Wamekuwa wakifanya hivi mara nyingiJeshi la China limesema lipo tayari kukishughulikia kisiwa cha Taiwan. Linakirudisha kisiwa chake kilichoasi na imeshapeleka zana vita eneo la oparation.....meli na ndege vita kuzunguka kisiwa chote
BREAKING ⚡🚨 Chinese army Helicopter monitoring in Taiwan to warn US and #Taiwan joint forces.
🚨 Chinese Global Times - There are no Taiwan on the earth.
🚨 China says, #US should remove it's forces from Taiwanese territory.
View attachment 3124417
Kwa hiyo kwa sababu huko nyuma ilifanyika hivyo kwa uzembe wao unataka naye China aone sawa tuRussia ilimeguka.
Sudan pia.
Hakuna ajabu Taiwan ikiamua kuwa hivyo ilivyo.
Kabisa wanayo haki ya kuwa Taifa huruKwa hiyo kwa sababu huko nyuma ilifanyika hivyo kwa uzembe wao unataka naye China aone sawa tu
Kutoka wapi ?Kabisa wanayo haki ya kuwa Taifa huru
Ubaya ni kuwa nchi haziongozwi hivi unavyo fikiriNdio tatizo la kushiba maendeleo , kila mtu aishi kivyake .
Sio kweli Taiwan ni ndogo sana kiuchumi kwa China hili ni suala la kihistoria zaidi kuliko hiki ulicho andika.Hapo ni maswala ya Uchumi,anajua akiichukua Taiwan uchumi utapanda maradufu...
Hiyo ni mikwara tuu hakuna siku China itarusha hata kombora moja kuelekea TaiwanJeshi la China limesema lipo tayari kukishughulikia kisiwa cha Taiwan. Linakirudisha kisiwa chake kilichoasi na imeshapeleka zana vita eneo la oparation.....meli na ndege vita kuzunguka kisiwa chote
BREAKING ⚡🚨 Chinese army Helicopter monitoring in Taiwan to warn US and #Taiwan joint forces.
🚨 Chinese Global Times - There are no Taiwan on the earth.
🚨 China says, #US should remove it's forces from Taiwanese territory.
View attachment 3124417
Ukijua why tuliungana na Zanzibar then huwezi kuuliza hilo swali tena, pia utapata jibu why Russia anapigana na UkraineChina anashangaza sana.
Kwani ni Lazima Taiwan iwe sehemu yake.
Comment yako tunaihifadhiHiyo ni mikwara tuu hakuna siku China itarusha hata kombora moja kuelekea Taiwan
Mwaka 2000 nilikuwa Taiwan.. Mikwara ilikuwa heavy mpaka ikabidi wageni tuondoke usiku kuelekea Japan
Kufika kule kuna Mjapan akasema matajiri wa china asilimia 90 ni wataiwan na ndio walio ibust China kiuchumi hivyo hawatakaa waiguse hiyo nchi.. Nyie kesho rudini Taipei kwa amani maana hakuna vita
Ni miaka 24 imepita China hajawahi kuigusa Taiwan ila kwa mikwara tu hawajambo
and I'm interesting with you...I'm interesting to China.
Huu ndo usa kufilisika sasawatampa uchizi Biden hawa
Kwani Gaza lazima iwe sehemu ya Israel?China anashangaza sana.
Kwani ni Lazima Taiwan iwe sehemu yake.
Nilijua karne ya 21 itakuwa karne ya watu wastaarabu bila mavita vita kumbe ni tofauti. Basi kumbe madikteta kama Hitler wanaweza kuibuka nao katika karne hii hii!Jeshi la China limesema lipo tayari kukishughulikia kisiwa cha Taiwan. Linakirudisha kisiwa chake kilichoasi na imeshapeleka zana vita eneo la oparation.....meli na ndege vita kuzunguka kisiwa chote
BREAKING ⚡🚨 Chinese army Helicopter monitoring in Taiwan to warn US and #Taiwan joint forces.
🚨 Chinese Global Times - There are no Taiwan on the earth.
🚨 China says, #US should remove it's forces from Taiwanese territory.
View attachment 3124417
Kesi mbili tofauti.Ukijua why tuliungana na Zanzibar then huwezi kuuliza hilo swali tena, pia utapata jibu why Russia anapigana na Ukraine
Kesi mbili tofauti.Kwani Gaza lazima iwe sehemu ya Israel?
Utofauti wake upo wapi??Kesi mbili tofauti.
Ujinga ameleta USA, ametaka kuwa leader alafu anakuwa na double standerd na masilahi kibao. Ujinga huo mwamba Putin hawezi akaukubaliNilijua karne ya 21 itakuwa karne ya watu wastaarabu bila mavita vita kumbe ni tofauti. Basi kumbe madikteta kama Hitler wanaweza kuibuka nao katika karne hii hii!
Mnanishangazaga Ukraine Bila NATO asingepigana hata wiki 1,ogopa san mrusi Bado anateka tu vijiji karbia DONOBUS yote imechukuliwa..Hakuna mbwa yeyote WA magharibi atapigana na Russia alonehaikopeshi