Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,521
- 4,381
Wishful thinking, kwa katiba hii Rais wa Tanzania ni mungu mtu kabisa.... Ndugai alijaribu ila alipotezwa kisiasa. Just move on nyie wafuasi wa JPM na mkubali uhalisia kwamba huyo mtu wenu hawezi kurudi.Haya mambo yako kimkakati Sana unaweza kukuta CDF bado ni Mabeyo, na IGP bado bado ni Siro, na DGISS bado ni Diwani Athumani walitoka kimkakati kwenye Macho ya nje lkn kiutendaji bado ni wao, 2025 utashangaa nahodha msaidizi anawekwa pembeni kupisha nahodha mwenye ujuzi baada ya nahodha msaidizi kuifikisha meli ng'ambo kwa mawimbi makali kabisa
relax huu mchezo hauhitaji hasira ni mchezo wa chess wenye burudani tupu, tulia hii ni ngoma ya wenye akili tu vilaza kaeni pembeni maana hili ni somo gumu kuliko physicsWishful thinking, kwa katiba hii Rais wa Tanzania ni mungu mtu kabisa.... Ndugai alijaribu ila alipotezwa kisiasa. Just move on nyie wafuasi wa JPM na mkubali uhalisia kwamba huyo mtu wenu hawezi kurudi.
Alafu kwa confidence unaandika eti atawekwa pembeni... na nani? Fomu ushaambiwa ni moja tu so hakuna wa kumfanya chochote mkitaka kumtoa kaanzisheni chama ila kwamba hatogombea mnajidanganya.
Kama hakuguswa na kifo chake je?Umewahi ona mama akitoa lengelenge? Au hakuwa mtu wake wa karibu?
Amka before hujajikojoleaHaya mambo yako kimkakati Sana unaweza kukuta CDF bado ni Mabeyo, na IGP bado bado ni Siro, na DGISS bado ni Diwani Athumani walitoka kimkakati kwenye Macho ya nje lkn kiutendaji bado ni wao, 2025 utashangaa nahodha msaidizi anawekwa pembeni kupisha nahodha mwenye ujuzi baada ya nahodha msaidizi kuifikisha meli ng'ambo kwa mawimbi makali kabisa
time will tellHivi bado kuna wanaoamini kwamba Samia haendelei..??
Tumia akiliAmka before hujajikojolea
Mtu akikaribia kufa anaweza kuona ishara ila anajua yeye tu anaweza kushindwa kusema moja kwa moja.Habari za mda huu wapwa, kwa mliobahatika kuangalia video ya cdf mabeyo anaelezea dakika za mwisho za magufuli kuna sehem alisema kwamba "Magufuli alimwita na kumwambia mm siwezi kupona niitieni kadinali pengo"
swali langu ni, Mtu anakua anapitia hali gan mpaka anasema maneno kama haya, kwa hadhi ya magufuli bila shaka alikua na madaktari bingwa wengi, ni nini kinamfanya achukue kusmama upande wa kwamba hatapona ilihali anapatikwa huduma standard kabisa, nlitegemea labda awe upande wa imani kwamba ipo sku ntapona ata kama itachukua mda
Ukiona mlango wa choo, amka kwenye ndoto, la sivyo utakata gogo kitandani.Haya mambo yako kimkakati Sana unaweza kukuta CDF bado ni Mabeyo, na IGP bado bado ni Siro, na DGISS bado ni Diwani Athumani walitoka kimkakati kwenye Macho ya nje lkn kiutendaji bado ni wao, 2025 utashangaa nahodha msaidizi anawekwa pembeni kupisha nahodha mwenye ujuzi baada ya nahodha msaidizi kuifikisha meli ng'ambo kwa mawimbi makali kabisa
think bigUkiona mlango wa choo, amka kwenye ndoto, la sivyo utakata gogo kitandani.
think bigUkiona mlango wa choo, amka kwenye ndoto, la sivyo utakata gogo kitandani.
zitto junior umepigaje hapo??? (In Misomisondo voice)Wishful thinking, kwa katiba hii Rais wa Tanzania ni mungu mtu kabisa.... Ndugai alijaribu ila alipotezwa kisiasa. Just move on nyie wafuasi wa JPM na mkubali uhalisia kwamba huyo mtu wenu hawezi kurudi.
Alafu kwa confidence unaandika eti atawekwa pembeni... na nani? Fomu ushaambiwa ni moja tu so hakuna wa kumfanya chochote mkitaka kumtoa kaanzisheni chama ila kwamba hatogombea mnajidanganya.
Unawaambia watu wanaona mipango wafikirie kuhusu mipango..??think big
🤣 🤣 🤣relax huu mchezo hauhitaji hasira ni mchezo wa chess wenye burudani tupu, tulia hii ni ngoma ya wenye akili tu vilaza kaeni pembeni maana hili ni somo gumu kuliko physics