Unaijua Nairobi Hospital lakini?Wewe ni tahira,
Mabeyo amesema saa ngapi alirudishwa nyumbani!?
Mabeyo amasema walikataa kumrudisha nyumbani hiyo aliyosema walimrudisha nyumbani iko wapi!?
Waweze kumpeleka nairobi washindwe kumpeleka south!?
Lissu alipelekwa nairobi kwa sababu tu za liusalama, hakuna hiyo huduma bora mpaka raisi apelekwe
Nani analeta ubishi hapa?Tuliongozwa na 'Busara' za Jenerali Mabeyo, kungeweza kutokea matatizo makubwa sana.
AG (Mwanasheria Mkuu) alitakiwa asimame kutafsiri na kuelekeza Katiba inatamka nini na kama haitamki kisheria kipi kinafanyika.
Makamu wa Rais alipaswa kuapishwa usiku saa 6 na si kusubiri siku 3 au kujiuliza viongozi watapokewaje.
Rais yupo mahututi yupo na CDF, IGP na DGIS , Makamu na Waziri mkuu wanahanja hanja! ni hatari sana.
Jamani tuacheni ubishi, tukaeni chini na kutengeneza katiba ili tupate sheria zenye miongozo
Kusema eti hatuna uzoefu kama Marekani si kweli. Tulitakiwa tutumie uzoefu wa Marekani kufanya vizuri
Ni kama vile 'tunajitahidi kutengeneza kompyuta yetu from the scratch ' badala ya kutumia zilizopo kupiga hatua
Hii interview imeeleza mambo mengi sana
Nadharia na uhalisia ni vitu tofauti sana.Kumbe mtaala wa kujifunzia lazima autunge mwanafunzi mwenyewe?
Kwa nini tusijifunze kutokana na uzoefu wa wengine?
^Why isn't you seatbelt on?^
^'Cause I never had an accident.^
Halafu kule kwenye anga za CJ wanasema ^Tumetoa adhabu kali ili iwe funzo kwa...^
Hivi, wewe unaona ni sawa Rais akimwamuru mkuu wa majeshi atume kikosi cha jeshi nyumbani kwako kije kiwatandike risasi mpaka mfe? Mkuu wa majeshi akisema hapana, hiyo siyo amri halali, atakuwa amekosea?Jeshi sio kikundi cha kwaya ngabu.
Kiraia unaona jamaa alikuwa sahihi 100%kijeshi lilikuwa kosa kubwa kabisa kama alimjibu hivyo,huo ni mgomo wa wazi kabisa.labda kama alimjibu vingine kumridhisha kisha leo anatwambia hivi ni sawa.
Kama lilikuwa swala la kutumia mamlaka basi hata hao madaktari lilikuwa nje ya uamuzi wao maana mgonjwa haamui akaugulie wapi ikiwa bado hali yake hairidhishi ukizingatia ni rais wa nchi,bado hata wao wangebaki njiapanda.
Ok, sentensi yako ingekaa vizuri kama ungesema baadhi ya nyie watanzania mnataka kujua.In the whole world, hakuna anayekubaliana na mambo yote. Hata JPM, kuna waliompinga na waliomkataa.
Wamekataliwa mitume na manabii...
Naposema watanzania namaanisha mimi na wengine waliomkubali.
Sio lazima na wewe uwemo kwenye kundi na haijalishi. Kipendacho roho....
Hivi huko Marekani huwa hawakosei?Nimesema kama mpaka wale walio juu wanaganga njaa, hawaheshimu hata viapo walivyoapa. Hawana ethics za kazi....what else has remained?
Tusijifananishe na Marekani. Hii njaa yetu ni ya next level 🤣🤣🤣🤣
Hujui sheria za jeshi kaa kimya
Kwa kawaida, sheria za jeshi huwa na masharti maalum kuhusu umri wa kustaafu. Hata hivyo, kuna hali ambapo jeshi linaweza kuongeza muda wa utumishi kwa wanajeshi baada ya kufika umri wa kustaafu kutegemea na mahitaji ya kimkakati au sera za kijeshi za nchi. Hii mara nyingi hufanyika kwa kuzingatia uwezo na uzoefu wa wanajeshi walio katika huduma.
Nimesoma comment zote ulizo changia kama kuna mtu hajakuelewa ana shida kubwa kwenye mfumo wake wa akiliHivi huko Marekani huwa hawakosei?
Katiba yao imefanyiwa marekebisho mara ngapi?
Na kwa nini katiba yao imefanyiwa marekebisho?
Na toka kwa Rais wa kwanza aliyefia madarakani mpaka Rais wa nane aliyefia madarakani, taratibu zao ni zilezile, hazikuwahi kufanyiwa maboresho au marekebisho?
Na kama zilifanyiwa marekebisho, ni kwa nini?
Marekani ilifanya kila kitu kwa usahihi kuanzia kifo cha Rais wa kwanza aliyefia madarakani mpaka kifo cha nane?
Shukran jazilan 🙏.Nimesoma comment zote ulizo changia kama kuna mtu hajakuelewa ana shida kubwa kwenye mfumo wake wa akili
They made mistakes, definitely. Ila njaa yetu sio njaa ya kawaidaHivi huko Marekani huwa hawakosei?
Katiba yao imefanyiwa marekebisho mara ngapi?
Na kwa nini katiba yao imefanyiwa marekebisho?
Na toka kwa Rais wa kwanza aliyefia madarakani mpaka Rais wa nane aliyefia madarakani, taratibu zao ni zilezile, hazikuwahi kufanyiwa maboresho au marekebisho?
Na kama zilifanyiwa marekebisho, ni kwa nini?
Marekani ilifanya kila kitu kwa usahihi kuanzia kifo cha Rais wa kwanza aliyefia madarakani mpaka kifo cha nane?
Labda jiwe aliangalia watangulizi wake walifanyaje...Maana yake ni kwamba aliteuliwa CoS akiwa na umri wa kustaafu, na aliteuliwa CdF akiwa ameshavuka umri wa kustaafu.
..Ndio maana nasema kuna walakini ktk uliofanywa na Jiwe.
Labda jiwe aliangalia watangulizi wake walifanyaje.
Mwinyi kamteua Kiaro kuwa mkuu wa majeshi akiwa na miaka 65. Alihudumu kwenye cheo hicho hadi 1994 alipostaafu akiwa na miaka 71.
Mtangulizi wa Kiaro, Msuguri alistaafu akiwa na miaka 68.
Na bado wanafanya makosa!They made mistakes, definitely. Ila njaa yetu sio njaa ya kawaida
Majitu ya Kanda ya ziwa mabaguzi
View: https://m.youtube.com/watch?v=9Hyg_T0yb-8
Katika dunia hii mtu wa mwisho ambae unaweza kuona chozi lake hadharani ni senior army officer na army general ndio kabisa awezi kuonyesha weakness hiyo hadharani.
Sasa cha kushangaza Mabeyo pamoja na kujitahidi kutabasamu ila chozi lilimshinda nguvu kwa sekundę kadhaa ameonekana akibubijikwa machozi ya hudhuni mbele ya camera. Kumbuka ata alipofiwa na mtoto wake rubani, general akutoa chozi alipofika eneo la tukio.
Je, anajutia kutosikiliza maamuzi ya watu waliomshauri wapindue męża ya katiba huyo mama hiyo nafasi sio size yake na kinachoendelea leo Tanzania.
Hata mm nimeshangaa aisee😂😂😂😂Kwamba Mebeyo kumkumbuka Magufuli na kutoa chozi ghafla tayari wataalam wa kutazama mmeshapata "yote yaliyokuwa moyoni mwake" na sasa ndo mnatutangazia hayo yaliyo kuwa moyoni mwake?..
Like seriously?...
Ha ha haaaaaaaa uko na akili mingiUkishaona Uzi una viewers 5k plus lakini comments ni Chini 200 ujue uko Chini ya Vipepeo Weusi.
Na hivi Leo ni weekend 🙌
Watakuwa wanajua....!!!Ni nini kimetokea mpaka yaongelewe leo?
Umewahi ona mama akitoa lengelenge? Au hakuwa mtu wake wa karibu?Yeye ni Moja ya watu wa karibu wa JPM kwaiyo malengelenge machozi lazima
Wewe nawe Kumbe hamna kitu, wenyeviti na wajumbe wa Bodi hawana mishahara. Hupata pesa kama kiinua mgongo Fulani kila baada ya miaka mitatu ambao ndiyo muda wa Bodi kuwapo madarakani. Na wengine huigawa Kwa tatu Ili kila mwaka wapate chochote. zaidi ya hapo ni posho ya vikao.Atakuwa alilipenda kweli jeshi kama ni ivyo. Maana mwenyekiti wa bodi ya TANAPA ni mmoja wa watu wenye mshahara na marupurupu makubwa Tanzania.