Uchaguzi 2020 Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu

Uchaguzi 2020 Chato: Yaliyojiri Mapokezi ya mgombea Urais wa JMT kupitia CHADEMA, Tundu Lissu

Wapi nimeandika asiende Chato?

Nilichoandika ni busara ya kuamua kwenda kwenye strong hold za mshindani wako.

Unapofanya campaign ili kutumia resources zako vizuri ni muhimu pia kuelekeza nguvu katika maeneo utakayopata support.

Lissu awezi pata kura za kutosha Chato wala mgombea ubunge wa CDM awezi shinda Chato. Sasa kwanini uende sehemu kama hiyo kitu ambacho utavuna sanasana ni ku provoke wapiga kura na kuwawekea risk local CDM cadres kwa siasa zetu za kiafrica.

Tatizo lenu mnashabikia kila upuuzi wa huyu mtu, mbona awawekezi resources kwenye siasa Zanzibar umejiuliza kwanini?
Ndio maana nimekuambia fikra zako hazina mashiko wala maana.
Siasa ni ushawishi, na ushawishi unakuja kwa watu kukuona na kukusikia. Kampeni ndio njia mahususi ya kushawishi watu. Ngome ya mpinzani wako ndio fursa muhimu ya kwenda kushawishi ili uungwe mkono.

Kuhusu hisia za kufanyiwa fujo kisa umeenda kwenye ngome ya mpinzani wako, hilo nalo halina mashiko. Tuko kwenye siasa za demokrasia ya vyama vingi, msingi wake ni Uvumilivu. Hakuna sababu za kuogopa kisa hisia za kijinga. Tusizipe nafasi hizo hisia.
 
Lissu anaungwa mkono na watu wengi mmo. Wanafika kwenye mikutano yake kwa wingi kwa tutashinda wao wenyewe.

Wewe ndiye unayedhani una akili kuliko hao watu?

Hivi huko Lumumba huwa mnachokonolewa nini kutokuwa na akili vichwani mwenu kiasi hiki?

Ni njaa ya buku 7 peke yake kweli hii?

Incredible!
How pathetic!! Lissu hata asilimia 3% ya kura hapati, mark my words, na uzil huu ubakie tukutane baada ya tr 28 oct
 
Uwanja sio wa wana Chato pekee hata uwanja wa DSM unatumika na mtanzania yoyote na wengine kutoka nje ya nchi
Nakwambia leo Chato lazima tumpopoe na mawe tunamsubiri kwa hamu.

Kama kweli anajiamini akatize Chato aone!

Ni saa 11:45 jioni, jamaa anapiga mkutano na wana Chato wana bashasha ile mbaya kumuona Rais wao wa kweli.

Mawe yako hayo ukapopoe mama na baba yako mjinga wewe..
 
Japo Kuna ushabiki mwingi kila mtu akivutia kwake Ila kwa vyama vyote kwenda kufanya kampeni chato ni muhimu Sana maana tunahitaji Kiongozi wa wote na siyo Kiongozi wa ng'ome yake Kama chifu na kama kuna mtu anazuia wagombea wasiende kufanya kampeni kwao huyo hatufai hata mtu asiyekaribisha wageni kwakwe huwa tunamchukulia amejitenga sasa kwanini tuone vibaya kufanya kampeni sehemu zetu wakati tunahubiri umoja na hiki kipindi ukitembelewa na wageni kuna faida kwa wafanya biashara na shughuli zingine zinabamba pia sisi wasukuma niwakarimu sana, karibuni sana mtutembelee Mwanza na Geita.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kutembelea uwanja wa ndege Chato ni kichekesho. CHADEMA bana, hata hawajielewi.
Tukiwaeleza Lissu ana tatizo la uelewa, wafuasi wake hawana la kusikiliza. Tatizo la Lissu anafahamu ana mashabiki na hafanyi uchambuzi wa yale anayopanga kuyafanya kwa kuamini kila anachofanya wafuasi wanaitikia kwamba ni sawa. Hana washauri mjuaji ni yeye.
 
Watu wanakuwa wengi kwa Magufuli kwa sababu huwa wamekusanywa kwa nguvu zote. Upinzani una nguvu kubwa Tanzania. Kwa miaka 5 CCM imefanya siasa peke yake na kujiaminisha kuwa 2020 upinzani utakuwa umekufa. Kinyume chake CCM inataabishwa.
We uliwahi kukusanywa kwa nguvu??
 
How pathetic!! Lissu hata asilimia 3% ya kura hapati, mark my words, na uzil huu ubakie tukutane baada ya tr 28 oct

Mbona unajitoa ufahamu bado mchana kweupe Tumia logic wanaochuana ni wat wa 2 tu halafu akose 3% kweli vingine angalieni bhna 3% ya kura 29milion ni 870k kweli atakosa kura laki 870 au unaongea tu na ww uonekane umechangia
 
Nani kakuambia Magufuli ni msukuma au kwa kuwa anaongea Broken Kisukuma ndio unafikiri ni msukuma. Unajua kwa nini hata kabila lake hataki lijulikane.
Magufuli sio msukuma ila najua ni kitanda hakizai haramu...Babake huyo ndo mzinza mzila kende (wanajua kikara na kijita ) sio wazinza pure.
 
Lisu anajaza nyomi zaidi kuliko magufuli anajaza nyomi kuliko lowasa utabisha na hili ata wale watu wanaompokea magufuli wanatolewa mkoa mzima hivyo kusababisha kuwa na usafiri wa shida pia umesahau kila sehemu magufuli anakopita wanafunzi hawaendi shule
Lissu mbona anazunguka na watu wale wale angalia video zake, wanatangulia na mabasi siku 1 kabla, mnadhani hatujui
 
Mgombea wa Urais anayetarajiwa kupata ushindi mkubwa Tundu Lissu leo ataitetemesha Chato na viunga vyake katika kampeni zake zilizoivuta Dunia.

Taarifa kutoka ndani ya Team yake ya Kampeni kabla ya kuhutubia mkutano wa Hadhara atautembelea Uwanja wa ndege wa Chato uliozua gumzo nchini kote kutokana na Ujenzi wake.

Tundu Lissu amepata uungwaji mkono mkubwa kutoka Makundi yote ya Jamii hususan Wafanyakazi ambao wanalaani kupitishwa kwa sheria Haramu ya kupora Mafao yao. CCM na serikali yake walipitisha sheria ya kuzuia Mafao ya Wafanyakazi hata Kama ameacha kazi akiwa na miaka 30 haruhusiwi kupewa haki yake ya mafao mpaka afikishe miaka 60.Sheria hii Haramu imelaaniwa na kila mfanyakazi na Tundu Lissu ameapa kuifutilia mbali Mara tu baada ya kuapishwa.

Ingawa Chato ni nyumbani kwa mgombea Urais wa CCM Lakini kwa muda mrefu CHADEMA imekuwa na uungwaji mkono mkubwa na inao wafuasi wa kutosha.Mmoja wa makamanda mashuhuri wanaotokea Chato ni mwanamama Husna Amri ambaye anajulikana nchi nzima kwa ujasiri wake.

Tunatarajia kuwaletea kila kitakachojiri katika mapokezi na Mkutano wa Kampeni hapa Chato.

-------------------------- --------------------
Yanayoendelea saa 4 Asubuhi



Mgombea wa Urais Tundu Lissu amekutana na wanachama nje ya Hoteli aliyofikia mjini Kahama kabla ya kuondoka kuelekea kwenye kampeni.

Lissu amesema Jana usiku mgombea Ubunge CDM Jimbo la Chato alivamiwa na kuharibiwa Mali zake na maharamia wanaifanyia hivyo ili kumtishia asiende Chato.

Lissu ameonya hatatishika na ataingia Chato na kufanya mkutano Mkubwa wa Kampeni.Lissu ameitaka Dunia kutega masikio kuelekea Chato leo jioni.

Kabla ya kuhutubia Chato jioni hii Lissu anatarajiwa kufanya kampeni maeneo ya Mbogwe na Bukombe

View attachment 1598334

Tusidanganyane! Amepata wasikilizaji kama kawaida lakini huu siyo umati.
 
You have a very good point .. kuna suala la kiroho hapa. Halafu hili suala la Lissu kupokelewa vizuri nyumbani kwa Mshua ni harassment moja kubwa sana. Imemvunja nguvu sana Magufuli. Imemvunja sanaaaa
Ofkoz n hivyo,but lazima ajue ulimwengu wa roho una pande mbili,wa nuruni na gizani,itategemea ni upande upi umesababisha achukue hatua hiyo
 
Mbona unajitoa ufahamu bado mchana kweupe Tumia logic wanaochuana ni wat wa 2 tu halafu akose 3% kweli vingine angalieni bhna 3% ya kura 29milion ni 870k kweli atakosa kura laki 870 au unaongea tu na ww uonekane umechangia
Unalijua hilo wazi unajitia wazimu tu kama mgombea wenu anajua hapati we nani?
 
Wewe ni mjinga kwahiyo alichofanya nisawa kutumia kodi zetu kujenga uwanja kwao
Ndugu zangu mutaishia kutukanana bila hata sababu na sifa zingine munazitoa bila hata kumbukumbu. Wote wako hivyo sana. Lissu aliingiza dada yake Bunge la katiba kwa ajili ya pesa tu na sasa hasikiki tena! Niambie akiwa rais atafanya nini? Wote wana ubinafsi uliokithiri, ingawa kwa sasa Lissu anajidai ni mwema saana! Wapi! He is stupid like any other stupid person.
 
Ndugu zangu mutaishia kutukanana bila hata sababu na sifa zingine munazitoa bila hata kumbukumbu. Wote wako hivyo sana. Lissu aliingiza dada yake Bunge la katiba kwa ajili ya pesa tu na sasa hasikiki tena! Niambie akiwa rais atafanya nini? Wote wana ubinafsi uliokithiri, ingawa kwa sasa Lissu anajidai ni mwema saana! Wapi! He is stupid like any other stupid person.

Umekalia moto utakuunguza
 
Back
Top Bottom