Dar es Salaam ili uende kazini na kurudi lazima uandae elfu 10 ya usafiri pamoja na chakula. Maskini hana chake hapa nchini

Dar es Salaam ili uende kazini na kurudi lazima uandae elfu 10 ya usafiri pamoja na chakula. Maskini hana chake hapa nchini

Siyo kweli.

Hilo ni mpaka uwrme hauna uzoefu wowote wa kazi yoyote.

Binadam inatakiwe useme ulichowahi kukifanya, kama hujawahi ufanya chochote, unasema ukweli.

Unasema mimi nimesoma mpaka darasa ??

Nimewahi kufanya au kujifunza kazi hii au hii.

Ndiyo maana vijana wengi mnakosa kazi za kufanya, mnashndwa hata kujieleza ukweli wenu.
Ndio maana kuna room ya kujifunza.. sasa nyakati hizi ni za kuchagua kazi kweli wakati upatikanaji wa kazi yenyewe ni mtihani
 
Tatizo hiyo 8M hana, hata hiyo 3M ya Kibaha analipia kidogokidogo. Kipato kikiwa kidogo mtu analazimika kufanya mambo yaliyo ndani ya uwezo wake
Mkuu, huyu mtu kajenga kabisa,
Ina mana kama unaweza kujenga nyumba ya 30M tu, halafu unashindwa kulipa 8M ya kiwanja sehemu nzuri, ? Ambayo nayo unalipa kidogo kidogo?
 
Sema na kuishi mbali sana jau,
Hapo mkuu kama hio ratiba ni kweli nakuonea huruma,

Sometimes tunakimbilia viwanja vya bei rahisi ila mara mia ulipe pesa kubwa upate sehemu nzuri sio kujificha huko porini.
Mtoa mada anadai "kununua kiwanja center labda awe fisadi. Wengi tunajuchanga tunapata viwanja Chanika, Bagamoyo, Kisarawe, Pugu n.k."

Huwa ninashindwa kuwaelewa watu wanaosema kuna ardhi ya mbali.

Unapodai Kisarawe ni mbali, una maanisha umbali toka center ya Dar hadi Kisarawe; sawa!

Kwani ni lazima ukae Dar center?

Unadai pia kununua kiwanja Dar center huwezi, na labda uwe fisadi! Aisee! Kwani ni lazima ununue kiwanja Dar Center?

Utasema huko Dar Center ndipo unafanyia kazi; sawa! Pia siyo lazima ufanye kazi City Centre! Tafuta kazi nyingine!

Halafu kwa taarifa tu, mwaka 1995 pale Sinza viwanja vilikuwa Tsh laki 5, ila sasa hivi ni milioni zaidi ya 200. Na wakati huo palikuwa shamba maana mji uliishia Magomeni na Stendi ya Mikoani ilikuwa pale Kisutu.

Ukiona huwezi kuishi maisha ya kufanya kazi City Center kwa kuwa ni gharama basi ujue unaishi fake life, yaani maisha yasiyoendana na kipato chako, hivyo inakupasa kubadilisha mindset na kutafuta shughuli nyingine; ukilalamika hakuna atakayekusaidia kamwe!

Halafu ni ushamba kufikiri kwamba ili ununue kiwanja ni lazima uwe fisadi!

Ninachokifahamu, usipokifuata unachokitaka basi utabaki ulivyo tu!

Watu mnaangamia kwa kukosa maarifa!
 
Naandika hii mada nikiwa na uchungu moyoni.

Sasa hivi nina miezi kama 4 hivi natumia Daladala kwenda na kurudi kazini na mara chache, tena chache sana huwa natumia bodaboda kazini mpaka home, home mpaka kazini.

Kutoka Nyumbani mpaka kazini nikipanda bodaboda direct ni elfu 15. Go and return inalala 30000 sh
Nikipanda bodaboda 1500 sh. mpaka kituo cha Daladala na nikipanda Daladala moja mpaka kazini awali nilikuwa natumia 1000 sh. Jumla 2500 sh, kwenda na kurudi natumia sh. 5000 kamili, nikipanda gari mbili nilikuwa natumia kama elfu 6 hivi. Pesa ambayo himilivu kwangu.

Ila sasa nikipanda Daladala itanilazimu nitumie takribani 7000 kwenda na kurudi.

Hapo ukiweka na chakula na maji around 5000.

Kwahiyo Mimi tu inabidi nitumie angalau elfu 12 kwaajili ya kazini. Familia kwa sasa hali ilivyo kwa siku ni sh. 10 -20 hapo mahitaji yote muhimu kama gas, mkaa, chumvi, Michele na unga viko ndani. Kama havipo lazima uangushe 20.

Kwahiyo inanilazimu kwa siku nitumie kuanzia elfu 30.

Vipi kwa anayelipwa laki 2.5 au laki tatu kwa Wahindi?

Vipi anayelipwa elfu 7 kiwandani kwa siku?

Kipato changu kidogo nahisi kupata msongo wa mawazo.
Kwa mwezi natumia karibu milioni 1 kwa chakula nyumbani , kazini , usafiri na dharura ndogondogo.
Hapo ukiweka dharura kubwakubwa kama kufiwa na ada za shule watoto mwezi mmoja naangusha zaidi ya milioni.

Serikali ipunguze nauli, watu wanashindia mihogo makazini Ili kubana nauli za kurudia nyumbani jioni.

Hakuna mtumishi wa umma au mwajiriwa wa sekta binafsi Dar es Salaam anaweza kununua kiwanja center labda awe fisadi. Wengi tunajuchanga tunapata viwanja Chanika, Bagamoyo, Kisarawe, Pugu n.k.

Kwa nauli hizi Ili ugeuke na gari upate seat lazima ujipange. Unakuta kila ukipiga hesabu 20 imeenda kwa usafiri na misosi.

Umaskini utaendelea kutupiga maana hatuna mtetezi.

JF kila mtu matawi..et natumia 15k kwenda kazini na kurudi mara chache dalaladala huwa natumia daladala..humu mnatupanga sana kama una uwezo wa kutumia 15k unalalamika nini hiyo nauli? Au ndo kipato chako laki 2.5 unajifanya unasemea wengine?
 
Unafanya kazi kkoo, unashindwa kwenda kimara ? Malamba mawili humo viwanja kwa 7M unapata ukubwa wa kutosha na hivyo unatumia 1000-1500 kufika job,
Sasa unafanya kazi kkoo halafu unanunua uwanja kibaha ndani ndani huko sehemu ya wew kupanda boda kufika barabaran,

Huu ni uzembe wake, asiilamu serikali
Nimesoma koment yako secretary wa waziri mkuu
[emoji106]
 
Naandika hii mada nikiwa na uchungu moyoni.

Sasa hivi nina miezi kama 4 hivi natumia Daladala kwenda na kurudi kazini na mara chache, tena chache sana huwa natumia bodaboda kazini mpaka home, home mpaka kazini.

Kutoka Nyumbani mpaka kazini nikipanda bodaboda direct ni elfu 15. Go and return inalala 30000 sh
Nikipanda bodaboda 1500 sh. mpaka kituo cha Daladala na nikipanda Daladala moja mpaka kazini awali nilikuwa natumia 1000 sh. Jumla 2500 sh, kwenda na kurudi natumia sh. 5000 kamili, nikipanda gari mbili nilikuwa natumia kama elfu 6 hivi. Pesa ambayo himilivu kwangu.

Ila sasa nikipanda Daladala itanilazimu nitumie takribani 7000 kwenda na kurudi.

Hapo ukiweka na chakula na maji around 5000.

Kwahiyo Mimi tu inabidi nitumie angalau elfu 12 kwaajili ya kazini. Familia kwa sasa hali ilivyo kwa siku ni sh. 10 -20 hapo mahitaji yote muhimu kama gas, mkaa, chumvi, Michele na unga viko ndani. Kama havipo lazima uangushe 20.

Kwahiyo inanilazimu kwa siku nitumie kuanzia elfu 30.

Vipi kwa anayelipwa laki 2.5 au laki tatu kwa Wahindi?

Vipi anayelipwa elfu 7 kiwandani kwa siku?

Kipato changu kidogo nahisi kupata msongo wa mawazo.
Kwa mwezi natumia karibu milioni 1 kwa chakula nyumbani , kazini , usafiri na dharura ndogondogo.
Hapo ukiweka dharura kubwakubwa kama kufiwa na ada za shule watoto mwezi mmoja naangusha zaidi ya milioni.

Serikali ipunguze nauli, watu wanashindia mihogo makazini Ili kubana nauli za kurudia nyumbani jioni.

Hakuna mtumishi wa umma au mwajiriwa wa sekta binafsi Dar es Salaam anaweza kununua kiwanja center labda awe fisadi. Wengi tunajuchanga tunapata viwanja Chanika, Bagamoyo, Kisarawe, Pugu n.k.

Kwa nauli hizi Ili ugeuke na gari upate seat lazima ujipange. Unakuta kila ukipiga hesabu 20 imeenda kwa usafiri na misosi.

Umaskini utaendelea kutupiga maana hatuna mtetezi.
Daaaa !!Ila wa Tanzania tumezidi ukoondoo..Hizi nauli zinapandishwa kihuni sana.
 
Tupige hesabu za mtu anayetumia gari ndogo tu inayokula wese la kawaida tu, say 1.3L engine. Mtu huyu anaendesha 50km kwenda kazini na kurudi kila siku. Gari inakula walau 1L kwa 10-12km/hr kwa wastani. Huyu mtu anahitaji kila siku kuweka wese angalau 5L x 3150 = 16,000 ≈ 20,000...hapo ameenda na kurudi, hajapata mishe yoyote ya kuongeza km.

Mwanzo tuliona wanaomiliki pikipiki hawajielewi, leo hii naona wao ndio wanafurahia maisha. Nasikia 1L inaweza kutembea hadi 60km sijui kama kuna ukweli hapo.
Nilijua una usafiri... Anyway... kulihudumia gari kunagharama zake mkuu.. kama unanua gari lazima uwe mtu wa mishe mishe.. au kama umeajiriwa uwe unapata mshahara ambao unaweza save 60% ya salary yako ,hapo utaenjoy..
Lakini nauli zimepanda una lalamika , sizani kama unaweza mudu kuhudumia gari kwa kucomplain 20K per day
 
Nilijua una usafiri... Anyway... kulihudumia gari kunagharama zake mkuu.. kama unanua gari lazima uwe mtu wa mishe mishe.. au kama umeajiriwa uwe unapata mshahara ambao unaweza save 60% ya salary yako ,hapo utaenjoy..
Lakini nauli zimepanda una lalamika , sizani kama unaweza mudu kuhudumia gari kwa kucomplain 20K per day
Sina gari mkuu, niliongea theory ambayo nahisi hata wenye magari wanaona tofauti. Zamani waliweza kwenda sheli na kuweka mafuta ya 10k(tulikuwa tunawaona), leo 10k is a joke.
 
Ukiona watu wanaamka saa tisa za usiku kutembea kwenda kazini, hawajapenda, wanaokula mihogo ya kuchoma ya jero mchana na Maji ya Mia hawajapenda, Lakini Viongozi wetu wana posho za kutosha kuwalisha watu wote wa Tanzania, Mlo wa mchana na usiku lakini wameamua kuchumia matumbo yao kwanza na hata milele.
Mkuu acha kutukumbusha machungu... watu tumetoka mbali sanaa.. nakumbuka niliwah endakariakoo asubuh nilirud saa 11 sikula ata kitu zaidi ya kandoro ya 200 aisee..
 
Back
Top Bottom