shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,901
Tunaomba link
Naangalia YouTube live muda huu naona kama pana fujo watu wanarushiana mawe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naangalia YouTube live muda huu naona kama pana fujo watu wanarushiana mawe
Bora lissu aliingiza dada ake kuliko magu aliye honga kimada nyumba za serikali
Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Watanzania wa chato na waliowatuma wanafanya kosa kubwa sana leo
Wamempa Huyu Bwana ushindi kwa kumzuia
Chuma kimetua Chato muda huu na maccm wachache waliotaka kuleta fujo wamekionaTunaomba picha za chato
Darmpya youtubeTunaomba link
Tunaomba link
Naangalia YouTube live muda huu naona kama pana fujo watu wanarushiana mawe
Ni kuangalia kwa macho tu. Labda kuna wachache watahitaji miwani.Hili ushahidi ni upi ili tujiridhishe kuwa hawa ni wengi hawa ni wachacheee
Angalia vizuri hiyo sentensi.Umenifurahisha kwa sentensi hii;
"....he's stupid like any other person..."
Are you a person or wild animal? If you are "person", that means YOU ARE AN EXECUTIVE STUPID, right?
Kuna watu sijawahi ona, uwanja wa Chato uwanja wa Chato, hivi Chato ni wananchi wa wapi? Wao hawana haki ya kuwa na uwanja? Mbona mnakuwa wapumbavu kiasi hiki?
Mnatukana kila siku Chato utafikiri wao hawatakiwi kuwa na uwanja. Kwa taarifa yenu wananchi wa Chato si wajinga, muulizeni mgombea wenu alichokipata Buselesele na Katoro hadi akasitisha kwenda Chato, haya yote ni siasa mbovu isiyo na staha, hata kama unachallenge tumia lugha rafiki, don't be so biased to that extent, watu wa Chato amewatukana sana, Buselesele na Katoro yalikuwa maeneo ya upinzani lakini kutokana na dharau za Lissu matokeo yake CHADEMA leo inazomewa, Lissu asingezomewa Buselesele kwa namna ile, Awe na akiba ya maneno kwani anaowatukana wanasikia .
Inashangaza sana unatukana halafu bado eti unaenda kuwaomba kura,,,,, unatukana barabara kujengwa huku unazitumia, unatukana ndege huku unazipanda huo ni U CHICHIDODO.
Hopeless kabisa , let's stay tuned leo.
Kaka Naona kama unamjibu Lakini kapaniki Sana
Sasa Geita yote Lisu kapokewa kama mfalme kwenye kitongoji anachoishi Rais tu ndio wanafanya vurugu ... Mimi nilidhani hizi vurugu Angezipata Geita nzima ...
Nimesahihisha, asanteAngalia vizuri hiyo sentensi.
Ingekuwa kujaza watu ndo kushinda ni dhahiri Lowasa angakuwa Rais, Mrema angakuwa Rais, Lipumba enzi za ngunguli angekuwa Rais. Tukutane kwenye ballot box tuna hasira na uchungu wa nchi hii. 5 tena.
Wamefeli sana, ndo wanazidi kumpaisha LissuKaka Naona kama unamjibu Lakini kapaniki Sana
Sasa Geita yote Lisu kapokewa kama mfalme kwenye kitongoji anachoishi Rais tu ndio wanafanya vurugu ... Mimi nilidhani hizi vurugu Angezipata Geita nzima ...
Kama wewe unavyounga unga mkono kila ujingaHahahhaha kwakwl haamin kama kwel uwanja upo watu wanapinga pinga tu vitu.. No research no ryt to speak.
labda huu hapa: Tanzania repressing opponents as election looms: AmnestyHuu msemo umechuja, tafuteni mwingine.
Kuhusu kingereza subiri tumalizane kwanza na Ras Simba aliyekula ada yetu halafu mhitimu ametoka na zerooooooNa la kiingereza.