Uchaguzi 2020 Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu

Huyo hana tofauti na yule anayewatangazia wamachinga kuwa tule tukadi aliko wauzia 20,000/ wanaweza kwenda CRDB au STANBIC na kupewa mikopo ya biashara. Sasa hivi akili zao wote zinafanana
Tule ni tu mabango tudogo twa CCM twakutembea nato sema watu hawajuwi tuu
 
Sina uhakika kama Lissu atafika uwanja wa Chato. Nafikiri anataka kuwapotosha wale waliopanga njama ovu.
 
Machadema yanatembelea nyota za wajinga wachache wasiojitambua, mwisho tr 28 tu huu ujinga huu, uwanja si ndio unaowatukania watu wa chato kila siku!
Mbona wewe ndiyo mbumbumbu juha zuzu la mwisho na upo CCM? Kama wewe ndiyo mjanja huko CCM vipi wanaokutuma watakuaje?
 
Ninajua huna kazi ya kufanya zaidi ya uzembe na uzururaji. Si wewe wa kwanza . Kikubwa ujue pahala sahihi pa kuzururia.
Ungekuwa unayo kazi ya maana usingekuwa hapa busy kulumbana na mzururaji kama mimi
 
Wana Chato Kama mnazipenda nyumba zenu kaeni majumbani mwenu yasiwakute ya kimara
 
Anatembelea kujua uhalisia wa kinachosemwa.unapondwa kwa kuwa huenda kaona hauna manufaa so kuuona kwake huenda akasema kumbe una manufaa. Be versatile bro
Ilikuaje aanze kuuponda kabla hajaenda kutembelea na kuona uhalisia? Umekubali kuwa alikuwa anabwabwaja asiyoyajua...
Am your sis..
 
Porojo unazo wewe kwani CHADEMA hawapaswi kuongea mapungufu ujinga ufisadi wizi wa serikali yako ya CCM? Usiwapangie CHADEMA cha kuongea kwani tayari wametangaza utawala wa haki ukiwa na haki kila kitu kinakuja maendeleo ni haki kwenye haki ndipo kuna maendeleo kusiko na haki ndipo watu hubambikiwa kesi kesi kupigwa risasi kuporwa pesa zao kwa kubambikiwa kodi za TRA uonevu unyanyasaji na mambo mengi ya hovyo
 
Back
Top Bottom