Uchaguzi 2020 Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu

Kichekesho ni kuijenga, siyo kuutembelea. Unapoangalia komedi kichekesho ni yule anayekuchekeshe, siyo wewe unayeangalia ukacheka!
Ni vizuri akajionee mambo mazuri. Ila hata wewe unatambua ni kichekesho. Atembelee na miradi mingine sio anabwabwaja tu
 
Leo unakuja na approach ya kuzungumzia Serengeti ningejua unatoka Kanda gani na mtazamo wako ningeishia kusema tu Uwanja wa Serengeti umepitia Changamoto nyingi Sana zikiwemo mitizamo ya Monopolism basis kwa maana pale Arusha na Kilimanjaro kuwa watalii wa Nchi hii lazima lango kuu lao la kuingia na kutoka ni Mikoa hiyo Miwili.

Siasa za kushambulia Uwanja wa Chato kwa sisi ambao tuko muda mrefu kwenye soko la Utalii tunajua kwani hata Uwanja wa Mwanza kwa Sera za CHADEMA hautakiwi kuwepo watakwambia umezungukwa na Milima ni hatari kwenye usafiri wa anga yapo mengi tu nafiri niwambie tu Jumatano nitakuwa Live Star Tv kuelezea haya mambo kwann Chama cha Mbowe kinapinga maeneo Mengine kuendelezwa na hasa maeneo ya Kanda ya Ziwa na maeneo Mengine, usikose kuwa nami ktk kukufumbua macho Mtanzania mwenzangu kwa haya yanayoendelea ndani ya Chadema.
Mwanza jiji la pili lilistahili uwanja bora kabisa sio uliopo sasa lakini Magu anajenga kijijini kwao anaacha kujenga jijini Mwanza. Kanda ya ziwa ni ngome kubwa zaidi ya CHADEMA angalio yanayotokea Nyerere Road muda huu hapa chini. Dhana ya ukabila ni propaganda za wanasiasa flani kuiua CDM lakini propaganda hizi hazina mashiko.
 

Attachments

  • IMG_5695.MP4
    13.3 MB
Nahisi watamzuia kutembelea huo uwanja.Na kwakuwa huko ni nyumbani kwa mgombea yule,nina wasiwasi pia anaweza fanyiwa hujuma katika kampeni zake huko lengo kuhakikisha hapati watu au ashindwe kuhutubia.

Ni imani yangu Lissu haendi kufurahia uwanja,bali anaenda kufanya tathimini physically ya huo uwanja kwa kuingilia kilichojengwa (kupata picha ya kilichojengwa) na ulazima wake pamoja na umuhimu wa kujenga uwanja katika eneo hilo.

Ushauri:Tundu Lissu vaa helmet muda wote ukiwa huko Chato na kuwaambia wananchi kila mtu awe mlinzi kwa kumtupia macho alie jirani yake katika mikutano na misafari atayofanya huko Chato.

Lolote linaweza kutokea leo hii, hivyo ni bora kuchukua tahadhari zote zinazowezekana kuchukuliwa.
Mimi binafsi naamini Katika vitu ambavyo wanaogopa kuvifanya tena wanaogopa sana ni kumgusa Tundu. Repercussion yake ni kubwa sana.
 
Hii hesabu feki. Tanzania ni kubwa sana, hakukuwa na sababu ya Lissu kurudi kanda ya ziwa mara ya tatu. Anapoteza muda wake na resources, wasukuma hawezi kuacha kumpa kura mtu wao.
Acha swaga za kikabila ,stick on the point, mm mwenyewe msukuma siwez kumpa kura yangu. Kwan ugumu was maisha unagusa kila kabila.
 
Ni haki yake ..... hata wewe huzuiwi kwenda CIA kuangalia kazi ya Mayanga na Mme mwenzake!!
Nimezungumzia ukaguzi...sijui umejibu nini .
Halafu inashangaza kumbe alikuwa anaponda kitu ambacho hata hajakiona kwa macho..mambo ya kishamba sana kuwahi kutokea.
 
[QUOTE="Dilekkutembelea uwanja wa ndege Chato ni kichekesho. CHADEMA bana, hata hawajielewi.
[/QUOTE]
Tena aende na tape measure aje atueleze na vipimo vyake. Urefu kilometa ngapi, upana kilometa ngapi, na pavement thickness mm ngapi, na material specifications, yote hayo tunaenda nayo ICC, hehehe aaahahaha,. Uuuwiiiii!!!!
 
uwanja wa ndege wa chato unalindwa na kufichwa kama uke vile wa mke wa mfalme. angalau ziara ya lissu itapelekea sisi walipa kodi tuone picha za huo uwanja.

Sent from my Redmi Note 8 Pro using JamiiForums mobile app
 
Kila la heri Rais mtarajiwa Tundu Lissu...asije akasahau pia mikoa ya Tanga, Morogoro, Lindi na Mtwara
Arusha pia alipita nusu nusu japokuwa atapita huku ila aje apewe heshima ya ujasiri wake
 
Kuna watu sijawahi ona, uwanja wa Chato uwanja wa Chato, hivi Chato ni wananchi wa wapi? Wao hawana haki ya kuwa na uwanja? Mbona mnakuwa wapumbavu kiasi hiki?

Mnatukana kila siku Chato utafikiri wao hawatakiwi kuwa na uwanja. Kwa taarifa yenu wananchi wa Chato si wajinga, muulizeni mgombea wenu alichokipata Buselesele na Katoro hadi akasitisha kwenda Chato, haya yote ni siasa mbovu isiyo na staha, hata kama unachallenge tumia lugha rafiki, don't be so biased to that extent, watu wa Chato amewatukana sana, Buselesele na Katoro yalikuwa maeneo ya upinzani lakini kutokana na dharau za Lissu matokeo yake CHADEMA leo inazomewa, Lissu asingezomewa Buselesele kwa namna ile, Awe na akiba ya maneno kwani anaowatukana wanasikia .

Inashangaza sana unatukana halafu bado eti unaenda kuwaomba kura,,,,, unatukana barabara kujengwa huku unazitumia, unatukana ndege huku unazipanda huo ni U CHICHIDODO.

Hopeless kabisa , let's stay tuned leo.
Acha kudangaya watu mm mwenyewe nilikuwepo hapo katoro, sio kwamba lissu alizomewa, ila vijana wasio pungua kumi walio andaliwa na mgombea udiwan(CCM) kata ya Buselesele ,walita kuharibu mkutano wa lissu, na badala yake waliiabulia vichapo, vilivyopelekea jeshi LA polisi kuingilia kati.mpka Leo hii CCM hana chake katoro na buselesele.
 
Nimezungumzia ukaguzi...sijui umejibu nini .
Halafu inashangaza kumbe alikuwa anaponda kitu ambacho hata hajakiona kwa macho..mambo ya kishamba sana kuwahi kutokea.
Inategemea unadefine vipi Ukaguzi.

Kuponda kitu siyo lazima ukione. Unaweza kumponda hata concept ya mtu .... Idea ya kujenga uwanja pale Chato ndiyo inayopondwa kabla ya ujenzi na baada ya ujenzi!! Utaelewa siku wana Chato watakapoaanza kuanika mpunga wao hapo.
 
Back
Top Bottom