Subiri October 28; zimebaki wiki mbili tu. Tanzania tuna bahati sana kwani tuna wataalamu wengi kama "Msaga sumu," "Sugu," na "Machozi;" mmojawapo anaweza kukuhudumia baada ya October 28Kila mahali kuna Bango la Meko. Tunakaribia kumaliza Kampeni na bado sijaona bango hata moja la Tundu Lissu.
Swali: anawezaje kupata Nyomi kwenye mikutano ya hadhara bila ya matangazo? System wangetafakari hili swali sana maana jibu lake linaweza kuwaelimisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Hana haki ya kwenda kuona hela za walipa kodi zilivyochotwa na kupelekwa kwenye mradi wa hovyooo?Kweli Lissu amekuwa akiwatukana Washamba leo anaenda kukagua Uwanja huyu mtu hana aibu
Kila mahali kuna Bango la Meko. Tunakaribia kumaliza Kampeni na bado sijaona bango hata moja la Tundu Lissu.Subiri October 28; zimebaki wiki mbili tu. Tanzania tuna bahati sana kwani tuna wataalamu wengi kama "Msaga sumu," "Sugu," na "Machozi;" mmojawapo anaweza kukuhudumia baada ya October 28
Ukikosoa uwanja wa ndege wa Chato na Magufuli utakuwa umewatukana Wasukuma?Ana dharau sana kwa wasukuma huyo
Ni wapi uwanja wa ndege wa Mwanza ulipigwa vita na chadema?Leo unakuja na approach ya kuzungumzia Serengeti ningejua unatoka Kanda gani na mtazamo wako ningeishia kusema tu Uwanja wa Serengeti umepitia Changamoto nyingi Sana zikiwemo mitizamo ya Monopolism basis kwa maana pale Arusha na Kilimanjaro kuwa watalii wa Nchi hii lazima lango kuu lao la kuingia na kutoka ni Mikoa hiyo Miwili.
Siasa za kushambulia Uwanja wa Chato kwa sisi ambao tuko muda mrefu kwenye soko la Utalii tunajua kwani hata Uwanja wa Mwanza kwa Sera za CHADEMA hautakiwi kuwepo watakwambia umezungukwa na Milima ni hatari kwenye usafiri wa anga yapo mengi tu nafiri niwambie tu Jumatano nitakuwa Live Star Tv kuelezea haya mambo kwann Chama cha Mbowe kinapinga maeneo Mengine kuendelezwa na hasa maeneo ya Kanda ya Ziwa na maeneo Mengine, usikose kuwa nami ktk kukufumbua macho Mtanzania mwenzangu kwa haya yanayoendelea ndani ya Chadema.
IGP msukuma, jaji mkuu msukuma, mlipaji mkuu mtoto wa dada, mkuu wa majeshi msukuma, DPP msukuma.Unaweza ukauthibitisha ukabila wa Magu? Pia nimetamka ukabila hapo!
aende na Butiama amwite walimu muovu aone kama atatoka salamaKilatha,
..hapa ccm wamejiaibisha.
..lakini zaidi, kwa tukio hili kutokea nyumbani kwa Raisi, ni doa ktk rekodi ya utawala wake.
..Chato panatakiwa kuwa na heshima yake, sawa na Msoga, Lupaso, au Butiama.
..I hope Raisi Magufuli atatoa kauli ya kukemea na kulaani tukio hili.
..I hope CCM watatoa kauli nzima kukemea na kuwakana waliofanya tukio hili.
..Wasipokemea basi wanaweza kusababisha watu wakaamini wahuni waliomshambulia Tundu Lissu wametumwa na Raisi na CCM.
Hata ukichonganisha ni yeyeMwambieni Lisu ukerewe wanamsubiri atawakoma
Walikufa wakerewe mamia Chadema hawakutoa mtu kwenda kuhudhuria mazishi halafu wanajitia kwenda kuwaomba kura.Wakerewe hawajasahau
Mdee anena kuhusu viongozi wa CHADEMA kutohudhuria mazishi ya waliokufa kwenye ajali ya MV Nyerere
Sio kweli bana. Tume ndio huratibu ratiba na imemnyima Lissu baadhi ya sehemu kwasababu wamepangiwa wagombea wengine wa vyama 15.Ratiba anaweza kufanyiwa ammendments; mradi aifahamishe ofisi ya tume. Kwa mfano kama aliugua hakuendelea na ratiba yake au kama alifungiwa anaruhusiwa kufanya ammendements. Ndiyo maana hata Magufuli akiwa Kigoma alizidisha siku moja ya kuwapo Kigoma kwa sababu za kiserikali, akafanya ammendement ambayo watu waliipigia kelele lakini ilikuwa halali.
Akiri =akiliHata ukielezwa huwezi kuelewa maana akiri yako kuna watu wamakubebea,
Nyie subilini uhuruwa kusafishwa migongo.
Kila mahali kuna Bango la Meko. Tunakaribia kumaliza Kampeni na bado sijaona bango hata moja la Tundu Lissu.Subiri October 28; zimebaki wiki mbili tu. Tanzania tuna bahati sana kwani tuna wataalamu wengi kama "Msaga sumu," "Sugu," na "Machozi;" mmojawapo anaweza kukuhudumia baada ya October 28
Dalili za wizi, mradi mdogo hela kubwaKama ni mradi mdogo makelele ya nini
Mbona unarudia jibu lile lile; yaani hujui mambango haya?Kila mahali kuna Bango la Meko. Tunakaribia kumaliza Kampeni na bado sijaona bango hata moja la Tundu Lissu.
Swali: anawezaje kupata Nyomi kwenye mikutano ya hadhara bila ya matangazo? System wangetafakari hili swali sana maana jibu lake linaweza kuwaelimisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo una sympathize shortcomings za CHADEMA? Kwa nini usifurahie kuwa wanapoteza muda wa kampeni ili chama chenu chakavu kishinde kwa kishindo?Chadema acheni porojo,njooni na sera zenu,mambo ya kusema wengine sio tija,nyie tuelezeni mtatufanyia nini watanzania?maana leo anaenda kutembelea kiwanja you are wasting your time ya kampeni,juzi ulikuwa kifungoni why wasting time??????
..hotuba ya Tundu Lissu akiwa Chato hii hapa.aende na Butiama amwite walimu muovu aone kama atatoka salama
Kuna mmoja tulimnasa tukatoa elimu ya uraia kwa mkong'otoHaya
Ratiba anaweza kufanyiwa ammendments; mradi aifahamishe ofisi ya tume. Kwa mfano kama aliugua hakuendelea na ratiba yake au kama alifungiwa anaruhusiwa kufanya ammendements. Ndiyo maana hata Magufuli akiwa Kigoma alizidisha siku moja ya kuwapo Kigoma kwa sababu za kiserikali, akafanya ammendement ambayo watu waliipigia kelele lakini ilikuwa halali.