Daktari: Mtu mmoja anatakiwa kufanya ngono mara tatu kwa wiki - Swahili Times

Daktari: Mtu mmoja anatakiwa kufanya ngono mara tatu kwa wiki - Swahili Times

Huyo babu alinifaaa sana mim [emoji2301][emoji2301]
Kaburi lake liko huko nyumbani Ng'wamapalala. Huwa tukikusanyika huko yaani watu karibia 1000 wote tumetoka kwa mwamba mmoja tu. Kweli jamaa alijua kupelekea moto aisee na kuna wajukuu na vitukuu vyake ni kama wanajaribu kumuiga japo sidhani kama watamfikia hata robo [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kwa huo utafiti sina muda mrefu wa kuishi duniani,kabla ya kutoka kwangu nachakata mbususu na kabla sijafika kazini napita kwa mchepuko wangu Tabata naloweka tena,Eeeh M/Mungu kwa utafiti huu nijaalie kifo chema😭😭
 
Najiona sina maisha kabisa, na nitakufa mapema mnoo.
Navopenda kuzagamuliwa, khaaaaah

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂Unaona kabisa hutoboi
 
Mie siwezi, hata tugombane Vipi game lazima ipigwe.....nikinuna sana siku mbili.[emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwani naanzaje kumkasirikia baba tamuu??
Ugomvi utakuwepo, ila mizagamuo na minyanduano iko pale pale.

Mie nasema ntakufaa mapemaaa, imagine hata tuwe tunaumwaa lazima tujunjaneee,.woiiiiiiih

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bottom wengi walioanza wakiwa wadogo lifespan inakua ndogo labda uwe unaishi ulaya kwenye healthcare za premium
Hata Bongo km unajua namna ya kutunza afya yako unadumu milelee. Tatizo hapa kwetu GAYS wengi hawana elimu ya ujinsia, na walishajikatia tamaa, wanaishi ili mradi jua limewaka. Lol.

Afyaa ni muhimu kuliko chochoteee.
 
Yaan mwanaume unaempenda yupo pembeni yako Mmelala wote mnaamka wote kila mara mpo wote uwii ni kila siku mbona
Yanaenda na umri mama...

Kama viungo vyaruhusu...vikomeshe tu.
Sio ugali huo.
 
Back
Top Bottom