YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
SERENGETI haukujengwa wa Lami sababu sheria za kimataifa haziruhusu kujenga uwanja wa ndege wa lami ndani ya mbugaSerengeti mbuga kubwa yenye maajabu haina uwanja wa kimataifa licha ya kupokea watalii duniani kote. Serengeti ina ka-airstrip kavumbi iweje chattle pawe na uwanja wa kimataifa wakati hakuna watalii kabisa? Huu ni ufisadi mkubwa!
Wa chato uko nje ya mbuga .Mbuga ndio zimeanzishwa uwanja upo sasa ni part two ni kampeni ya kuzitangaza dunia nzima watu waanze kuzitembelea na flight zianze baada ya kupata vibali vya shirika la usafiri wa anga duniani yaani ICAO