If anything tulichojifunza wakati waziri alipoulizwa raisi yuko wapi, marehemu alikuwa hai bado.
Good morning đź‘‹
..inaelekea Jiwe aliugua kwa muda mrefu kuliko tunavyoambiwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
If anything tulichojifunza wakati waziri alipoulizwa raisi yuko wapi, marehemu alikuwa hai bado.
Good morning đź‘‹
yumo kwa propaganda. hoja zakwake hazina maguu. Ni mjungu wakuweka majungu. He's not honest man.Tuambie wewe nani alipaswa kuwa Mkuu wa Majeshi? Maana Mabeyo wakati JPM anaingia tayari alikuwa ni moja ya makamanda wa ngazi ya juu kabisa jeshini wala si kwa kubebwa na Magufuli!
Tuambie wewe nani alipaswa kuwa Mkuu wa Majeshi? Maana Mabeyo wakati JPM anaingia tayari alikuwa ni moja ya makamanda wa ngazi ya juu kabisa jeshini wala si kwa kubebwa na Magufuli!
Mabeyo hakuwa na sifa zipi? Zitaje….Mabeyo hakuwa na sifa ya kuwa CDF alibebwa na ukabila. Magu alikuwa mkabila hasa, mpk leo sijui ingegawanyika mara ngapi.
Binafsi hii imenishangaza baada ya kusikiliza mahojianoHii ni ishara nchi hii watu wanaongoza Kwa makundi na siyo frame of operations, hali hii inapswa kurekebisha. Ni kama vile tunaishi Kwa hisani za watu. Katiba ndiyo source ya haya yote kwakua at some point inalimbikiza Madaraka Kwa individuals badala ya kuyaweka Kwa public
una maanisha nini hapa, kwani jeshi ni lini liliktaa kulinda Katiba?kuweka jeshi historia kukataa kulinda katiba....
Marekani wamekufa Marais wanne wakiwa madarakani,Wana experience kidogo..Binafsi hii imenishangaza baada ya kusikiliza mahojiano
Baada ya mheshimiwa kufariki ni kama kulikuwa na sintofahamu ya nini kinatakiwa kifanyike na kwa wakati gani
Rais wa marekani alipo uwawa tu masaa machache makamu aliapishwa tena ndani ya ndege
Unajuaje kama alijaribu kujizuia akashindwa?Sidhani kama unaliangalia kiaskari akiwa public kwa level yake anatakiwa kujizuia.
Siku Kabudi, Polepole, Makonda au hata Bashiru wakitoa machozi hakuna wa kushangaa. Lakini sio senior army officer.
Mkuu haiwezekani 1959 kuwa ndio mwaka aliozaliwa jenerali mstaafu Davis adolf Mwamunyange, Mwamunyange amepewa nyota yake ya kwanza JWTZ mwaka 1973 batch moja na luteni jenerali Abdurahaman Amir Shimbo
Abdurahman Amir Shimbo na Davis Adolf Mwamunyange wameingia kwa pamoja vyote viwili yaani mafunzo ya awali ya kijeshi (RTS) na uafisa kadeti (ni coursemates kwenye kuingia kwenye uaskari pamoja na uafisa)
Kwa Tanzania, hiyo ilikuwa ni mara ya kwanza kwa Rais kufia madarakani.Binafsi hii imenishangaza baada ya kusikiliza mahojiano
Baada ya mheshimiwa kufariki ni kama kulikuwa na sintofahamu ya nini kinatakiwa kifanyike na kwa wakati gani
Rais wa marekani alipo uwawa tu masaa machache makamu aliapishwa tena ndani ya ndege
Msaada Mr Nyani, hakuna namna ya kuweza kuitoa hiyo video kwenye youtube format?Kweli….si umemsikia hata Jenerali Mabeyo kasema kuwa Rais Magufuli alimwambia [CDF] awaamuru madaktari wamrudishe nyumbani lakini akasema hana mamlaka hayo.
Magufuli akashangaa kwa nini CDF hawezi kuwaamuru hao madaktari wamrudishe nyumbani. Jenerali akasema hilo ni suala la madaktari na siyo CDF.
Magufuli alikuwa anadhani kwa vile Mabeyo ni CDF, basi anaweza kutoa amri kwa yeyote yule na ikatekelezwa.
Kwa kuangalia tu juu juu, Mabeyo anaonekana kama ni mtu mwenye sense.
At least that’s how he came across in the interview.
Sio kwa kiwango unachotaka kufikiria kiongoziJamaa ameongea mengi, mengine angebaki nayo tu..
Hii inaonyesha wale wapumbavu wote waliosimama majukwaani wakisema "raisi yuko vizuri na anaendelea na majukumu yake" hawajui chochote na ni makapuku tu kama sisi wananchi...Yani kumbe nchi Ina kama ka-kamati Cha watu wanaopanga Mambo yaendaje??
No 5 nimekuelewa saanaaaa yaani DahYa kutambua:
1. Jenerali Mabeyo ni mzalendo kweli kweli asiyekuwa na chembe ya tamaa ya madaraka.
2. Hapo #1 watu kama hawa ni wa kupigiwa mfano.
3. Kuna watu walionekana kuwa walisahau katiba inasema je, ndiyo maana ikachukua siku mbili tatu hadi kuapishwa badala ya masaa 24 kutokea rais kufariki.
4. Kuwa rais alijua atafariki kiasi cha kumhitaji paroko, kadinali na hata kutaka kurudishwa nyumbani akafie kwao.
5. Kumbe ma Profesa wanaotushauri makulaji walikuwa pale? Ama kweli safari ya pagak ikifika (song of lawino) no way back.
6. Aliyepo anashaurika japo kuna wanao mshauri vibaya lakini baadaye wanakaa wanayaweka mambo sawa.
7. Kwamba, hapa mkuu wasemaje? Kuna hawa wamesema hivi ..:
".. kwani waliosema hivyo ni wanajeshi, raia au wanasiasa ...?"
Pamoja na kustaafu, Jenerali Mabeyo bado ni hazina kubwa kwa taifa hili.
Upo bi.tozo? Jamaa analia akikumbuka namna ulivyomsaliti jiwe na kushirikiana na Born town ili wewe uwe Rais. Damu ya msukuma haiendi bure bi.kizimkazi.Kwani mwanajeshi sio binadam?
Machozi ya mamba hayo.
Wewe nae hujawahi kulia? Kulia ni kawaidaKama umesikiliza mwishoni ile ni diplomatic language tu kwa nafasi lazima awe responsible kwenye kauli zake kutoingilia siasa zinazoendelea.
Lakini body language ndio kila kitu hasa akielezea siku za mwisho ilivyokuwa hadi mauti yanamkuta marehemu.
Itakuwa kuna kitu kinamuumiza mpaka leo yale malengelenge ya machozi sio bure na kushindwa kuzuia emotions zake ata kwenye kuongea kwa majonzi ile siÄ™ tabia ya army general kushindwa kujizuia. Kwa nafasi yake mtu kama yeye kwa kwa nilichokiona ni big deal kiaskari duniani.
Mkuu haiwezekani 1959 kuwa ndio mwaka aliozaliwa jenerali mstaafu Davis adolf Mwamunyange, Mwamunyange amepewa nyota yake ya kwanza JWTZ mwaka 1973 batch moja na luteni jenerali Abdurahaman Amir Shimbo
Abdurahman Amir Shimbo na Davis Adolf Mwamunyange wameingia kwa pamoja vyote viwili yaani mafunzo ya awali ya kijeshi (RTS) na uafisa kadeti (ni coursemates kwenye kuingia kwenye uaskari pamoja na uafisa)