Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,557
- 8,673
Mimi sikuhusiki na chama chochote ila tu ni muumini wa utaifa ...sisi hatuna vyama ..ndio nawaambia hakuna sitting president aliyezuia wapinzani kufanya kampeni kwenye mkoa ,wilaya au kijiji chake .Msifanye vyombo vikamzira .Leo mtanyooka tu, njooni tupo tunawasubiri mbwa nyie
Great Sir. big salute...Leo hao Interahamwe walioandaliwa na Gwajima tuwaone ,tunajua Gwajima kapewa kugombea ubunge kwa kazi yake yenye ushahidi kila mahali kuwa anaongoza kundi la msituni la kikabila eti lenye lengo la kumlinda Magufuli , as if TISS na Vyombo vimeshindwa ....na tunajua kuwa leo wanataka kufanya vurugu kubwa sana .......kwenye demokrasia hakuna jambo la ajabu ...Dr Slaa alifanya kampeni hadi kijijini Msoga na alimuweka kwenye hot soup Kikwete kwa kuwa na nyumba nzuri huku wanajijiji wenzake wana nyumba za nyasi .....baada ya ule uchaguzi kikwete alijitahidi kuboresha uchumi na nyumba za wanakijiji wanaomzunguka ....
Hadi Lupaso kampeni zilifanyika na Mkapa akachekwa kwa kutokuwa na nyumba ya maana kijijini , AKAJENGA ....HIII NDIO DEMOKRASIA .....wanaotaka wapinzani wasifanye kampeni Chato wanaweka predecence ya ajabu sana ..sio utamaduni wetu huo
Liko mburahati halichezi mbali magogoni gerejiGari ya mkaa huko gereji leo, itachanganyikiwa kabisa!
Matumizi ya nguvu bila akili hata kidogo ni wendawazimu!
Mkuu hakuna anayeutukana huo uwanja. Ni kuhoji uhalali na ulazima. Kwa nini imekuwa lazima miradi yote ifanywe huko? Acha tujifunze zaidi maana ya ujasiri wa hojajiMnatukana kila siku Chato utafikiri wao hawatakiwi kuwa na uwanja
Mkuu hata wewe unaweza usihione keshotundu atapigwa ajali muda siyo mrefu na Mungu kama mwenzake Zito, ...
Hujui Kama wenye Nia ovu walijaribu,na Munga akamnusuru na Hilo.Afie mbele huko
Inakulikana kabisa jeshi la msituni lililoandaliwa base yake iko chato TISS leo ndio siku ya kulilinda taifa ....tusikubali nchi iingie kwenye machafuko kwa ajili ya watu wasio angalia mbele .......Ndugu yangu sikifichi katika watu wajanja Tundu Lisu ni mmoja wao. Watu wanashupaza shingo kuongea ugoro ugoro akati mjanja Tundu Lisu anafanya utalii wa ndani.
Tuwaulize waliosoma naye. Ila kwanza tujiulize kiranja wa darasa na waziri nani zaidi.He was overwhelmed to become president. Has he ever been even a class monitor?
Huyo ni internal auditor wa mabeberu kitambo tu.Tangu lini amekuwa mkaguzi?
Kuna watu sijawahi ona, uwanja wa Chato uwanja wa Chato, hivi Chato ni wananchi wa wapi? Wao hawana haki ya kuwa na uwanja? Mbona mnakuwa wapumbavu kiasi hiki?
Mnatukana kila siku Chato utafikiri wao hawatakiwi kuwa na uwanja. Kwa taarifa yenu wananchi wa Chato si wajinga, muulizeni mgombea wenu alichokipata Buselesele na Katoro hadi akasitisha kwenda Chato, haya yote ni siasa mbovu isiyo na staha, hata kama unachallenge tumia lugha rafiki, don't be so biased to that extent, watu wa Chato amewatukana sana, Buselesele na Katoro yalikuwa maeneo ya upinzani lakini kutokana na dharau za Lissu matokeo yake CHADEMA leo inazomewa, Lissu asingezomewa Buselesele kwa namna ile, Awe na akiba ya maneno kwani anaowatukana wanasikia .
Inashangaza sana unatukana halafu bado eti unaenda kuwaomba kura,,,,, unatukana barabara kujengwa huku unazitumia, unatukana ndege huku unazipanda huo ni U CHICHIDODO.
Hopeless kabisa , let's stay tuned leo.
Ameambatana na Amsterdam!Lissu ametumwa na mabeberu kuukagua uwanja wa Chato [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Inafikiri anaenda kutembelea kwa kufurahia huo uwanjaUnatembeleaje uwanja unaouponda kila siku? Aende akatembelee na traffic lights
Umesahau 2015 mlivyokuwa mnamshambulia Lowassa kwa matusi na kumdhalilisha?Yeye mwenyewe hatumii hoja na anatumia lugha za kuudhi, kebehi dharau na uongo uliosheheni matusi ya reja reja, iweje yeye ajibiwe kwa hoja?? Mfano jana anatukana mabango ya mgombea mwenzake, nani kamzuia kuweka yake? Lissu anapanda jukwaani badala ya kunadi plan na sera za chadema anaanzisha ajenda za "Yatokanayo kwenye mikutano ya mwenzake'" na kuanza kumshambulia badala ya kuja na ilani ya chama chake, amekua ana ugomvi binafsi moyoni na Mhe Magufuli, kutwa kucha yuko mdomoni kwake,i ni wapi Magufuli alimshambulia personally? Lissu ni mbwa tu
Chadema wanahesabu kura sasa hivi.Huu uzi mbona unatembea hivi leo?
0 IQ kabisa!Kwani ALIYEOMBA KUSUGULIWA na Mwanaume mwenzake ni nani .?
au unataka clip π π π π
View attachment 1598735
Lissu ni nomaNahisi watamzuia kutembelea huo uwanja.Na kwakuwa huko ni nyumbani kwa mgombea yule,nina wasiwasi pia anaweza fanyiwa hujuma katika kampeni zake huko lengo kuhakikisha hapati watu au ashindwe kuhutubia.
Ni imani yangu Lissu haendi kufurahia uwanja,bali anaenda kufanya tathimini physically ya huo uwanja kwa kuingilia kilichojengwa (kupata picha ya kilichojengwa) na ulazima wake pamoja na umuhimu wa kujenga uwanja katika eneo hilo.
Ushauri:Tundu Lissu vaa helmet muda wote ukiwa huko Chato na kuwaambia wananchi kila mtu awe mlinzi kwa kumtupia macho alie jirani yake katika mikutano na misafari atayofanya huko Chato(kwenye msafara wa mamba, hata kenge wamo).
Nasema hivi kwasababu,teyari dalili zinaonyesha kuwa lolote linaweza kutokea leo hii, hivyo ni bora kuchukua tahadhari zote zinazowezekana kuchukuliwa.
Jamaa yangu yuko Chato anasema CCM inawalazimisha Wananchi wafanye vurugu nami na kikosi changu hapa Geita tunaelekea Chato kwenda kumlinda #NI YEYE
Mkuu hata wewe unaweza usihione kesho