Baada ya ccm kuiba fedha za wafanyakazi wakaamua eti kuunganisha mifuko na kuzuia wafanyakazi kuchukua michango yao pindi wanapohitaji baada ya kazi kuisha, hili la kuweka hadi ifike miaka 60 ni zuluma sawa na zuluma zingine mfano rambirambi, wakulima wa korosho, uporwaji pesa za bureau de change, nyongeza za mishahara, nk.
Hii michango inafaa iwe kujiunga Ni hiari kwa anaetaka maana haina faida kujiunga na kitu kisichofaida.
Waliofilisika mifuko kina Dau wakazawadiwa na ubalozi kabisa ili wapate nafasi ya kutumbua pesa zetu huku tukiambiwa tusubirie miaka 60 utadhani una ahadi na Mungu kufika hio 60 lengo wanajua wengi watakuwa wameshakufa bila kupata michango yao.