Uchaguzi 2020 Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu

Kila mahali kuna Bango la Meko. Tunakaribia kumaliza Kampeni na bado sijaona bango hata moja la Tundu Lissu.

Swali: anawezaje kupata Nyomi kwenye mikutano ya hadhara bila ya matangazo? System wangetafakari hili swali sana maana jibu lake linaweza kuwaelimisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Subiri October 28; zimebaki wiki mbili tu. Tanzania tuna bahati sana kwani tuna wataalamu wengi kama "Msaga sumu," "Sugu," na "Machozi;" mmojawapo anaweza kukuhudumia baada ya October 28
 
Subiri October 28; zimebaki wiki mbili tu. Tanzania tuna bahati sana kwani tuna wataalamu wengi kama "Msaga sumu," "Sugu," na "Machozi;" mmojawapo anaweza kukuhudumia baada ya October 28
Kila mahali kuna Bango la Meko. Tunakaribia kumaliza Kampeni na bado sijaona bango hata moja la Tundu Lissu.

Swali: anawezaje kupata Nyomi kwenye mikutano ya hadhara bila ya matangazo? System wangetafakari hili swali sana maana jibu lake linaweza kuwaelimisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo unakuja na approach ya kuzungumzia Serengeti ningejua unatoka Kanda gani na mtazamo wako ningeishia kusema tu Uwanja wa Serengeti umepitia Changamoto nyingi Sana zikiwemo mitizamo ya Monopolism basis kwa maana pale Arusha na Kilimanjaro kuwa watalii wa Nchi hii lazima lango kuu lao la kuingia na kutoka ni Mikoa hiyo Miwili.

Siasa za kushambulia Uwanja wa Chato kwa sisi ambao tuko muda mrefu kwenye soko la Utalii tunajua kwani hata Uwanja wa Mwanza kwa Sera za CHADEMA hautakiwi kuwepo watakwambia umezungukwa na Milima ni hatari kwenye usafiri wa anga yapo mengi tu nafiri niwambie tu Jumatano nitakuwa Live Star Tv kuelezea haya mambo kwann Chama cha Mbowe kinapinga maeneo Mengine kuendelezwa na hasa maeneo ya Kanda ya Ziwa na maeneo Mengine, usikose kuwa nami ktk kukufumbua macho Mtanzania mwenzangu kwa haya yanayoendelea ndani ya Chadema.
Ni wapi uwanja wa ndege wa Mwanza ulipigwa vita na chadema?

Kwa nini ukiwa mshabiki wa CCM lazima uwe muongo mzushi kama Polepole? Hivi mna laana gani?

Mataahira pekee ndio watakaokuangalia star TV ukifanya kampeni, labda umuweke na diamond
 
Unaweza ukauthibitisha ukabila wa Magu? Pia nimetamka ukabila hapo!
IGP msukuma, jaji mkuu msukuma, mlipaji mkuu mtoto wa dada, mkuu wa majeshi msukuma, DPP msukuma.

UKANDA, katibu mkuu mhaya, mwenezi musoma. Msomali wa Arusha na mmakonde Nape pigwa chini
 
Kilatha,

..hapa ccm wamejiaibisha.

..lakini zaidi, kwa tukio hili kutokea nyumbani kwa Raisi, ni doa ktk rekodi ya utawala wake.

..Chato panatakiwa kuwa na heshima yake, sawa na Msoga, Lupaso, au Butiama.

..I hope Raisi Magufuli atatoa kauli ya kukemea na kulaani tukio hili.

..I hope CCM watatoa kauli nzima kukemea na kuwakana waliofanya tukio hili.

..Wasipokemea basi wanaweza kusababisha watu wakaamini wahuni waliomshambulia Tundu Lissu wametumwa na Raisi na CCM.
aende na Butiama amwite walimu muovu aone kama atatoka salama
 
Ratiba anaweza kufanyiwa ammendments; mradi aifahamishe ofisi ya tume. Kwa mfano kama aliugua hakuendelea na ratiba yake au kama alifungiwa anaruhusiwa kufanya ammendements. Ndiyo maana hata Magufuli akiwa Kigoma alizidisha siku moja ya kuwapo Kigoma kwa sababu za kiserikali, akafanya ammendement ambayo watu waliipigia kelele lakini ilikuwa halali.
Sio kweli bana. Tume ndio huratibu ratiba na imemnyima Lissu baadhi ya sehemu kwasababu wamepangiwa wagombea wengine wa vyama 15.
 
Hata ukielezwa huwezi kuelewa maana akiri yako kuna watu wamakubebea,
Nyie subilini uhuruwa kusafishwa migongo.
Akiri =akili
Wamakubebea= wamekubebea
Subilini = subirini
Uhuruwa = uhuru wa

Sasa sema unachotaka kusema
 
Subiri October 28; zimebaki wiki mbili tu. Tanzania tuna bahati sana kwani tuna wataalamu wengi kama "Msaga sumu," "Sugu," na "Machozi;" mmojawapo anaweza kukuhudumia baada ya October 28
Kila mahali kuna Bango la Meko. Tunakaribia kumaliza Kampeni na bado sijaona bango hata moja la Tundu Lissu.

Swali: anawezaje kupata Nyomi kwenye mikutano ya hadhara bila ya matangazo? System wangetafakari hili swali sana maana jibu lake linaweza kuwaelimisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila mahali kuna Bango la Meko. Tunakaribia kumaliza Kampeni na bado sijaona bango hata moja la Tundu Lissu.

Swali: anawezaje kupata Nyomi kwenye mikutano ya hadhara bila ya matangazo? System wangetafakari hili swali sana maana jibu lake linaweza kuwaelimisha

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unarudia jibu lile lile; yaani hujui mambango haya?

1602623134356.png


1602623184125.png
 
Chadema acheni porojo,njooni na sera zenu,mambo ya kusema wengine sio tija,nyie tuelezeni mtatufanyia nini watanzania?maana leo anaenda kutembelea kiwanja you are wasting your time ya kampeni,juzi ulikuwa kifungoni why wasting time??????
Leo una sympathize shortcomings za CHADEMA? Kwa nini usifurahie kuwa wanapoteza muda wa kampeni ili chama chenu chakavu kishinde kwa kishindo?
 
Ratiba anaweza kufanyiwa ammendments; mradi aifahamishe ofisi ya tume. Kwa mfano kama aliugua hakuendelea na ratiba yake au kama alifungiwa anaruhusiwa kufanya ammendements. Ndiyo maana hata Magufuli akiwa Kigoma alizidisha siku moja ya kuwapo Kigoma kwa sababu za kiserikali, akafanya ammendement ambayo watu waliipigia kelele lakini ilikuwa halali.

..ammendments inawezekana kwa wana-ccm tu.

..catherine ruge mgombea wa cdm serengeti alijaribu kufanya ammendments akaishia kupigwa na kudhalilishwa na polisi.
 
Back
Top Bottom