Chozi la Jenerali Mabeyo akisimulia siku za mwisho za Hayati Magufuli linaashiria nini?

Unaijua Nairobi Hospital lakini?
 
Nani analeta ubishi hapa?

Ni kweli hatukuwa tumewahi kufiwa na Rais aliyepo madarakani!

Marekani wali handle kivipi walipofiwa na Rais aliyepo madarakani ilipotokea mara ya kwanza? Ilikuwa mwaka gani? Kila kitu kilienda sawa? Hawakujifunza chochote kutokana na hilo tukio la kwanza? Hawakubadili chochote toka kwenye tukio la kwanza hadi tukio la nane?

Unaweza ukaweka kitu vizuri sana kwenye maandishi lakini inapokuja kukitekeleza kwa vitendo, unakutana na mengine ambayo hukuwa umeyafikiria.

Ndiyo, kujifunza kutoka kwa wengine ni vizuri. Lakini pia, dynamics za matukio hazifanani.

Na ndo maana nasema experience hii ni fursa nzuri ya kujifunza na kurekebisha pale palipokosewa.

Huwezi kuiga kila kitu cha kwenye makaratasi kutoka Marekani halafu udhani kwamba tukio likitokea kwako, basi hakutakuwa na kwikwi katika kutekeleza kile ulichopanga.

Hata leo hii bado Wamarekani huwa wanakosea hata kwenye uapishaji wa Rais wao.

Mwaka 2009 Obama aliapa mara mbili kwa sababu ya kosa lililokuwepo kwenye kiapo cha kwanza.

Imagine wanarudia tukio kwa mara ya 44 na bado makosa yanakuwepo, seuze sisi kwa tukio la mara ya kwanza?

Likija kutokea tena tukio la Rais kufia madarakani halafu kukawa tena na makosa yaleyale yaliyofanywa kipindi cha tukio la kwanza, hapo itakuwa sawa kulalamika.

Kwa tukio la kwanza, I cut them some slack.

Hata katiba ya Marekani imefanyiwa marekebisho kwa zaidi ya mara 20! Kwa nini?
 
Nadharia na uhalisia ni vitu tofauti sana.

Kujifunza toka kwa wengine ni nadharia tu. Tukio likikutokea wewe, huo ni uhalisia.

Na dynamics za wengine, haziwezi kufanana na za kwako.

Safari ijayo likitokea tena, unataka tuige Wamarekani wanafanyaje au tufanye vile itufaavyo kutokana na uzoefu wetu kwa kutumia taratibu zetu?
 
Hivi, wewe unaona ni sawa Rais akimwamuru mkuu wa majeshi atume kikosi cha jeshi nyumbani kwako kije kiwatandike risasi mpaka mfe? Mkuu wa majeshi akisema hapana, hiyo siyo amri halali, atakuwa amekosea?

Una akili za ajabu sana.
 
Ok, sentensi yako ingekaa vizuri kama ungesema baadhi ya nyie watanzania mnataka kujua.
 
Nimesema kama mpaka wale walio juu wanaganga njaa, hawaheshimu hata viapo walivyoapa. Hawana ethics za kazi....what else has remained?

Tusijifananishe na Marekani. Hii njaa yetu ni ya next level 🤣🤣🤣🤣
Hivi huko Marekani huwa hawakosei?

Katiba yao imefanyiwa marekebisho mara ngapi?

Na kwa nini katiba yao imefanyiwa marekebisho?

Na toka kwa Rais wa kwanza aliyefia madarakani mpaka Rais wa nane aliyefia madarakani, taratibu zao ni zilezile, hazikuwahi kufanyiwa maboresho au marekebisho?

Na kama zilifanyiwa marekebisho, ni kwa nini?

Marekani ilifanya kila kitu kwa usahihi kuanzia kifo cha Rais wa kwanza aliyefia madarakani mpaka kifo cha nane?
 
Ni mnyenyekevu na mcha Mungu...anamlilia rafiki yake...kama Yesu alivyomlilia Razalo na kumfufua...
 

Kwa hiyo jeshi halina watu wa kutosha wenye weledi wa kupewa uongozi, linategemea vibabu vichache vyenye uwezo na uzoefu ????? Unaona hiyo picha ni poa tu ?

Na unadai kuna sheria nyingine ya kustaafu inawahusu wanajeshi tu ? Na inapingana na sheria ya raia, na haijasemwa kwenye sheria ya raia kwamba kuna exception kwa wanajeshi ?

Wakati mwingine tunakuwa stressed out bure kujadili mambo ya kitaifa na wauza mbege bila kujijua.

Nchi ina tatizo sugu la ajira lakini unaona ni poa kuvunja sheria za kustaafu na kubakiza vibabu kazini ?

Eti wana uwezo na uzoefu. Kwa nini wasikuze uwezo na uzoefu wa walio chini ya umri wa kustaafu ?
 
Nimesoma comment zote ulizo changia kama kuna mtu hajakuelewa ana shida kubwa kwenye mfumo wake wa akili
 
They made mistakes, definitely. Ila njaa yetu sio njaa ya kawaida
 
..Maana yake ni kwamba aliteuliwa CoS akiwa na umri wa kustaafu, na aliteuliwa CdF akiwa ameshavuka umri wa kustaafu.

..Ndio maana nasema kuna walakini ktk uliofanywa na Jiwe.
Labda jiwe aliangalia watangulizi wake walifanyaje.

Mwinyi kamteua Kiaro kuwa mkuu wa majeshi akiwa na miaka 65. Alihudumu kwenye cheo hicho hadi 1994 alipostaafu akiwa na miaka 71.

Mtangulizi wa Kiaro, Msuguri alistaafu akiwa na miaka 68.
 
Labda jiwe aliangalia watangulizi wake walifanyaje.

Mwinyi kamteua Kiaro kuwa mkuu wa majeshi akiwa na miaka 65. Alihudumu kwenye cheo hicho hadi 1994 alipostaafu akiwa na miaka 71.

Mtangulizi wa Kiaro, Msuguri alistaafu akiwa na miaka 68.

..nakushukuru kwasababu umezungumza fact na umenielimisha.
 
They made mistakes, definitely. Ila njaa yetu sio njaa ya kawaida
Na bado wanafanya makosa!

Marekani siyo perfect.

Hata sasa hivi Democrats wanataka kutumia rungu la sheria kumnyanyasa Donald Trump kwa kumfungulia kesi uchwara na kutaka kuliondoa jina lake kwenye karatasi za kura.

Does it ring a bell? Chama gani hapa bongo huwatendea matukio wapinzani wa kisiasa?

Marekani kuna mambo mengi sana huwa wanakosea. Kuna mambo mengi sana waliyokosea.

Lakini hujifunza!
 
Majitu ya Kanda ya ziwa mabaguzi
 
Atakuwa alilipenda kweli jeshi kama ni ivyo. Maana mwenyekiti wa bodi ya TANAPA ni mmoja wa watu wenye mshahara na marupurupu makubwa Tanzania.
Wewe nawe Kumbe hamna kitu, wenyeviti na wajumbe wa Bodi hawana mishahara. Hupata pesa kama kiinua mgongo Fulani kila baada ya miaka mitatu ambao ndiyo muda wa Bodi kuwapo madarakani. Na wengine huigawa Kwa tatu Ili kila mwaka wapate chochote. zaidi ya hapo ni posho ya vikao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…