- Thread starter
- #921
Chato mpoooooooooHakuna mtu mwenye support ya 100% aijawahi tokea ata nyumbani kwao...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chato mpoooooooooHakuna mtu mwenye support ya 100% aijawahi tokea ata nyumbani kwao...
Halafu kiukweli, hakuna msukuma wa dizaini ile, Wasukuma tunawajua, wana aibu sana na hawapendi kuonea watu.Yule ni muhutu sio msukuma,kata ya Chato ilikuwa wilaya ya Biharamulo mkoa wa kagera akaisogeza Geita,
Hakuna mtu mwenye support ya 100% aijawahi tokea ata nyumbani kwao.
Pili lazima tuelewa binadamu ‘needs and wants’ zetu azilingani kwa ivyo sio Magufuli wala kiongozi yeyote dunia anaweza mfurahisha kila mtu ndani ya jamii. Magufuli yeye anacholenga ni chenye manufaa ya wengi na kuweka mazingira ya kuchochea uchumi...
Konda amechokaNi mdogo wake Polepole.View attachment 1598776
Kuna mtu nchi hii mwenye kejeli kumzidi jiwe?Hakuna mtu mwenye support ya 100% aijawahi tokea ata nyumbani kwao...
Siyo kumtangaza tu hata shinda na mkileta vurugu tutawafunua marinda .Tume haitamtangaza Lissu kamwe. Tusipofanya maamuzi magumu ya kukataa rais wa Tume basi tujue CCM itatawala milele. It’s now or never. Katiba lazima ibadilishwe
Mi.naomba unijuze kabila lake tu!Nani kakuambia Magufuli ni msukuma au kwa kuwa anaongea Broken Kisukuma ndio unafikiri ni msukuma. Unajua kwa nini hata kabila lake hataki lijulikane.
Wewe huaminiki, ngoja tutume watu kuchunguza, tutaamua cha kufanya.Mwambieni Lisu ukerewe wanamsubiri atawakoma
Walikufa wakerewe mamia Chadema hawakutoa mtu kwenda kuhudhuria mazishi halafu wanajitia kwenda kuwaomba kura.Wakerewe hawajasahau
Mdee anena kuhusu viongozi wa CHADEMA kutohudhuria mazishi ya waliokufa kwenye ajali ya MV Nyerere
Yaani hawataki Rais aende! Acha utani wewe kiumbe!Kampeni meneja wa Lisu huyo mrefu mwenye miwani Golugwa alienda na akina Godbless Lema kumzika mbwa wa mbunge wa Chadema Nassari wakiwa na viongozi wa Juu wa CHADEMA lakini hawakwenda kuzika mamia ya wakerewe waliokufa kwa ajali ya meli ya MV Nyerere .Kwao mbwa alikuwa wa muhimu kuzika kuliko wakerewe
Halafu wanategemea kwenda huko Ukerewe kuomba kuomba kura
View attachment 1598418
Leo gari la mkaa sijui liko wapi?Na wananchi wakamshangilia.
Tupoooooooooooo!!! Anatuonea sana hata huku nyumbani!Chato mpooooooooo
Lowassa mliyemuibia kura kwa bao la mkono? Kama hapati kitu na anapoteza muda wake na wewe humpendi kwa nini usifurahie?Mara ya tatu hii anazurura kanda ya ziwa! Mwambieni imekula kwake haoni kitu hapo!!! Akamuulize mzee lowasa!
Circumstances hizo zinareflect uwanja wa ndege mkubwa Chato?Japo si katika hili, lakini kuna circumstances ambazo uwanja wa ndege ni maendeleo makubwa.
Atapata wapi akili?Kuangalia fedha za wananchi zilivyofujwa ni kichekesho?
Una akili wewe?
Ni nchi kama Gbadolite kwa MobutuMi tu najiuliza chato ni nchi gani?
Mashetani yamepigwa spana za kutosha mpaka wameanza kurusha maweTunajua mmeandaa vikosi Haramu vya kupiga watu na kurushia mawe msafara wa mgombea.Kwanini muandae vikundi Haramu? Mbona siasa imewashinda? Si mtoe Hoja kutetea huo Uwanja wenu na faida anayopata mwanaChato?
Inaelekea wewe ni muimba mipasho kama Hadija Kopa wa TOTKura zake TL hata mfuko wa jinz hazijai - Chato tuko na JPM leo na kesho
Nimechoka kuwabembeleza wana Tunduma, nileteeni Silinde niwaletee maji. Msiponiletea siwaletei maji.Maendeleo hayana chama kila siku mnaambiwa
HapanaCircumstances hizo zinareflect uwanja wa ndege mkubwa Chato?