Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii hesabu feki. Tanzania ni kubwa sana, hakukuwa na sababu ya Lissu kurudi kanda ya ziwa mara ya tatu. Anapoteza muda wake na resources, wasukuma hawezi kuacha kumpa kura mtu wao.
Malaika mungu na watanzania wema tayari wapo chato kwa ajili ya kuzuia ushetani wote ulioratibiwa na kuandaliwa na cyprian Musiba na polepoleTunajua mmeandaa vikosi Haramu vya kupiga watu na kurushia mawe msafara wa mgombea.Kwanini muandae vikundi Haramu? Mbona siasa imewashinda? Si mtoe Hoja kutetea huo Uwanja wenu na faida anayopata mwanaChato?
Usubirini awaletee dawa huko huko akili ziwakae sawa.Hata Mimi nimeshangaa Kuna sehemu hajawahi fika kabisa why asiende huko jamani.
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
Huyo hana tofauti na yule anayewatangazia wamachinga kuwa tule tukadi aliko wauzia 20,000/ wanaweza kwenda CRDB au STANBIC na kupewa mikopo ya biashara. Sasa hivi akili zao wote zinafananaMkuu kwanza usinitishe ili nikuele navijimaneno vyako hivi "Ukishindwa kujua umuhimu wake basi hata wewe umuhimu wako hapa tanzania haupo"
kwanza ujuwe mimi sio mujinga au pumbavu kama wenzio wana Lumumba am undecided voter .nimekuuliza economic benefit ya Chato Airport to this country niipi?? wewe unarukaruka kuniletea habari za barabara,hospitali n.k umeshindwa kujibu swali rahisi huna akar kabisa wewe usije rudia tena kuita watu hawana akiri wakati IQ yako mwenye ipo very low and norrow.Goat kabisa wewe
vipi na wewe ni mwanamke mweupe nini?Mkuu chadema hawatakuwa live YouTube.
Maana nao chama kiko nyuma kitechnolojia utadhani chama cha maporini
YanayoKwani nani kamkataza kwenda we kuku...Nani kamkataza?
Maendeleo hayana chama....
Tanzania ya sasa hakuna haki unaweza kubambikiwa kesi ya uhujumu mda na saa yeyote bila kupewa nafasi ya kujitetea imekuwa nchi ya kesi kesi uonevu unyanyasaji mwingiDanganya wapumbavu. Tanzania ya Leo siyo ya Jana. Mwanangu ni mfanyakazi hajaongezewa mshahara miaka 5 na pia mmeamua kuiba Mafao yake unataka tusitafute mtu atakayerudisha heshima ya mfanyakazi?
Mumeshafika? Ungetupatia picha mkuu. Na ingependeza sana Lissu angeenda kumjulia hali mama yake magu kuonyesha alivyojaa utu.Tupo nyumbani kwa mgombea urais wa Ccm Chato wamesema wao watamchagua Tundu Lissu
Wasubiri,kimbunga kinakuja huko wajiandae tu.Leo chato imefurika maafisa vificho kila mahali
Weka na picha mkuuChato nzima Imesimama wana Chato wameamua kuthibitisha kuwa Nabii hakubaliki kwenye nchi yake.
Watu wamekesha Barabarani kumsubiri Lissu wafanyakazi wameahidi kutoenda kazini, wafanyabiashara hawafungui maduka ,hakika saa ya ukombozi ni sasa.
Anza kumwita hata Sasa kwani sii Mia mbili tu,Bali wote.Akipata watu zaidi ya 200 kuanzia leo nitamuita SIMBA WA YUDA,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kutembelea uwanja wa ndege Chato ni kichekesho. CHADEMA bana, hata hawajielewi.
MatusiKwani ulitaka ufanywe nini mkuu?
CCM itatolewa kwa sanduku la kura kwa maamuzi ya wengi wape, maana sauti ya wengi ni sauti ya MunguNjia pekee ya kuitoa ccm madarakani kuandaa maji ya kutosha , vinguru na makoti mazito ili kwenda kulinda ulinzi wa Rais Tundu Lissu
Sent using Jamii Forums mobile app
Unafikiri hawayajui haya? Wanafanya upotoshaji makusudi kwa maslahi ya kisiasa.Serengeti kuna uwanja wa ndege hautumiwi na wana serengeti hutumiwa na watalii tu
Pia zipo hoteli za kitalii Chato WATU WA CHATO huwa hawazitumii.Kutozitumia haina maana kuwa hazina faida kwao
Chato kuna mbuga imeanzishwa kubwa imeanzishwa karibuni huo uwanja utakuwa ukihudumia watalii
Mbuga hiyo hapo ya chato