Uchaguzi 2020 Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu

Great Sir. big salute...
 
Ndugu yangu sikifichi katika watu wajanja Tundu Lisu ni mmoja wao. Watu wanashupaza shingo kuongea ugoro ugoro akati mjanja Tundu Lisu anafanya utalii wa ndani.
Inakulikana kabisa jeshi la msituni lililoandaliwa base yake iko chato TISS leo ndio siku ya kulilinda taifa ....tusikubali nchi iingie kwenye machafuko kwa ajili ya watu wasio angalia mbele .......
kuna watu walijiapiza kuwa mgombea aendi chato na yeye anajua kura hatapata chato kaenda tu ili kuweka record sawa kuwa hajaogopa kufanya kampeni popote ..
Lakini kama nilivyosema hakuna rais aliyewahi kuzuia siasa ndani ya kijiji chake .....kuna hadi marais ndani ya familia zao waliruhusu demokrasia ya watoto na wajukuu zao kuamini vyama wanavyotaka ...hiyo ndio TANZANIA
 
..TUME YA UCHAGUZI ndiyo imempangia TUNDU LISSU kwa siku ya leo afanye kampeni CHATO.

..Siyo kwamba Lissu amejiamulia tu kibabe kwenda Chato kufanya kampeni.

Ratiba ya TUNDU LISSU inaonyesha ifuatavyo:

October 10 to 11 amepangiwa kuwa Chamwino, Mvumi, Ikungi, Manyoni, Mkalama, Singida .

October 12 amepangiwa kuwa Tabora [Igunga, Nzega] Shinyanga[ Kahama].

October 13 amepangiwa kuwa Geita [ Mbogwe, Bukombe, Chato].

October 14 amepangiwa kuwa Mwanza[ Ukerewe ], Mara [ Rorya ].

October 15 amepangiwa kuwa Simiyu [ Itilima, Meatu, Bariadi ].

October 16 amepangiwa kuwa Tabora [ Tabora, Urambo,Kaliua].

October 17 amepangiwa kuwa Singida[ Manyoni], Dodoma [ Bahi, Kongwa, Dodoma ].

Ratiba ya SALUM MWALIMU inaonyesha kati ya October 10 to 17th atakuwa maeneo ya Iringa, Mbeya, Songwe, Rukwa, Kigoma, na Kagera.
 

Unaongea ujinga gani mbona hizi flyover zinajengwa Dar siyo huko mikoani, pesa ya umma inatakiwa kutumika kwa malengo ya kuleta unafuu katika maisha sasa kuna abiria gani huko kijijini mbona hakuna mwaka watanzania wamewahi kulalamikia ujenzi wa miundo mbinu. Ni kosa kubwa sana kuamuwa kujenga uwanja chato si kutokana mahitaji lakini kwakuwa Rais anatoka hapo.

Tangu uwanja umekamilika hakuna ndege zinakwenda huko pamoja na kwamba ATCL ina Ndege mpya kabisa. Sasa uwekezaji wa hivo una tofauti gani ule ewekezaji wa mabuto kule kijijini kwake akiwa Rais was Congo
 
Unatembeleaje uwanja unaouponda kila siku? Aende akatembelee na traffic lights
Inafikiri anaenda kutembelea kwa kufurahia huo uwanja Umesahau 2015 mlivyokuwa mnamshambulia Lowassa kwa matusi na kumdhalilisha?

Isitoshe, Lissu hamtukani bali anaelezea mapungufu/makosa yake kama kiongozi.
 
Jamaa yangu yuko Chato anasema CCM inawalazimisha Wananchi wafanye vurugu nami na kikosi changu hapa Geita tunaelekea Chato kwenda kumlinda #NI YEYE
 
Lissu ni noma
Your browser is not able to display this video.
 
Jamaa yangu yuko Chato anasema CCM inawalazimisha Wananchi wafanye vurugu nami na kikosi changu hapa Geita tunaelekea Chato kwenda kumlinda #NI YEYE

Lissu awe makini sana huko ikiwezekana asipite
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…