Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
Kaburi lake liko huko nyumbani Ng'wamapalala. Huwa tukikusanyika huko yaani watu karibia 1000 wote tumetoka kwa mwamba mmoja tu. Kweli jamaa alijua kupelekea moto aisee na kuna wajukuu na vitukuu vyake ni kama wanajaribu kumuiga japo sidhani kama watamfikia hata robo [emoji16][emoji16][emoji16]Huyo babu alinifaaa sana mim [emoji2301][emoji2301]
Siwezi nikakusahau kabisa, kama maelezo yako tu nimeiva hivi je scene yenyewe si balaa...siku hiyo itakua ni Show show.Ndo hiyo weekend moja yangu usiisahau, huyu daktari na utafiti wake wa mchongo atuache kidogo
[emoji23][emoji23]Basi wanaume wangekufa sanaa
Sio kwa wanaume wetu hawa wamatumbi
Mwezi hamjagusana nina ndoa Ina miaka ya kutosha lakini haijawahi tokea hata wiki ikaisha hata tukosane namna gani lazima tupeane tu.Kama bado mnapendana vizuri, sawa.
Ila makwazo yakianza hahahahahahaha mtalala hata mwezi hamjagusana nakwambia.
[emoji28][emoji28]3 chache sana, waongeze ongeze kidogo
KabisaKama bado mnapendana vizuri, sawa.
Ila makwazo yakianza hahahahahahaha mtalala hata mwezi hamjagusana nakwambia.
Kuna comment nimetoa pendekezo, utaiona[emoji28][emoji28]
Iwe mara ngapi? Tafadhali pendekeza..
Bottom wengi walioanza wakiwa wadogo lifespan inakua ndogo labda uwe unaishi ulaya kwenye healthcare za premiumNajiona sina maisha kabisa, na nitakufa mapema mnoo.
Navopenda kuzagamuliwa, khaaaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Kila siku hata kamoja inatosha tu ila kawe karefuuu kwenye kamoja iwe viwili
😂😂😂😂Unaona kabisa hutoboiNajiona sina maisha kabisa, na nitakufa mapema mnoo.
Navopenda kuzagamuliwa, khaaaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Cha 100 kabisaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Malayaaaaaaa kipeuo cha 50
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani naanzaje kumkasirikia baba tamuu??Mie siwezi, hata tugombane Vipi game lazima ipigwe.....nikinuna sana siku mbili.[emoji1787][emoji1787]
Hata Bongo km unajua namna ya kutunza afya yako unadumu milelee. Tatizo hapa kwetu GAYS wengi hawana elimu ya ujinsia, na walishajikatia tamaa, wanaishi ili mradi jua limewaka. Lol.Bottom wengi walioanza wakiwa wadogo lifespan inakua ndogo labda uwe unaishi ulaya kwenye healthcare za premium
Shangaziii mie sitoboiiii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaona kabisa hutoboi
Yanaenda na umri mama...Yaan mwanaume unaempenda yupo pembeni yako Mmelala wote mnaamka wote kila mara mpo wote uwii ni kila siku mbona
Maisha yenyewe haya... Madeni kila kona..Kama bado mnapendana vizuri, sawa.
Ila makwazo yakianza hahahahahahaha mtalala hata mwezi hamjagusana nakwambia.