NABEEL SADIO
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 352
- 580
Dar hiii ya mafuriko leo?au Dar ya kwenu?Wewe utakuwa wale ambao maslahi yenu yameguswa, lakini wengi wanakubali maisha bado magumu kama ilivyokuwa miaka yote kabla yake. Walau sasa hivi kuna haki wana dar es salaam walikuwa wananyanyasika mtu anakupora haki yako mchana unapakukimbilia, watendaji wajeuri etc sasa hivi raia regardless ya nafasi yake anaanza heshimiwa.
Isitoshe mazingira ya miundombinu ipo sasa kuchochea uchumi, cost of living ameishusha kiasi ukitoa sukari inflation ya chakula is slow na rent za nyumba ni stable for almost five years.
Ni hivi mnajufurahisha Magufuli Dar hana mpinzani.
You have a very good point .. kuna suala la kiroho hapa. Halafu hili suala la Lissu kupokelewa vizuri nyumbani kwa Mshua ni harassment moja kubwa sana. Imemvunja nguvu sana Magufuli. Imemvunja sanaaaaKuelewa kilichomvuta lissu aende tena chato mpaka uwe unayaelewa mambo ya ulimwengu wa roho na pia uwe na uwezo wa kuona na kutafasiri.
There must be a spiritual inspiration pushed and pulled mr tundu to go once again to his political enemy ground.
BREAKING NEWS: TUNDU LISSU ATINGA RASMI CHATO
KITUO CHA KWANZA KATA YA RUNZEWE
JIONEE MWENYEWE
View attachment 1598916
Mkuu mwombe Mods wapanishe hii kitu hapo juu ikibidi IFUNGULIE UZIBREAKING NEWS: TUNDU LISSU ATINGA RASMI CHATO
KITUO CHA KWANZA KATA YA RUNZEWE
JIONEE MWENYEWE
View attachment 1598916
You have a very good point .. kuna suala la kiroho hapa. Halafu hili suala la Lissu kupokelewa vizuri nyumbani kwa Mshua ni harassment moja kubwa sana. Imemvunja nguvu sana Magufuli. Imemvunja sanaaaa
Zimebaki siku 15 tu. Tumalize kazi Mbelgiji arudi kwa mabwana zakeNimegundua watanzania wana tabia zile zile za wajumbe. Wanachomfanyi magufuli hataamini
Mkuu mwombe Mods wapanishe hii kitu hapo juu ikibidi IFUNGULIE UZI
BREAKING NEWS: TUNDU LISSU ATINGA RASMI CHATO
KITUO CHA KWANZA KATA YA RUNZEWE
JIONEE MWENYEWE
View attachment 1598916
Mkuu nikifungua uzi wowote ule hauwekwi hewani ndiyo maana unaona nadandia uzi za watuMkuu mwombe Mods wapanishe hii kitu hapo juu ikibidi IFUNGULIE UZI
Raha sanaBREAKING NEWS: TUNDU LISSU ATINGA RASMI CHATO
KITUO CHA KWANZA KATA YA RUNZEWE
JIONEE MWENYEWE
View attachment 1598916
Mkuu nikifungua uzi wowote ule hauwekwi hewani ndiyo maana unaona nadandia uzi za watu
Wewe uko katavi mambo ya dar tuachie wenyewe huijui darWewe utakuwa wale ambao maslahi yenu yameguswa, lakini wengi wanakubali maisha bado magumu kama ilivyokuwa miaka yote kabla yake. Walau sasa hivi kuna haki wana dar es salaam walikuwa wananyanyasika mtu anakupora haki yako mchana unapakukimbilia, watendaji wajeuri etc sasa hivi raia regardless ya nafasi yake anaanza heshimiwa.
Isitoshe mazingira ya miundombinu ipo sasa kuchochea uchumi, cost of living ameishusha kiasi ukitoa sukari inflation ya chakula is slow na rent za nyumba ni stable for almost five years.
Ni hivi mnajufurahisha Magufuli Dar hana mpinzani.
Mkuu, Jamaa kachoka... Muangalie vizuri na msikilize vizuri.Ndio maana nawaambia anachofanya sasa ni kutoa heshima kwa wapiga kura keshaona huko njiani watanzania bado wanamuhitaji aitajii tena kutumia nguvu kama Lissu tena.
Anyway wafuasi wa CDM huwa wanapenda kubisha tu atauwaeleze ushahidi watabadili maneno.
Huu msemo umechuja, tafuteni mwingine.CCM bila Polisi bila Tume bila mahakama bila wakurugenzi bila Msajili bila uchakachuaji bila wizi wa kura ni weupe sana.
Walikua hawaja zaliwa ndo manaIngekuwa kujaza watu ndo kushinda ni dhahiri Lowasa angakuwa Rais, Mrema angakuwa Rais, Lipumba enzi za ngunguli angekuwa Rais. Tukutane kwenye ballot box tuna hasira na uchungu wa nchi hii. 5 tena.
Kwani yeye Yesu Hadi awe mpango na utukufu wa Mungu?Lissu ni mpango wa Mungu... Kumpinga ni kuupinga utukufu wa Mungu!!!
#NiYeye2020
UCHAGUZI WA MWAKA HUU NI HESABU KALI!Hii hesabu feki. Tanzania ni kubwa sana, hakukuwa na sababu ya Lissu kurudi kanda ya ziwa mara ya tatu. Anapoteza muda wake na resources, wasukuma hawezi kuacha kumpa kura mtu wao.