Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mabeyo alipewa cheo na kila kitu na Jiwe.Labda sababu aliwekwa na jiwe, labda angekuwepo angeongezewa mkataba.
Sio kwa kiwango unachotaka kufikiria kiongozi
Hali ya rais ilikuwa inajulikana kwa viongozi wa juu ila wakati kifo chake kinatokea wengine hawakuwepo eneo la tukio
YapHua napenda jinsi watu wanavyojaribu kuelewa ila kwakua wameathiriwa na prejudice hua wanaona wanachotamani kuona.
View: https://m.youtube.com/watch?v=9Hyg_T0yb-8
Katika dunia hii mtu wa mwisho ambae unaweza kuona chozi lake hadharani ni senior army officer na army general ndio kabisa awezi kuonyesha weakness hiyo hadharani.
Sasa cha kushangaza Mabeyo pamoja na kujitahidi kutabasamu ila chozi lilimshinda nguvu kwa sekundę kadhaa ameonekana akibubijikwa machozi ya hudhuni mbele ya camera. Kumbuka ata alipofiwa na mtoto wake rubani, general akutoa chozi alipofika eneo la tukio.
Je anajutia kutosikiliza maamuzi ya watu waliomshauri wapindue męża ya katiba huyo mama hiyo nafasi sio size yake na kinachoendelea leo Tanzania.
Mabeyo hakuwa na sifa ya kuwa CDF alibebwa na ukabila. Magu alikuwa mkabila hasa, mpk leo sijui ingegawanyika mara ngapi.
Why ajute? Yaani ajute kuheshimu katiba? Kama mlijua hafai why mlimchagua awe makamu huku mkijua kabisa lolote likitokea atakua Rais?Je anajutia kutosikiliza maamuzi
Yaani wewe unataka kutwist mahojiano yaendane na hisia zako. Mpotoshaji mkubwa wewe.Kama umesikiliza mwishoni ile ni diplomatic language tu kwa nafasi lazima awe responsible kwenye kauli zake kutoingilia siasa zinazoendelea.
Lakini body language ndio kila kitu hasa akielezea siku za mwisho ilivyokuwa hadi mauti yanamkuta marehemu.
Itakuwa kuna kitu kinamuumiza mpaka leo yale malengelenge ya machozi sio bure na kushindwa kuzuia emotions zake ata kwenye kuongea kwa majonzi ile się tabia ya army general kushindwa kujizuia. Kwa nafasi yake mtu kama yeye kwa kwa nilichokiona ni big deal kiaskari duniani.
Kama umesikiliza mwishoni ile ni diplomatic language tu kwa nafasi lazima awe responsible kwenye kauli zake kutoingilia siasa zinazoendelea.
Lakini body language ndio kila kitu hasa akielezea siku za mwisho ilivyokuwa hadi mauti yanamkuta marehemu.
Itakuwa kuna kitu kinamuumiza mpaka leo yale malengelenge ya machozi sio bure na kushindwa kuzuia emotions zake ata kwenye kuongea kwa majonzi ile się tabia ya army general kushindwa kujizuia. Kwa nafasi yake mtu kama yeye kwa kwa nilichokiona ni big deal kiaskari duniani.
Hivi kuna mahali general amelia sidhaniThere is a reason amelia. Hawa watu wanajua mengi sana. Sababu za kiusalama, wanakaa nayo milele ndani ya roho zao.
Naombea roho ya marehemu JPM ipumzike kwa amani.
This was a great interview!
Very informative even though the general appeared to be holding back some
information.
Understandably so!
Mods Kwa nini mna entertain mada za kichochezi na za kishenzi Jukwaani? Mna maslahi nayo au?
Wewe na huyo Mabeyo sogezeni pipa jirani Ili mlie Hadi machozi yajae humo.
Asante, hawa watu wanaboaawezi ❌ hawezi✔️, hudhuni❌ huzuni ✔️, ata❌hata✔️😳, akutoa❌ hakutoa ✔️,
Ila ameonesha alivyotawala hii nchi baada ya kifo mpaka Samia kuapishwa.This was a great interview!
Very informative even though the general appeared to be holding back some
information.
Understandably so!
Kwakweli si oni honest character kwake...Na pia ni kama ana guilty conscious fulani so he is trying to clear his conscious...Poor him!yumo kwa propaganda. hoja zakwake hazina maguu. Ni mjungu wakuweka majungu. He's not honest man.
View: https://m.youtube.com/watch?v=9Hyg_T0yb-8
Katika dunia hii mtu wa mwisho ambae unaweza kuona chozi lake hadharani ni senior army officer na army general ndio kabisa awezi kuonyesha weakness hiyo hadharani.
Sasa cha kushangaza Mabeyo pamoja na kujitahidi kutabasamu ila chozi lilimshinda nguvu kwa sekundę kadhaa ameonekana akibubijikwa machozi ya hudhuni mbele ya camera. Kumbuka ata alipofiwa na mtoto wake rubani, general akutoa chozi alipofika eneo la tukio.
Je anajutia kutosikiliza maamuzi ya watu waliomshauri wapindue męża ya katiba huyo mama hiyo nafasi sio size yake na kinachoendelea leo Tanzania.
Ipo siku tutayajua yoteKwahiyo watu walisahau katiba?
I wish mambo yangewekwa wazi tujue walitaka nini
Mwenzako analilia cheo,alitegemea aendelee nacho lakini akaliwa kichwa 😁😁Maji yakishamwagika hayazoleki....imeeenda hiyo. Ipo siku nyingine tena🤣🤣🤣🤣🤣
Kweli kabisa.Mabeyo hakuwa na sifa ya kuwa CDF alibebwa na ukabila. Magu alikuwa mkabila hasa, mpk leo sijui ingegawanyika mara ngapi.
Imagine Leo akiulizwa katika hali Ile, why wengine waliendelea kama vile nothing urgent was there?Sio kwa kiwango unachotaka kufikiria kiongozi
Hali ya rais ilikuwa inajulikana kwa viongozi wa juu ila wakati kifo chake kinatokea wengine hawakuwepo eneo la tukio