China kuipatia silaha Russia dhidi ya Ukraine

China kuipatia silaha Russia dhidi ya Ukraine

Ukraine inapewa msaada kwa sababu sio super power.
Kama nchi za Magharibi zimeamuwa kupigana vita ya mawakala na Urusi kupitia Ukraine basi washirika wa Urusi wana haki ya kumsaidia mshirika wao.
 
Kuna taarifa kuwa trh 24 mwezi huu wa 2 Dunia inaenda kushuhudia maajabu ya vita kati ya Ukraine na Russia. It means vita rasmi inaanza trh hiyo, kwa sasa ni trela tu. Let's wait.
Na Putin alisha sema hajaomba msaada wowote csto au Brics na alliance zake zingine kwasababu anawamudu super power wa kwenye makaratasi USA na EU na wengine wote. Sasa akiomba alliance si imekula kwao lmf
 
Urusi ilikuwa inasema ni super power, unailinganishaje Ukraine katika kupewa misaada?!
Ni Sawa tu,
Bado KK nayo itaipa Urusi silaha,Iran tayari.
Hii maana yake Kila mtu na maswahiba wake.
N ndivyo hata NATO wakiingiza majeshi kamili nao wachina watatia timu uwanjani,bila kumsahau kiduku na marafiki wengine.
 
Wengi tumefatilia hii vita sababu ya mitandao ga kijamii, kwa sasa hakuna siri, mtu akipigwa sote twajua, maana sasa kabla hujapigwa bomu drone iko angani inarekodi.

Hii vita imeonesha artillery zina umuhimu mkubwa sana
 
Kama nchi za Magharibi zimeamuwa kupigana vita ya mawakala na Urusi kupitia Ukraine basi washirika wa Urusi wana haki ya kumsaidia mshirika wao.
Tofauti ambayo pengine huijui ama umeisahau ni kuwa, Urusi ni mvamizi na Ukraine ni mhanga wa uvamizi wa Urusi.

Washirika wakubwa wa Urusi wamekosa ujasiri wa kuiunga mkono Urusi waziwazi kutokana na fact hiyo moja ukiacha sababu nyingine za kimaslahi. Kuiunga mkono Urusi kwenye hii vita moja kwa moja ni kuunga mkono uvamizi kwa nchi nyingine yeyote ile duniani zikiwemo nchi za hao washirika wenyewe.
 
Tofauti ambayo pengine huijui ama umeisahau ni kuwa, Urusi ni mvamizi na Ukraine ni mhanga wa uvamizi wa Urusi.

Washirika wakubwa wa Urusi wamekosa ujasiri wa kuiunga mkono Urusi waziwazi kutokana na fact hiyo moja ukiacha sababu nyingine za kimaslahi. Kuiunga mkono Urusi kwenye hii vita moja kwa moja ni kuunga mkono uvamizi kwa nchi nyingine yeyote ile duniani zikiwemo nchi za hao washirika wenyewe.
Ungekuwa na akili ungejiuliza kwanza kwanini Russia ameivamia Ukraine? Je, Russia alikuwa na sababu zozote za msingi za kuivamia Ukraine? Na je alilalamika kutaka mazungumzo kabla ya kumvamia?

Na inabidi ujiulize maswali hayo ukiwa neutral minded

Kwa mimi kumvamia mtu sio tatizo kama zipo sababu za msingi za kumvamia
 
Unachokisema sio kweli bado mbabe ni mmoja tu dunia hii na ataendelea kuwa yeye kwa musa mrefu sana,ndio maana hao wanao msapoti PUTIN hawawezi kujitokeza hadharani!!juzi china ameambiwa kuwa ana mpango wa kupeleka silaha urusi umemsikia alivyojitetea?na jana waziri wake wa mambo ya nje amekwenda urusi,.USA na kundi lake la NATO, ndio dunia.hiyo option haipo kwani mbambe wao (IRAN,CHINA,N.KOREA,VENEZUELA,SYRIA)ambaye ni urus wameshaona kumbe hamna kitu mle!!jamaa amechoka NATO ndio kwanza wameanza kupeleka silaha nzito!!Tuwe wakweli tu hivi putin kwenye vita hii kuna faida atakayo ipata?kwani uwezekano wa kushinda hakuna
Ukraine na Nato watashinda? Warudishe kwanza ardhi ya donbase...
 
Ukraine na Nato watashinda? Warudishe kwanza ardhi ya donbase...
Ni suala la muda tu! Je umeifuatilia leo hotuba ya putin?ki ukweli anatia huruma yaani hakutegemea hichi kilichotokea,na huko mbeleni muda c mrefu utamsikia CHINA,anataka awempatanishi ili vita iishe!!na ndicho kilichompeleka FM,wa china huko urusi juzi!!je NATO watakubali?!!
 
Ungekuwa na akili ungejiuliza kwanza kwanini Russia ameivamia Ukraine? Je, Russia alikuwa na sababu zozote za msingi za kuivamia Ukraine? Na je alilalamika kutaka mazungumzo kabla ya kumvamia?

Na inabidi ujiulize maswali hayo ukiwa neutral minded

Kwa mimi kumvamia mtu sio tatizo kama zipo sababu za msingi za kumvamia
Hakuna sababu zozote za msingi zilizotolewa na Urusi kwa dunia kuhusu huo uvamizi wake so far.

Vilevile, Urusi mpaka sasa imeshindwa kutoa uthibitisho wa madai yake ya siku zote kuhusu Ukraine katika jumuiya na vyombo vya maamuzi vya kimataifa.
 
Nchi gani ulaya ina nguvu kijeshi na kiuchumi kuliko china?? China size yake ni marekani na Russia. China sio aliogopa kumpa Russia silaha kwa sababu ya vikwazo, muda wa kumpa Russia silaha ulikuwa bado na utakapofika hakuna nchi yoyote itakayoweza kumzuia. Jambo ambolo wengi wenu hamlifahamu ni kwamba china na Russia ni kitu kimoja. China ilikuwa inafahamu kila kitu kuhusu hii operation kabla hata haikuanza
Lakini kuna report ilichapishwa na China kuilaumu Russia kuanzisha vita haraka kinyume na ilivyokuwa imeahidi. China walitarajia Urusi angeanza vita baada ya Beijing Olympics
 
Bila USA hakuna NATO sasa, hiyo NATO ni kwa ajili ya Ulaya kujilinda isivamiwe na Urusi.
Hakuna "super power" ya kujitegemea. USA ni "super power" kwa sababu ya NATO, bila NATO, USA sio mali kitu. Inachotumia USA ni vita ya vikwazo kugandamiza nchi nyingine. BRICS ikifanikiwa USA itakoma.
 
Ni Sawa tu,
Bado KK nayo itaipa Urusi silaha,Iran tayari.
Hii maana yake Kila mtu na maswahiba wake.
N ndivyo hata NATO wakiingiza majeshi kamili nao wachina watatia timu uwanjani,bila kumsahau kiduku na marafiki wengine.
Kumbe Russia sio supapawa
 
Back
Top Bottom