Chozi la Jenerali Mabeyo akisimulia siku za mwisho za Hayati Magufuli linaashiria nini?

Chozi la Jenerali Mabeyo akisimulia siku za mwisho za Hayati Magufuli linaashiria nini?

Sio kwa kiwango unachotaka kufikiria kiongozi
Hali ya rais ilikuwa inajulikana kwa viongozi wa juu ila wakati kifo chake kinatokea wengine hawakuwepo eneo la tukio

..waliokuwa wakishauriana ni Kassimu, Venance, na Bashiru.

..Bashiru tunajua kuteuliwa kwake kulikuwa kinyume na sheria na taratibu.
 

View: https://m.youtube.com/watch?v=9Hyg_T0yb-8

Katika dunia hii mtu wa mwisho ambae unaweza kuona chozi lake hadharani ni senior army officer na army general ndio kabisa awezi kuonyesha weakness hiyo hadharani.

Sasa cha kushangaza Mabeyo pamoja na kujitahidi kutabasamu ila chozi lilimshinda nguvu kwa sekundę kadhaa ameonekana akibubijikwa machozi ya hudhuni mbele ya camera. Kumbuka ata alipofiwa na mtoto wake rubani, general akutoa chozi alipofika eneo la tukio.

Je anajutia kutosikiliza maamuzi ya watu waliomshauri wapindue męża ya katiba huyo mama hiyo nafasi sio size yake na kinachoendelea leo Tanzania.


There is a reason amelia. Hawa watu wanajua mengi sana. Sababu za kiusalama, wanakaa nayo milele ndani ya roho zao.

Naombea roho ya marehemu JPM ipumzike kwa amani.
 
Je anajutia kutosikiliza maamuzi
Why ajute? Yaani ajute kuheshimu katiba? Kama mlijua hafai why mlimchagua awe makamu huku mkijua kabisa lolote likitokea atakua Rais?

Kingine ni precedence.... angepinduliwa samia basi trust me yeyote ambaye angechaguliwa ipo siku angepinduliwa tena na tena maana wangeona ni "new normal".
 
Yaa
Kama umesikiliza mwishoni ile ni diplomatic language tu kwa nafasi lazima awe responsible kwenye kauli zake kutoingilia siasa zinazoendelea.

Lakini body language ndio kila kitu hasa akielezea siku za mwisho ilivyokuwa hadi mauti yanamkuta marehemu.

Itakuwa kuna kitu kinamuumiza mpaka leo yale malengelenge ya machozi sio bure na kushindwa kuzuia emotions zake ata kwenye kuongea kwa majonzi ile się tabia ya army general kushindwa kujizuia. Kwa nafasi yake mtu kama yeye kwa kwa nilichokiona ni big deal kiaskari duniani.
Yaani wewe unataka kutwist mahojiano yaendane na hisia zako. Mpotoshaji mkubwa wewe.
 
Kama umesikiliza mwishoni ile ni diplomatic language tu kwa nafasi lazima awe responsible kwenye kauli zake kutoingilia siasa zinazoendelea.

Lakini body language ndio kila kitu hasa akielezea siku za mwisho ilivyokuwa hadi mauti yanamkuta marehemu.

Itakuwa kuna kitu kinamuumiza mpaka leo yale malengelenge ya machozi sio bure na kushindwa kuzuia emotions zake ata kwenye kuongea kwa majonzi ile się tabia ya army general kushindwa kujizuia. Kwa nafasi yake mtu kama yeye kwa kwa nilichokiona ni big deal kiaskari duniani.

Muda utasema yote. Na sijui kwanini ameamua kufanya hii interview. Pengine lililotokea lilimuumiza sana roho yake
 
This was a great interview!

Very informative even though the general appeared to be holding back some
information.

Understandably so!

Inaendelea kufafanua yale yanayosumbua vichwa vyetu...nini hasa kilitokea kupelekea kifo cha kiongozi wetu? Maana ni kweli hatuishi milele, ila some strange things happen in life as well
 
yumo kwa propaganda. hoja zakwake hazina maguu. Ni mjungu wakuweka majungu. He's not honest man.
Kwakweli si oni honest character kwake...Na pia ni kama ana guilty conscious fulani so he is trying to clear his conscious...Poor him!
 

View: https://m.youtube.com/watch?v=9Hyg_T0yb-8

Katika dunia hii mtu wa mwisho ambae unaweza kuona chozi lake hadharani ni senior army officer na army general ndio kabisa awezi kuonyesha weakness hiyo hadharani.

Sasa cha kushangaza Mabeyo pamoja na kujitahidi kutabasamu ila chozi lilimshinda nguvu kwa sekundę kadhaa ameonekana akibubijikwa machozi ya hudhuni mbele ya camera. Kumbuka ata alipofiwa na mtoto wake rubani, general akutoa chozi alipofika eneo la tukio.

Je anajutia kutosikiliza maamuzi ya watu waliomshauri wapindue męża ya katiba huyo mama hiyo nafasi sio size yake na kinachoendelea leo Tanzania.

Yeye alimlilia aliyempa ulaji, amlilie huyo mtoto wake kwani anampa ulaji?
 
Maji yakishamwagika hayazoleki....imeeenda hiyo. Ipo siku nyingine tena🤣🤣🤣🤣🤣
Mwenzako analilia cheo,alitegemea aendelee nacho lakini akaliwa kichwa 😁😁

Saizi anasema labda tungepindua meza ningebaki nacho 🤣🤣🤣🤣🤣

Ila wewe maskini Sasa ndio unaacha kazi zako na kumsikiliza kabisa
 
Sio kwa kiwango unachotaka kufikiria kiongozi
Hali ya rais ilikuwa inajulikana kwa viongozi wa juu ila wakati kifo chake kinatokea wengine hawakuwepo eneo la tukio
Imagine Leo akiulizwa katika hali Ile, why wengine waliendelea kama vile nothing urgent was there?

Kwanini VP hakuambiwa kama msaidizi wa kwanza wa Rais kuhusu hali ya mgonjwa?

Kwakweli hii inezua maswali mengi na pengine wanazidi kutuzulia maswali zaidi kuliko majibu.
 
Back
Top Bottom