizo kubwaKwani ukisikia harufu ya mavi utayazoaje bila kusogelea
Njoo ulione
Ni mvutaji Bangi pekee anaweza kuamini ujinga wa CCMUnafikiri hawayajui haya? Wanafanya upotoshaji makusudi kwa maslahi ya kisiasa.
Mwisho wait wanazidi kuuchochea.Wanazidi kuharibu.
Tule ni tu mabango tudogo twa CCM twakutembea nato sema watu hawajuwi tuuHuyo hana tofauti na yule anayewatangazia wamachinga kuwa tule tukadi aliko wauzia 20,000/ wanaweza kwenda CRDB au STANBIC na kupewa mikopo ya biashara. Sasa hivi akili zao wote zinafanana
Mbona wewe ndiyo mbumbumbu juha zuzu la mwisho na upo CCM? Kama wewe ndiyo mjanja huko CCM vipi wanaokutuma watakuaje?Machadema yanatembelea nyota za wajinga wachache wasiojitambua, mwisho tr 28 tu huu ujinga huu, uwanja si ndio unaowatukania watu wa chato kila siku!
Kuujenga ilikuwa busara na akili ya hali ya juu.Kwani kuujenga nayo ilikuwa kichekesho?
CCM bila uchakachuaji bila wizi wa kura bila Polisi bila Tume bila mahakama bila wakurugenzi bila Msajili ni weupe sanaKura zake TL hata mfuko wa jinz hazijai - Chato tuko na JPM leo na kesho
Subirini wageni wenu tunakuja,tunahitaji kujifunza ukarimu wenu kwa wageni.Yaani utafikiri kwenda Chato ni kushinda bahati nasibu,
Mambo ya Chadema kama watoto wa sekondari vile.
Ungekuwa unayo kazi ya maana usingekuwa hapa busy kulumbana na mzururaji kama mimiNinajua huna kazi ya kufanya zaidi ya uzembe na uzururaji. Si wewe wa kwanza . Kikubwa ujue pahala sahihi pa kuzururia.
SinaKuangalia fedha za wananchi zilivyofujwa ni kichekesho?
Una akili wewe?
Maendeleo hayana chama kila siku mnaambiwaMaendeleo Yana maeneo Yana chama,ama nimeelewa vibaya.
Ilikuaje aanze kuuponda kabla hajaenda kutembelea na kuona uhalisia? Umekubali kuwa alikuwa anabwabwaja asiyoyajua...Anatembelea kujua uhalisia wa kinachosemwa.unapondwa kwa kuwa huenda kaona hauna manufaa so kuuona kwake huenda akasema kumbe una manufaa. Be versatile bro
Ni wapi umesoma "mradi mdogo"?Kama ni mradi mdogo makelele ya nini
Wakupe matusi?Matusi
Sijaona... kwenye maendeleo wapo wa vyama vyote na kusikokuwa na maendeleo vile vileYanayo